Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja

Umesahau chupi za TMK [emoji23][emoji23]
 
Fua maana unakojoa hunawi na pia sehemu ya haja kubwa inapumua... Hivyo lazima unuke

Nikikojoa nakung'uta dudu, pia wanaume huwa hatujambi mara kwa mara....., Kwa maana hiyo hata nguo itabidi zifuliwe kila siku.

Binafsi nafua baada ya siku tatu,
Pia kaninuni yangu nyingine nafua napo hisi imechafuka...., Naona haitanifanya niwe comfortable.
 
Fua kila siku, kwani unayo moja...?
 
Imenusa kutokea kwenye sit yako, hadi alipokaa?

Au ulikuwa chini ya kiti? [emoji28]
Kama nilivyosema gari ilijaa mi nikapata pale kwenye kiti cha mbele wanakiita kitimoto, huyo kaka alikaa mbele yangu..
 
Wanaume hatufuagi na kuoga oga hovyo hovyo.
Huyo jamaa yupo sawa acha endelee kuupiga mwingi hivyo.
 
ukisikia harufu ya mwanaume ujue hajaoga kwanzia siku 5

sasa we mwanamke test kutokuoga siku moja ndo utajua mwenye harufu huwa ni nani Kati yetu wanaume au nyie wanawake
 
Acha uongo harufu ya boxer kama hujanusa bixer yenyewe kwa pua huwezi ijua hata ivaliwe siku 1000..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…