Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire
Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?

Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
[emoji1787]
[emoji1787]
[emoji1787]
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo

Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
[emoji116]

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!”
Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
[emoji1787]
[emoji1787]
[emoji1787]
[emoji1787]
[emoji1787]


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

msikiti wa al aqsa

Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?

Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
[emoji116]
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo
So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili
View attachment 1757143
Usichachamae kusema waislam wasome je wewe umeshasoma na ukapata majibu sawasawa kuwa Yale masanamu mnayoyachonga na kuyanyenyekea na kuyapiga mabusu motomoto ndiye yesu hasa au ile sura ilikopiwa wapi kiasi cha kila afugae midevu na nywele ndefu ujikute fahamu zikikutoka,na je pale yesu alipokufa na kuzikwa kabla kufufuka dunia ilikuwa inaongozwa na nani Baada ya Mungu kufa kwa kutundikwa msalabani?
 
Walatamka Shahada?

Walishuhudia kuwa yupo Mungu mmoja tu ambaye ni Allah na Mtume mmoja tu ambaye ni Muhammad?

Jibu kinagaubaga
Nani kakwambia nyakati zote sheria ilikuwa ni moja tu? hii ndio shida Uislam hujui halafu unausemea kuna changamoto sana, kila Umah ulikuwa na sheria yake kijana, Kuna Umah wa Adam huna sheria zake, Umah wa Ibrahim huna sheria zake, Umah wa Mohammed una sheria zake, sasa unaleta maswali ata mtoto mdogo anakushangaa, ndio Adam alikuwa Muislamu na aliingia Uislam kwa kukiri Mungu mmoja wala hana mshirika, suala la nabii ata yeye Adam alikuwa nabii hivyo haitaji kumkiri Mohamad, na watu wa Umah wake watamkiri Adam kama nabii sio Mohammed, watu wa Umah husika watawajibika kwa nabii na sheria husika, SWALI tuambie Adam alikuwa DINI gani kama unadai hakuwa Muislamu?
 
Mbona mkuu hujajibu hoja za AL aqsa umekimbilia huku?

Kumfuata mtu kuna mambo mengi
1. Appearence yake, Yesu alikuwa akifunga ndevu kama mitume wengine leo hamfuati mafundisho haya

2. Mavazi yake ya kanzu fupi na makubazi Leo utasikia wakristo wanavyodhihaki watu wanaovaa hivi, wanawake wake kama mama yake alikuwa akivaa ushungi lakini leo mmeutupa kule

3.kabla ya Ibada yesu alikua akiosha mikono, miguu, na uso kama waisilamu wa Leo,

4.yesu na mitume wa zamani walikuwa wakiabudu kwa kusujudu chini kama waisilamu wa leo
-yesu mwenyewe (as)
And he (Jesus) went a little farther, and fell on his face, and prayed, saying, O my Father, if it be possible, let this cup pass from me: nevertheless not as I will, but as thou wilt." - New Testament (Matthew 26:39)

-wanafunzi wake
And when the disciples heard it, they fell on their face, and were sore afraid." - New Testament (Matthew 17:6)

-na Musa (as)
And Moses made haste, and bowed his head toward the earth, and worshipped." - Old Testament (Tanakh) (Exodus 34:8)

-na Ibrahim (as)
And Abram fell on his face: and God talked with him, saying," - Old Testament (Tanakh) (Genesis 17:3)

Nyie mmeieka tu ile Bible kama pambo, hamsomi wala hamuifatilii,

YESU KRISTO HAJAWAHI KUWA MUISLAMU NA KAMWE HATOKUJA KUWA MUISLAMU​


INAONESHA JINSI GANI MNAVYOLAZIMISHA MAMBO ......

