View attachment 3095829
Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,
Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.
View: https://x.com/visegrad24/status/1834677580542193790
Kuna mkenya, kwenye hiyo conference anafundisha vijana kukarabati ndege, Serikali ya Kenya, imekubali kumsadia kuingiza ndege za kufundishia Kenya, ili vijana kibao wapate mafunzo, huku kwetu samia na, genge lake la ccm, walikumuwekea vikwazo Tajiri kijana m wenzetu, Fernandez asiwekeze bongo, na, NALA, akaenda kuwekeza Kenya,! Ccm inaogopa vijana wengi wakiwa na nguvu za ki uchumi, watawatishia na, kuwa weka, roho juu, wasitswale ki uraiiini,
Kijana awe maskini wa, kipato, Afya duni, elimu ya, hovyo, anatawalika kirahisi,
Samia, yupo comfortable kukutana na mwijaku, baba levo, ndio level yake, lakini, hawezi, kukutana, na, Fernandez boss wa, NALA, au, wale vijana wenye kampuni ya Ramani, U Tajiri wa Fernandez wa, NALA, ni mara kumi ya u Tajiri wa, Diamond!
Vijana wa bongo wapo bize kujadili Iphone 16!, Kenya, wanavuka mipaka wapo mpaka Ireland, kutafuta maisha, mbongo, aliyezaliwa Dar, akipata uhamisho, kwenda Mtwara, Bukoba, Dodoma, anachanganyikiwa! Anaona, katupwa, mbali Sana, fuckers