Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

Wewe gumbaru hao wakenya wamenda kama experts au vibarua?! Dereva ni expert wa nini?! Kuendesha gari la taka au?
Wewe ndo Gumburu kabisa. Kama umesikia vizuri taarifa za DW Kenya imesifiwa kwa kuwa na Best ICT Experts na Techn innovators katika bara la Africa. Nenda Kenya utaona namna Vijana wa kule walivyobuni na kuanzisha many marketable Tech related Programs na softwares ambazo zimenunuliwa na hata Makampuni makubwa katika kutoa huduma na uendeshaji wa biashara . Ni wabunifu na ni wazuri katika kubuni na kuendesha many Tech Innvoations.
 

Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,

Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Makubaliani ni kuingiza skilled workers (mfano wahandisi, it, wahasibu, madaktari, walimu, n.k) na semi skilled workers (mfano madereva, wapishi, reception, store keeper, n.k)

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)

Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
  • n.k.
Unawaonea bure viongozi wa Tanzania. Hivi kwa aina ya viongozi tulio nao kwa saa unaona kuna hata mmoja anaweza ku negotiate deal kama hii ya Kenya na Germany?
 
Endelea kufuatilia kina magoma na kagoma, Wakenya wanaenda kupiga pesa huko nje na kuna fursa zaidi za kujiendeleza kimasomo kupata kazi zenye mishahara mirefu zaidi, connections za kuja kununua maparachichi Tanzania kuyauza Ujerumani, n.k.
Ukishindwa kutoboa Bongo, ningumu kutoboa sehem nyingine yeyote duniani.
 
moja kati ya vitu vizuri alivyofanya Kikwete ni kurudisha waTanzania waliopo nje na kuwapa nafasi za ndani kuendeleza nchi, ni ujinga, narudia tena ni ujinga kujisifia kutoa workforce ya Nchi kupeleka Nchi nyengine, just imagine mtoto kasoma msingi bure, sekondari bure, Chuo na Heslb zote hizo ni kodi za wananchi halafu akaifaidishe ujerumani wakati nchi hapa hata wataalamu hatuna?
Diaspora wa Kenya wanaingiza kenya Dollar Bilioni 4.2 kwa mwaka sawa na Trilioni 10 za Kitanzania kwa mwaka. Hii ni zaidi ya mapato ya utalii ya Tanzania kwa mwaka.

Kwenye ni nchi ya Tano kwa kupata fedha nyingi sana kutoka kwa diasporas wao barani Afrika. Wakenya wengi wanapiga kazi nje ya nchi na wanapata pesa nyingi sana wanarudisha nyumbani. Hiyo hela sio muda inaenda ku Double.

Nimekutana na wakenya wengi sana kwenye taasisi ama makampuni mengi hapa Afrika lakini wabongo ni wa kuhesabu ama hakuna.

Watanzania elimu yetu ya hivyo ya kubabaisha, hakuna confidence, hatuna skills zinazohutajika Duniani.

Acha tuendelee kuwashangilia kina magoma.
 
Acha uzuzu , JK alirudisha wangapi ukiacha wale dada washikaji zake mojawapo yule aliyemtoa Sounth Africa akampa kuwa CEO pale TIC? Nan baada ya Jembe kuja akakutwa analipwa Mshahara wa Kufuru akamwambia either akubali Mshahara kupunguzwa au aachie ngazi, akaamua kutimuka tena? Yule alikuwa just MC ambaye JK alikutana naye South Africa wakati wana Kikao kule ndipo akavutiwa naye, siyo kwa umahili wake Kichwani bali muonekano wake
Umeuliza swali halafu ukajijibu bila hata kunipa muda wa kuku jibu na ukaweka conclusion zako kabisa.

Mfano mzuri Tido mhando alikua BBC akaletwa TBC, akaibafili TBC wakati huo ikawa inaonesha hadi Epl na kuwa na vipindi vingine vizuri kama Ze comedy, baadae Akaenda Azam hadi leo matokeo yake tunayajua.
 