Yohana 19:23 Nao askari walipomsulibisha Yesu, waliyatwaa mavazi yake, wakafanya mafungu manne, kwa kila askari fungu lake; na kanzu nayo. Basi kanzu ile haikushonwa, ilikuwa imefumwa yote pia tangu juu.
Andiko hilo Waislamu wanalitumia katika kusema kwao kwamba, Yesu alikuwa muislamu mwenzao, kwa sababu alivaa kanzu kama wao, ukitaka kujua kwamba, watu hao ni wababishaji, andiko limesema Kanzu ya Yesu, ilipigiwa kura, baada ya Kusulubiwa, kabla ya Kusulubiwa, kanzu yake haikupigiwa kura, sasa wewe Waulize, "Je! wanakubali kwamba Yesu Kristo alisulubiwa msalabani akafa?" Utawasikia, "Yesu hakusulubiwa, wala hakufa" Sasa kama hakusulubiwa, inakuwaje mlitumie andiko la kanzu kusema ni muislamu mwenzenu, wakati hamkubali kwamba amesulubiwa? Inamaana kama hakusulubiwa kwa mujibu wa imani yenu, basi hilo andiko lilipaswa kuwa la uongo kwenu:- Na kama la uongo kwenu, hakuna sababu ya kulitumia.
Sasa tuangalie hoja hiyo ya kusema kwamba, Kuvaa kanzu hata kama watakubali Yesu amesulubiwa, je! linaweza kumfanya Yesu awe muislamu?
Katika Quran nzima hakuna andiko linalotaja Kanzu kama vazi la Kiislamu, au ni vazi special kwa ajili ya kufanyia Ibada, kama Waislamu wafanyavyo leo, bali Quran ina kazi 2 tu kwa mujibu wa Quran.
Quran 16 SURATUL NAHL
ﻭَﺍﻟﻠّﻪُ ﺟَﻌَﻞَ ﻟَﻜُﻢ
ﻣِّﻤَّﺎ ﺧَﻠَﻖَ ﻇِﻼَﻻً ﻭَﺟَﻌَﻞَ
ﻟَﻜُﻢ ﻣِّﻦَ ﺍﻟْﺠِﺒَﺎﻝِ ﺃَﻛْﻨَﺎﻧًﺎ
ﻭَﺟَﻌَﻞَ ﻟَﻜُﻢْ ﺳَﺮَﺍﺑِﻴﻞَ
ﺗَﻘِﻴﻜُﻢُ ﺍﻟْﺤَﺮَّ ﻭَﺳَﺮَﺍﺑِﻴﻞَ
ﺗَﻘِﻴﻜُﻢ ﺑَﺄْﺳَﻜُﻢْ ﻛَﺬَﻟِﻚَ
ﻳُﺘِﻢُّ ﻧِﻌْﻤَﺘَﻪُ ﻋَﻠَﻴْﻜُﻢْ
ﻟَﻌَﻠَّﻜُﻢْ ﺗُﺴْﻠِﻤُﻮﻥَ
81. Na Mwenyeezi
Mungu katika vitu alivyo viumba
amekufanyieni vitu vitiavyo
vivuli, na amekufanyieni makazi
katika milima, na amekufanyieni
kanzu zinakukingeni na joto, na (baridi) na amekufanyieni
nguo za chuma ndivyo hivyo
anavyokutimizieni neema zake
ili mpate kutii.
Kanzu kazi zake ni hizo mbili kama zilivyoanishwa ndani ya Quran.
(1) Kukinga na Joto
(2) Kukinga na baridi
Japo hapo sina uhakika kama kweli kanzu inaweza kugeuka A/c wakati wa Joto, au au Eater wakati wa Baridi, maana Dar e salaam kusingekuwa na haja ya kununua Feni, kwa ajili ya kupambana na Joto, watu tungekuwa tunavaa kanzu, ili tupate ubaridi.
Waislamu waishio MBEYA, Arusha, Iringa, Njombe, na sehemu zingine zenye baridi, wangekuwa wanavaa tu kanzu, ili kujikinga na baridi. Kwa hivyo hakuna andiko linalosema kwamba Kanzu ni vazi la kiislamu, au vazi la Ibada kwa ajili ya waislamu, ili Yesu awe muislamu! na isitoshe Kanzu Kibiblia matumizi yake ni tofauti na ya ndani ya Quran, kwani Iliandaliwa kwa ajili ya kazi ya Ukuhani.
Kutoka 28:40 Kisha utafanya kanzu kwa ajili ya wana wa Haruni, nawe wafanyie mishipi, wafanyie na kofia kwa utukufu na uzuri.
41 Nawe mvike huyo nduguyo Haruni na wanawe nao mavazi hayo; nawe watie mafuta, na kuwaweka kwa kazi takatifu, na kuwatakasa, ili wapate kunitumikia mimi katika kazi ya ukuhani.
42 Nawe wafanyie suruali za nguo ya kitani, ili kufunika tupu ya miili yao; suruali hizo zitafika tangu kiunoni hata mapajani;
43 na Haruni na wanawe watazivaa, hapo watakapoingia katika hema ya kukutania, au hapo watakapoikaribia madhabahu ili watumike katika mahali patakatifu; wasije wakachukua uovu, wakafa; hii itakuwa ni amri ya milele kwake yeye, na kwa wazao wake.
Hiyo ndo ilikuwa kazi ya Kanzu, kwa ajili ya kazi ya Ukuhani, Waliivaa tu pale walipoingia katika hema za kukutania, na walipotoka, waliyavua, hayo yakaitwa mavazi Matakatifu, kwa sababu yalivaliwa kwa ajili ya kazi Takatifu.
 
