#COVID19 Wajinga wameibuka na hoja kwamba waliochomwa jana sio chanjo ni maji!

#COVID19 Wajinga wameibuka na hoja kwamba waliochomwa jana sio chanjo ni maji!

Ninyi ndiyo inabidi mfe pimbi kabisa, mnatuletea ngojera za wazungu. Mliambiwa very simple, tuonesheni utabibu wa hiyo chanjo, toeni elimu, nyie mlivyo wajinga mnaibuka tu na korona huku mmepewa hela ili muue watu. Tunamshukuru Mungu Dkt Magufuli kaacha wosia mzuri, "Machanjo hayafai"
Wewe na Huyo dikteta kichaa wote Ni majinga
 
Mkuu, Meko I mean Yesu wa Chato alifanikiwa sana kuvuruga mind za watu kwamba chanjo ni mbaya na zinaletwa kutumaliza.

Hii imeleta madhara makubwa na ndio huu mtanziko wote unaotokea hivi sasa.

Uzuri corona aliyokuwa anaidharau ndio ikamfyeka.

Wenye akili tukachanjwe.
kwahiyo unakiri mwendazake alikuwa ana ushawishi mkubwa sana kwny jamii hii.

Sasa kama aliweza kubadilisha mitizamo ya watu kuhusu chanjo kwa extent inayokufanya uje kulalamika;
angeshindwaje kuwashawishi haohao kumpa kura za kishindo?

Maana munajicontradict sana.
 
Hakika Mzee wetu Lowassa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU

Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii.

Mtu unamuuliza nipe sababu za kukataa chanjo anakwambia mbona chanjo ya malaria na UKIMWI wazungu bado hawajaigundua, hivi hizi ni akili za kawaida kweli au kuna tatizo?

Maana kama ni ujinga basi Taifa hili ujinga ni wa hali ya juu sana, Serikali naomba iwekeze zaidi kwenye elimu,

Hivi kipindi ebora Imepamba moto Congo, chanjo yake siilitengenezwa faster, chanjo siilileta majibu chanya mpaka sasa hakuna Ebora, Waliochanjwa Ebora mlisikia wamekuabmazombi? Alietemgeneza chanjo ya Ebora ni nani? si mzungu huyohuyo?

Unaacha kuamini wataalamu wa Afya ambao tangu umezaliwa unatibiwa kwa dawa zao unaenda kumuamini Askofu Rashidi ambae hajui hata Paracentamol inatengenezwaje?

Kazi ipo!

Wenye akili ya kuona yajayo mbeleni ngoja tukachanjwe.

Over!
Gwajima achomwe moto ,yeye ndio chanzo kikubwa cha upotoshaji unaondelea aisee
 
Research afanye nani? kabla ya chanjo kuruhusiwa kutumika Researh tayari, huyo kibwetele atafute vibwetele wenzake wakafanye research wao waje na majibu kua haifai
Ww haujui usemalo! Research ya kujua usalama wa dawa au chanjo unachukuaa muda mrefu kwa sababu zifuatazo:
1. Mnyama kama panya akidungwa atafuatiliwa kwa muda wa kutosha kutaka kujua kama kuna madhara ya moja kwa moja kwa mnyama husika, kama, mabadiriko hasi, ugumba, na hata kifo,
2. Kama hakuna madhara ya moja kwa moja kwa mnyama husika watataka kujiridhisha madhara kwenye uzao wake (kama atakuwa na uwezo wa kuzaa baada ya kudungwa),; kwamba watoto wake watakuwa wa kawaida au vilema, na je nao wataweza kuzaa watoto (wajukuu wa aliyechanjwa) wa kawaida, wasiokuwa na ulemavu au tabia zisizo za kawaida?
3. Hao wajukuu nao watafuatiliwa kufahamu kama kuna madhara nk
Kwa kutumia panya, ukizingatia ukuaji wao na 'metabolic rates' zao ni faster, matokeo yanaweza kuwa bayana ndani ya mwaka 1-2
4. Dawa au chanjo ikifaulu kwenye panya, hupelekwa kwenye wanyama mamalia wanaokaribiana sana na binadamu...hapa nyani , baadaye sokwe hawawezi kwepa! Huku nako yanafanyika kama ya kwenye panya. Lakini kwa kuzingatia mzunguko wa maisha wa nyani na sokwe(life cycle), matokeo kutoka kwa mnyama aliyedungwa mpaka kufikia mjukuu huchukua muda mrefu zaidi, hapa siyo chini ya miaka 5!
5. Baada ya kujiridhisha huko chini kwa wanyama wasio binadamu (takribani miaka 10) na kufaulu kuwa dawa au chanjo kweli inatibu au kukinga, na madhara haina yaliyo makubwa, huu ndio muda muafaka kufanya majaribio kwa binadamu, tena wasiozidi 100! Hawa nao watafuatiliwa kuona kama hiyo dawa 1)haina madhara makubwa 2) inatibu au kukinga ugongwa husika tena kwa kiwango kinachoridhisha?
6. Ikifaulu hapo idadi ya wakufanyiwa majaribio huongezwa, huku wakirekodi kila dhara ( side effect) na mafanikio ya dawa au chanjo husika huku wakifuatilia kiasi cha dawa vs madhara ili kuja na dosage inayo tibu huku ikipunguza madhara
7. Ni baada ya no.6 hapo juu ndio ikithibitika kuwa ni salama (safe) na inatibu/kukinga vizuri (effective in prevention/treatment) hapo ndipo inaruhusiwa kutumika kwa watu kwa kufuata miiko iliyojitokeza kuanzia panya mpaka bin adam!
Ukijaribu kuhesabu miaka hapo, kwa uchache ni 10+, hili ndio kiini cha wasiwasi wa covax (chanjo ya korona), ndani ya miezi tu hata mwaka haujaisha wanaibuka na chanjo na kuanza kushindana kuchanja watu! Ukiuliza nini madhara yake baada ya mwaka mmoja au 10, 20 ijayo, nini madhara ktk uzazi na watoto watakaozaliwa, hawana majibu! Wao wanataka tu usaini fomu ya kutomlaumu mtu endapo utapata madhara!
Kibaya zaidi haikukingi dhidi ya MAAMBUKIZI MAPYA ya corona, na kimsingi wapo wengi wamekufa kwa covid-19 huku wamechanjwa full dose ya covax! Hapa ndipo unajiuliza, unachanja watu ili iweje!?
Nimejaribu kueleza in a layman manner ili tuelewane !
 