Diaspora wa Kenya wanaingiza kenya Dollar Bilioni 4.2 kwa mwaka sawa na Trilioni 10 za Kitanzania kwa mwaka. Hii ni zaidi ya mapato ya utalii ya Tanzania kwa mwaka.

Kwenye ni nchi ya Tano kwa kupata fedha nyingi sana kutoka kwa diasporas wao barani Afrika. Wakenya wengi wanapiga kazi nje ya nchi na wanapata pesa nyingi sana wanarudisha nyumbani. Hiyo hela sio muda inaenda ku Double.

Nimekutana na wakenya wengi sana kwenye taasisi ama makampuni mengi hapa Afrika lakini wabongo ni wa kuhesabu ama hakuna.

Watanzania elimu yetu ya hivyo ya kubabaisha, hakuna confidence, hatuna skills zinazohutajika Duniani.

Acha tuendelee kuwashangilia kina magoma.
wabongo wengi wanasema diaspora wa kibono ngumu sana kutoa support tofauti na wa kikenya hili lina ukweli?
 
Diaspora wa Kenya wanaingiza kenya Dollar Bilioni 4.2 kwa mwaka sawa na Trilioni 10 za Kitanzania kwa mwaka. Hii ni zaidi ya mapato ya utalii ya Tanzania kwa mwaka.

Kwenye ni nchi ya Tano kwa kupata fedha nyingi sana kutoka kwa diasporas wao barani Afrika. Wakenya wengi wanapiga kazi nje ya nchi na wanapata pesa nyingi sana wanarudisha nyumbani. Hiyo hela sio muda inaenda ku Double.

Nimekutana na wakenya wengi sana kwenye taasisi ama makampuni mengi hapa Afrika lakini wabongo ni wa kuhesabu ama hakuna.

Watanzania elimu yetu ya hivyo ya kubabaisha, hakuna confidence, hatuna skills zinazohutajika Duniani.

Acha tuendelee kuwashangilia kina magoma.
Haibadilishi maana kwamba nchi yao inaanguka na Talent zinaenda Nje hali ya kuwa vilaza wanabaki Nchini.

Pia Si Lazima Diaspora awe ni ku export workforce, hizo ni situation mbili tofauti.
 
Haibadilishi maana kwamba nchi yao inaanguka na Talent zinaenda Nje hali ya kuwa vilaza wanabaki Nchini.

Pia Si Lazima Diaspora awe ni ku export workforce, hizo ni situation mbili tofauti.
Inaanguka na nini? Kwa hiyo diaspora ni ku import workforce?
 

Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,

Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Makubaliani ni kuingiza skilled workers (mfano wahandisi, it, wahasibu, madaktari, walimu, n.k) na semi skilled workers (mfano madereva, wapishi, reception, store keeper, n.k)

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)

Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
  • n.k.
Mfano hio ikitokea huku....unahisi ni watu wa mlengo wa chama gani watakaopata hizo fursa za kuenda huko?
Ni bora tu zisije huku.
 

Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,

Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Makubaliani ni kuingiza skilled workers (mfano wahandisi, it, wahasibu, madaktari, walimu, n.k) na semi skilled workers (mfano madereva, wapishi, reception, store keeper, n.k)

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)

Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
  • n.k.
Nimesoma magazeti ya Kenya,habari haiko kama ulivyoiweka.

Kwanza kwenye makubaliano hayo hakuna idadi yoyote ya wanufaika iliyotajwa.
Pili,ni Mpango wa mabadilishano (Exchange program) kati ya Kenya na Ujerumani.Ni Mpango wa nipe nikupe.
 
20240915_112015.jpg

Heri tulio busy na Yanga kuliko wewe unayeshadadia vitu usivyo na uhakika navyo...
 

Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,

Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Makubaliani ni kuingiza skilled workers (mfano wahandisi, it, wahasibu, madaktari, walimu, n.k) na semi skilled workers (mfano madereva, wapishi, reception, store keeper, n.k)

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)

Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
  • n.k.
Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000​
VILE VILE WAKATI TANZANIA INAPUMBAZWA NA CCM WAKENYA WANATUPIGA GAP .
 
Back
Top Bottom