Mbona mkuu hujajibu hoja za AL aqsa umekimbilia huku?

Kumfuata mtu kuna mambo mengi
1. Appearence yake, Yesu alikuwa akifunga ndevu kama mitume wengine leo hamfuati mafundisho haya

2. Mavazi yake ya kanzu fupi na makubazi Leo utasikia wakristo wanavyodhihaki watu wanaovaa hivi, wanawake wake kama mama yake alikuwa akivaa ushungi lakini leo mmeutupa kule

3.kabla ya Ibada yesu alikua akiosha mikono, miguu, na uso kama waisilamu wa Leo,

4.yesu na mitume wa zamani walikuwa wakiabudu kwa kusujudu chini kama waisilamu wa leo
-yesu mwenyewe (as)
And he (Jesus) went a little farther, and fell on his face, and prayed, saying, O my Father, if it be possible, let this cup pass from me: nevertheless not as I will, but as thou wilt." - New Testament (Matthew 26:39)

-wanafunzi wake
And when the disciples heard it, they fell on their face, and were sore afraid." - New Testament (Matthew 17:6)

-na Musa (as)
And Moses made haste, and bowed his head toward the earth, and worshipped." - Old Testament (Tanakh) (Exodus 34:8)

-na Ibrahim (as)
And Abram fell on his face: and God talked with him, saying," - Old Testament (Tanakh) (Genesis 17:3)

Nyie mmeieka tu ile Bible kama pambo, hamsomi wala hamuifatilii,
(AL – AN-A’AM – 163)
Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.

Hapo katika zama zake hakuna, yeye anatajwa kuwa ni wa kwanza wa Waislamu, sasa tuambie, katika ya MUHAMMADI ambaye ni muislamu wa kwanza, na Yesu Kristo Mwana wa Mungu, ni nani ametangulia kuwepo DUNIANI??

PIA JE! Kuna andiko hata moja, la Yesu Kristo, amenukuliwa na wanafunzi wake, akisema yeye ni muislamu, ama kulitaja tu neno Uislamu?

MUHAMMADI anakiri kwa kusema kwamba yeye ni muislamu wa kwanza.

لَا شَرِيكَ لَهُ ۖ وَبِذَٰلِكَ أُمِرْتُ وَأَنَا أَوَّلُ الْمُسْلِمِينَ

(AL – AN-A’AM – 163)
Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.

Je! unalo andiko mfano wa hilo kwa kinywa cha Yesu Kristo mwenyewe akisema yeye ni Muislamu???
 
Mbona mkuu hujajibu hoja za AL aqsa umekimbilia huku?

Kumfuata mtu kuna mambo mengi
1. Appearence yake, Yesu alikuwa akifunga ndevu kama mitume wengine leo hamfuati mafundisho haya

2. Mavazi yake ya kanzu fupi na makubazi Leo utasikia wakristo wanavyodhihaki watu wanaovaa hivi, wanawake wake kama mama yake alikuwa akivaa ushungi lakini leo mmeutupa kule

3.kabla ya Ibada yesu alikua akiosha mikono, miguu, na uso kama waisilamu wa Leo,

4.yesu na mitume wa zamani walikuwa wakiabudu kwa kusujudu chini kama waisilamu wa leo
-yesu mwenyewe (as)
And he (Jesus) went a little farther, and fell on his face, and prayed, saying, O my Father, if it be possible, let this cup pass from me: nevertheless not as I will, but as thou wilt." - New Testament (Matthew 26:39)

-wanafunzi wake
And when the disciples heard it, they fell on their face, and were sore afraid." - New Testament (Matthew 17:6)

-na Musa (as)
And Moses made haste, and bowed his head toward the earth, and worshipped." - Old Testament (Tanakh) (Exodus 34:8)

-na Ibrahim (as)
And Abram fell on his face: and God talked with him, saying," - Old Testament (Tanakh) (Genesis 17:3)

Nyie mmeieka tu ile Bible kama pambo, hamsomi wala hamuifatilii,
Ibrahimu Hakuwa Muislamu, wala Mwanaye Ismaeli Sio Baba wa Waarabu wala Allah wa Quran HAJUI maana na asili ya Neno Israeli
 
Tatizo LA nyie jamaa hamsomi vitabu vyenu, mngekuwa mnasoma msingekuwa clueless hivi,

Hao mitume waliopita walikuwa wapoje? Walihubiri nini na Mtume Muhammad kahubiri nini? Na Leo waisilamu wanafanya nini?