Hakika Mzee wetu Lowassa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU

Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii.

Mtu unamuuliza nipe sababu za kukataa chanjo anakwambia mbona chanjo ya malaria na UKIMWI wazungu bado hawajaigundua, hivi hizi ni akili za kawaida kweli au kuna tatizo?

Maana kama ni ujinga basi Taifa hili ujinga ni wa hali ya juu sana, Serikali naomba iwekeze zaidi kwenye elimu,

Hivi kipindi ebora Imepamba moto Congo, chanjo yake siilitengenezwa faster, chanjo siilileta majibu chanya mpaka sasa hakuna Ebora, Waliochanjwa Ebora mlisikia wamekuabmazombi? Alietemgeneza chanjo ya Ebora ni nani? si mzungu huyohuyo?

Unaacha kuamini wataalamu wa Afya ambao tangu umezaliwa unatibiwa kwa dawa zao unaenda kumuamini Askofu Rashidi ambae hajui hata Paracentamol inatengenezwaje?

Kazi ipo!

Wenye akili ya kuona yajayo mbeleni ngoja tukachanjwe.

Over!
Mkuu waTZ ujinga upo kwenye damu hata wakisoma haileti mabadiliko makubwa, turudi mwaka mmoja nyuma tuwasikilize Prof Kabudi, Hamisi Kigwangalla, Dr. Dorothy Gwajima, hayati Magufuli, nk
kama vile Mungu ametupa laana ni maslahi, unafiki na mihemko tu.
 
Serikali isipokua makini na wasomi wapumbavu wanaoneza ujinga kwa wananchi wetu maskini wasiojua dunia jinsi inavoendelea, taifa litaangamia.

Ujinga kama huu nchini Nigeria zidi ya chanjo ya POLIO ulienezwa na MASHEIKH wenye msimamo mkali, kwa kuwaabia wananchi kuwa chanjo ya POLIO ni mpango wa nchi za magharibi kuzibiti waafrika na waislamu wasizaliane, matokeo yake watoto wengi wamekufa kwa POLIO na wengine wakapooza kwa kukosa chanjoya POLIO.
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Wewe ngedele kabisa, hivi tangu lini ugonjwa wa mafua ukaangamiza mwaafrika, usiwe lijinga la kukaririshwa eti mafua yatatuangamiza, kwa akili zako za kijinga unataka ufungiwe kama Kenya? Huu ugonjwa ni wa kuishi nao kama magonjwa mengine, tunachokataa sisi ni kutiana hofu za kijinga kijinga kama vile eti huu ugonjwa umekuja 2021 au baada ya Dkt Magufuli kufariki. Ni wapumbavu na wajinga ndiyo mnataka kuharibu kwa kuamini kuwa Dkt Magufuli alikuwa muongo wakati alipotutia moyo na kutufanya tujiamini na kuhimiza tule na kufanya mazoezi na ninyi mlikubaliana naye, ila sasa hayupo mnamgeuka kenge nyie
Wewe ni kichaa kama baba yako mwendazake alivyokuwa kichaa. Mawazo ya vichaa yanafanana. Wote wanapinga chanjo ilijali wanatembea nazo kwenye miili yao tangu wakiwa watoto.q
 
Next time wafanyie kazi mawazo ya Antony Diallo.

Japo CCM kuna unafiki wa hali ya juu ila ni likely vichaa walijipenyeza kipindi cha nyuma na kugombea uongozi na wakapewa dhamana hiyo !

Ni muda sasa tuangalie tulijikwaa wapi tusirudie tena makosa! 100% mawazo hayo ya kupinga chanjo yalitoka kwa kichaa baada ya kushauriana na vichaa wenzie
Unapomuita kipanga Hon. Dr. J P M kichaa, hapo hatuhitaji mbobezi kumjua kichaa halisi ni yupi!
 
Ikiwa nikichanja bado kuna uwezekano wa kuambukizwa korona au kufa kwa korona, je chanjo ina msaada gani? Nini tofauti kati ya mtu aliyechanjwa na mtu asiyochanjwa ikiwa wote tuna uwezo wa kuambukiza, kuambukizwa au kufa kwa korona?
Utofauti ni kwamba athari za maambukizi ikiwemo kufa ni kubwa kwa asiyechanja kulinganisha na aliyechanja.Aliyechanja ameongezewa resistance against virus.
 
Utofauti ni kwamba athari za maambukizi ikiwemo kufa ni kubwa kwa asiyechanja kulinganisha na aliyechanja.Aliyechanja ameongezewa resistance against virus.
Ndivyo ulivyokaririshwa hivyo! Unaithibitishaje hiyo wakati waliochanjwa na wasiochanjwa wanakufa kwa rate inayofanana!
Ipo kazi kweli kweli!
 
Ahahaha mkuu wewe una ELIMU sana eti kwa kua umekubali chanjo? [emoji3] duuh ama kweli
 
Back
Top Bottom