Waisilamu Leo wamekuwa watu wanao Fuata Maelekezo ya yesu kushinda nyie mnaofuata dini ya tamaa.

Mpaka sasa hivi hujaleta ushahidi wowote wa kupinga nilicholeta mimi hapa, nimekuwekea hadi picha kwamba Dome of rock sio AL aqsa pekee kama mnavyoclaim.

Nakuletea ushahidi mwengine toka maandiko ya kiyahudi ambayo Yana lingana na maandiko ya kiisilamu

Lete na wewe ushahidi otherwise ukae kimya maana porojo hazisai

Muogopeni Mungu na Moto wake, msibadili maneno yake, hii Aya Tafsiri yake ni
(39:12) and I am bidden to be the first of those who surrender to Him.”33
33. That is, my mission is not only to exhort others but also to practice what I preach to myself. First, I follow the way which I call others to follow

Ikimaanisha Mtume ametakiwa kuwa wa kwanza kufuata anachokihubiria na sio anahubiri ikiwa yeye hafuati



Jibu la hio Aya ya 163 ungelipata kwenye Aya ya 161 ambayo ni muendelezo (Aya ya 161 mpaka 163 inazungumzia kitu kimoja) Aya ya 161 inasema

{161. Say: “Truly, my Lord has guided me to a straight path, a right religion, the religion of Ibrahim, Hanifan (monotheism) and he was not of the Mushrikin.”
SHETANI ANAWAPULIZA WAISLAM MSIKITIN

Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)

Muhammad anasema: Shetani anaingia msikitni na kuwachezea Waislam kama ushahidi unavyo sema hapo juu.
Kwanini mfuate dini ambayo inaongozwa na MASHETANI Msikitini?
Kwanini Shetani ana mamlaka ya kuwapuliza Waislam matako yao tena wakiwa Msikitini?
 
Vitu vingi vya mathematics, physics na chemistry asili yake ni uislamu na ndio maana ukisoma Kemia mambo mengi yanaanzi wa na AL ambayo kiarabu ni The, vitu kama Alchemy, Alkaline etc.

Juzi tu Hapa Unesco wamekubali kwamba University ya kwanza kutoa Degree ni invention ya Bibie Fatma huko Morocco toka Karne ya 9,

Leo katika ulimwengu wa kutoa Elimu kuna kitu bora kuliko Vyuo vya Elimu na maabara za Tafiti? Mbona vyote hivi ni legacy za waisilamu?
uislsmu umekuja mwaka 600AD, sayansi ipo before uislamu... leo unadanganya, unapozungumzia ELIMU dunia, uislamu upo nyuma sana

The word alchemy comes from Old French alquemie, alkimie, used in Medieval Latin as alchymia.

1619102849167.png
 
Vitu vingi vya mathematics, physics na chemistry asili yake ni uislamu na ndio maana ukisoma Kemia mambo mengi yanaanzi wa na AL ambayo kiarabu ni The, vitu kama Alchemy, Alkaline etc.

Juzi tu Hapa Unesco wamekubali kwamba University ya kwanza kutoa Degree ni invention ya Bibie Fatma huko Morocco toka Karne ya 9,

Leo katika ulimwengu wa kutoa Elimu kuna kitu bora kuliko Vyuo vya Elimu na maabara za Tafiti? Mbona vyote hivi ni legacy za waisilamu?
QUR'AN NI KITABU CHA WAARABU WANNE SIYO KITABU CHA MWENYEZI MUNGU
1 saidna abubakar.
2 saidna ummar
3 saidna uthman na
4 saidna ally
Watunzi wa Quran ni Muhammad na amawshikisha maswahaba wake ambao ni:
~ Abu bakari
~ Zayd ibn Thabit
~ Uthman
👆
ni kwa mujibu wa Suna
( sahih bukhari -vol 6, book 61, Hadith 507)
WaShia nao wanasema aliye andika ni :
~ AL ibn Abi Talib
( Tafsiri ya Ali Juma Mayunga uk 190-1)
 
makka ilikuwa inakaliwa na wapagan... huo uislamu ulikuwepo lini

Kwahiyo LEO HEKALU ni nyumba ya ibada ya waislamu? maana twajua uislamu kaja nao mudy,Ukweli uko wazi kwenye Qur’an yenyewe (hata kama inajichanganya) kwamba Muhammad ndiye alikuwa mwanzo wa Uislamu, before mudy hakujawahi kuwepo hata dalili kama kuliwahi kuwepo dini inayoitwa uislamu, wala jengo liitwalo MSIKITI ,

suleiman ni dini ya kiyahudi akitokea moja ya makabila 12, kabila la YUDA, , moja ya dini kongwe , uislamu hata historia inauumbua , hakuwahi kuwepo kabla ya 622AD

Wale watoto 12 wa YAKOBO, walikuja kuwa makabila 12, na manabii wengi wametoka humo, hawaijui wala hawahusiki na dini ya kiislamu iliyokuja miaka 1500 BAADAE,

Dini ya ubudha tu ipo kabla ya ukristo, na historia inathibitisha, cha ajabu hakuna dalili kuliwahi kuwepo mtu wa dini ya kiislamu before 622A.D,


UNALETA HADITH ZA BUKHARI ambazo tu zimekuja kujulikana miaka 1000AD huko mudy kashakufa, ndio unataka kuthibitishia JAMBO la miaka 1300 B.C? unajitambua kweli
Note: kwenye uislam hamna kiongoz anaitwa muddy,huo ni uhuni
 
Shida yako huna marejeo,unaandika kama unahadithia wenzako kijiweni.

Hadithi za Abunuwas zikoje na unazitofautishaje na Hadithi za Mtume,maana katika Hadithi za mtume zinaelezea mambo ya Historia na nukuu niliyo kuwekea ni hadithi ya Mtume katika kuelezea Historia ya ujengwaji wa msikiti wa al Aqsa.

Naona ulichokitarajia sicho.

Tuendelee....
MUHAMMAD NI NABII WA UONGO ALISEMA UKILA TENDE SABA ZA KUTOKA AJWA HUWEZI KUFA KWA SUMU WALA KUROGWA LAKINI MUHAMMAD ALIKUFA KWA SUMU NA ALIROGWA PIA KWA USHAHIDI HUU MUHAMMAD SI MTUME WA MWENYEZI MUNGU 100%

Imesimuliwa na Sa`d kuwa
Nilimsikia Mtume wa allah akisema, "Yeyote atakayechukua tende saba za Ajwa na kuzila asubuhi hataathiriwa na uchawi au sumu siku hiyo."
حَدَّثَنَا مُحَمَّدٌ، أَخْبَرَنَا أَحْمَدُ بْنُ بَشِيرٍ أَبُو بَكْرٍ، أَخْبَرَنَا هَاشِمُ بْنُ هَاشِمٍ، قَالَ أَخْبَرَنِي عَامِرُ بْنُ سَعْدٍ، قَالَ سَمِعْتُ أَبِي يَقُولُ، سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم يَقُولُ ‏ "‏ مَنِ اصْطَبَحَ بِسَبْعِ تَمَرَاتٍ عَجْوَةٍ لَمْ يَضُرَّهُ ذَلِكَ الْيَوْمَ سَمٌّ وَلاَ سِحْرٌ ‏"‏‏.‏
Sahih al-Bukhari 5779 Juzuu ya 7 kitabu cha 71 Hadith 671

Abu Huraira aliripoti mjumbe wa Allah akisema, "Tende za ajwa zinatoka peponi na zina tibu sumu;na tunda lake ni aina ya mana na juisi yao ni dawa kwa jicho. ” Tirmidhi aliieneza.
وَعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: «الْعَجْوَةُ مِنَ الْجَنَّةِ وَفِيهَا شِفَاءٌ مِنَ السُّمِّ وَالْكَمْأَةُ مِنَ الْمَنِّ وماؤُها شفاءٌ للعينِ» . رَوَاهُ التِّرْمِذِيّ

لم تتمّ دراسته (الألباني) حكم :
Reference : Mishkat al-Masabih 4235
In-book reference : Book 21, Hadith 72
 
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye.............
SHETANI ANAWAPULIZA WAISLAMU MATAKONI JAMA
(KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42
)
Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”.
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖

AKISHAKUPULIZA USIKU ANAKUJA TENA KULALA NDANI YA PUA ZENU WAISLAMU
 
Note: kwenye uislam hamna kiongoz anaitwa muddy,huo ni u

kifupi cha muhammad

MUHAMMAD NI NABII WA UONGO KANUKUU UCHAWI WA ZAMANI
✔
Qurani 15:91 Ambao wameifanya Quran kuwa ni mkusanyiko wa uongo aliokusanya nabii Muhammad akadai kuwa ni maneno ya Mwenyezi Mungu
✔
Quran 74:24 Na akasema Hayakuwa haya aliyokuja nayo Nabii Muhammad ila ni uchawi ulionukuliwa kwa wachawi wakubwa kabisa wa zamani?
 
(AL – AN-A’AM – 163)
Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.

Hapo katika zama zake hakuna, yeye anatajwa kuwa ni wa kwanza wa Waislamu, sasa tuambie, katika ya MUHAMMADI ambaye ni muislamu wa kwanza, na Yesu Kristo Mwana wa Mungu, ni nani ametangulia kuwepo DUNIANI??

PIA JE! Kuna andiko hata moja, la Yesu Kristo, amenukuliwa na wanafunzi wake, akisema yeye ni muislamu, ama kulitaja tu neno Uislamu?

MUHAMMADI anakiri kwa kusema kwamba yeye ni muislamu wa kwanza.

لَا شَرِيكَ لَهُ ۖ وَبِذَٰلِكَ أُمِرْتُ وَأَنَا أَوَّلُ الْمُسْلِمِينَ

(AL – AN-A’AM – 163)
Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.

Je! unalo andiko mfano wa hilo kwa kinywa cha Yesu Kristo mwenyewe akisema yeye ni Muislamu???
Hebu andika Aya ya 161 ya sura hio hio Aya ya pili tu toka nyuma ya hapo.
 
kifupi cha muhammad

MUHAMMAD NI NABII WA UONGO KANUKUU UCHAWI WA ZAMANI
✔
Qurani 15:91 Ambao wameifanya Quran kuwa ni mkusanyiko wa uongo aliokusanya nabii Muhammad akadai kuwa ni maneno ya Mwenyezi Mungu
✔
Quran 74:24 Na akasema Hayakuwa haya aliyokuja nayo Nabii Muhammad ila ni uchawi ulionukuliwa kwa wachawi wakubwa kabisa wa zamani?
Huwezi ukafasiri kitu kwa ku quote maneno matatu tu unatakiwa usome kitu kwa ujumla wake,

Mfano Aya yako wewe ulioisema 74:24 ianzie mwanzo

18. Verily, he thought and plotted;

19. So let him be cursed! How he plotted!

20. And once more let him be cursed, how he plotted!

21. Then he thought;

22. Then he frowned and he looked in a bad tempered way;

23. Then he turned back and was proud;

24. Then he said: "This is nothing but magic from that of old;

25. "This is nothing but the word of a human being!"

So ulichofanya wewe ni kudandia bila kuangalia counted mzima ya hizo Aya,

Context ya hizo Aya ni kisa hichi
(This is nothing but the word of a human being!) meaning, it is not the Words of Allah. The person who is mentioned in this discussion is Al-Walid bin Al-Mughirah Al-Makhzumi. He was one of the chiefs of the Quraysh -- may Allah curse him. Among the narrations about this is what was reported by Al-`Awfi from Ibn `Abbas. He (Ibn `Abbas) said, "Al-Walid bin Al-Mughirah entered the house of Abu Bakr bin Abi Quhafah and asked him about the Qur'an. When Abu Bakr informed him about it, he left and went to the Quraysh saying, `What a great thing this is that Ibn Abi Kabshah is saying. I swear by Allah that it is not poetry, nor magic, nor the prattling of insanity. Verily, his speech is from the Words of Allah!' So when a group of the Quraysh heard this they gathered and said, `By Allah, if Al-Walid converts (to Islam) all of the Quraysh will convert.' When Abu Jahl bin Hisham heard this he said, `By Allah, I will deal with him for you.' So he went to Al-Walid's house and entered upon him. He said to Al-Walid, `Don't you see that your people are collecting charity for you' Al-Walid replied, `Don't I have more wealth and children than they do' Abu Jahl answered, `They are saying that you only went to Ibn Abi Quhafah's house so that you can get some of his food.' Al-Walid then said, `Is this what my tribe is saying Nay, by Allah, I am not seeking to be close to Ibn Abi Quhafah, nor `Umar, nor Ibn Abi Kabshah. And his speech is only inherited magic of old.' So Allah revealed to His Messenger ,
 
Mbona mkuu hujajibu hoja za AL aqsa umekimbilia huku?

Kumfuata mtu kuna mambo mengi
1. Appearence yake, Yesu alikuwa akifunga ndevu kama mitume wengine leo hamfuati mafundisho haya

2. Mavazi yake ya kanzu fupi na makubazi Leo utasikia wakristo wanavyodhihaki watu wanaovaa hivi, wanawake wake kama mama yake alikuwa akivaa ushungi lakini leo mmeutupa kule

3.kabla ya Ibada yesu alikua akiosha mikono, miguu, na uso kama waisilamu wa Leo,

4.yesu na mitume wa zamani walikuwa wakiabudu kwa kusujudu chini kama waisilamu wa leo
-yesu mwenyewe (as)
And he (Jesus) went a little farther, and fell on his face, and prayed, saying, O my Father, if it be possible, let this cup pass from me: nevertheless not as I will, but as thou wilt." - New Testament (Matthew 26:39)

-wanafunzi wake
And when the disciples heard it, they fell on their face, and were sore afraid." - New Testament (Matthew 17:6)

-na Musa (as)
And Moses made haste, and bowed his head toward the earth, and worshipped." - Old Testament (Tanakh) (Exodus 34:8)

-na Ibrahim (as)
And Abram fell on his face: and God talked with him, saying," - Old Testament (Tanakh) (Genesis 17:3)

Nyie mmeieka tu ile Bible kama pambo, hamsomi wala hamuifatilii,
ACHA UONGO HATA KAMA MUDY KARUHUSU

MUHAMMAD ALIRUHUSU WAISLAMU WOTE WATUMIE UONGO ILI KUUSAFISHA UISLAMU
Kasema Mtume (s.a.w) “Uwongo wote ni dhambi ila kwa kile kinachomfaa muislamu kwa jambo la kheri, unaweza kutumia uongo kupatanisha watu waliokhasimisna au katika jambo litakaloleta kheri na manufaa kwa waislamu” (Mkweli Mwaminifu, juu ya 3-4, Hadithi Na. 855, Uk 57)

Hivi unafahamu kuwa Uislam ulianzishwa na Muhammad na haukuwepo kabla yake?
Uislamu ambao ulianzishwa na Muhammad, Mtume wa Allah (s.w.t.) mnamo mwaka 610 A.D. huko Makka, na ulikamilishwa kwa msaada wa binamu yake, mshiriki na makamu wake, Ali ibn Abi Talib, mnamo mwaka 632 A.D. hapo Madina. Inahusisha kipindi cha miaka tisini kuanzia 570 A.D. wakati yeye Muhammad alipozaliwa huko Makka, hadi mwaka 661 wakati mrithi wake, Ali ibn Abi Talib, alipouawa huko mjini Kufah.
 
QUR'AN NI KITABU CHA WAARABU WANNE SIYO KITABU CHA MWENYEZI MUNGU
1 saidna abubakar.
2 saidna ummar
3 saidna uthman na
4 saidna ally
Watunzi wa Quran ni Muhammad na amawshikisha maswahaba wake ambao ni:
~ Abu bakari
~ Zayd ibn Thabit
~ Uthman
👆
ni kwa mujibu wa Suna
( sahih bukhari -vol 6, book 61, Hadith 507)
WaShia nao wanasema aliye andika ni :
~ AL ibn Abi Talib
( Tafsiri ya Ali Juma Mayunga uk 190-1)
Kwenye Quran na sunnah kwa ujumla kuna mamia ya vitu vimekuwa predicted ama kuelezewa ambavyo ni karibuni tu vimekuja kuthibitika kama ni kweli kama vile

1. Nyuki Ana matumbo mawili
2. Siafu wanaongea
3.bing bang theory
4. Expansion of universe
5.Embryology
6.fingerprints etc

Kuna mamia ya vitu yameelezewa miaka 1400 iliopita.

Nielezee mkuu walijuaje?
 
Back
Top Bottom