Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu.

  • Faida..

  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara mirefu zaidi
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi mfano klab kubwa ujerumani hulipa milioni 200 kwa wiki.
  • n.k.
View attachment 3095807
Ubaya ubwela
 
Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara mirefu zaidi (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi mfano klab kubwa ujerumani hulipa milioni 200 kwa wiki.
  • n.k.
View attachment 3095807
This is Huge....😋😍
 
Tanganyika mbali ya kuwa na historia ya ukaribu kupitia

  • Berlin conference 1884 - 1918,
  • kanisa la KKKT kuwa na waumini wa kilutheri wengi duniani ikizidiwa na Ujerumani pekee,
  • milima ya Usambara sehemu ya Deutsche OstaAfrika,
  • meli ya MV Liemba kule Kigoma, miaka 100 tangu iletwe Tanganyika toka Ujerumani na bado inapiga kazi
  • kuwa na senator wa kitanzania katika Bunge la Berlin, Mr. Joe Chialo
  • mtaa wa mwanasiasa mtanzania bibi Lucy Lameck jijini Berlin...
  • Mwanasiasa wa stories kibao za historia ya Tanzania Prof. Palamagamba Kabudi alumni (mhitimu) wa vyuo vya Ujerumani
  • N.k
Bayume Mohamed Husen

ASKARI ALITUMIKIA VITA KUU YA KWANZA YA DUNIA AKIWA ASKARI WA JESHI LA UJERUMANI

1726337933856.png


Mtanganyika kwa jina Bayume Mohamed Husen alitezaliwa 1904 aliyeacha legacy katika jeshi la mkoloni, baada ya vita akazamia meli hadi Berlin Germany kudai pensheni ya uaskari ktk jeshi la Jerumani.

Alifanikiwa kucheza katika filamu 20 akipewa uhusika mdogo ktk filamu zote. Alitumika kufundisha lugha ya kiSwahili katika vyuo Ujerumani. Alioa mwanamke wa kijerumani na kuzaa nae watoto wawili .

Bayume Mohamed Husen’s Legacy​

( Tanganyika)
View: https://m.youtube.com/watch?v=NgmRipKRELc
Bayume Mohamed Husen askari mtoto wa Jeshi la Jeremani mwenyeji wa German East Africa

Bayume Mohamed Husen (named Mahjub bin Mohamed Adam at birth on February 22, 1904–November 24, 1944) was a soldier of Afro-German descent, an actor, and a Nazi persecution victim.

Bayume Mohamed Husen, an askari officer’s son, served in WW I with German troops in East Africa alongside his father. He was later employed to be a waiter on a shipping line from Germany, and in 1929, this enabled him to migrate to Germany. He married in January of 1933 and began a family. Husen backed the neocolonialist movement in Germany and donated to the Deutsche Afrika-Schau, which was previously a human zoo utilized by propagandists for the Nazis. Husen laboured as a waiter as well as a variety of lesser occupations, including language instruction and supporting roles in several African-themed German films. He was sent to KZ Sachsenhausen in 1941 and succumbed in 1944.

Bayume Mohamed Husen’s life was documented in a documentary film released in 2014 and a biography published in 2007.

Bayume Mohamed Husen’s Background​

Bayume Mohamed Husen was born in the city of Dar es Salaam, which was part of the former German East Africa. He was the son of a former askari officer who was an Effendi by rank. He had previously learnt German and was employed as a clerk in a textile plant in Lindi before World War I. In 1914, when World War I broke out, Husen and his father both joined Schutztruppe and fought against the Allies in East Africa’s campaign. Husen was captured in October of 1917 by British soldiers after being wounded during the Battle of Mahiwa.

Bayume Mohamed Husen served as a “servant (boy)” on numerous cruise ships after the war, and in 1925 he was employed as a waiter on the ship Deutsche Ost-Afrika Linie. He went to Berlin in 1929 to collect unpaid military wages for his father and himself, but the Foreign Office rejected his claims as being too late. Husen continued to be a waiter in Berlin. He taught Swahili to authorities and security people and worked as a tutor on low wages. E.g., for Diedrich Westermann, a renowned scholar.

Diedrich Westermann - ScholarDiedrich Westermann – Scholar

On 27 January 1933, 3 days before Adolf Hitler took power, he married Maria Schwandner, a Sudeten German lady. They got a daughter named Annemarie (1936-1939) and a son, Ahmed Mohamed Husen Adam (1933–1938). Husen also had a son named Bodo Heinz Husen (1933-1945) from a previous connection with a German lady, Lotta Holzkamp, Schwandner adopted and raised him with his step-siblings.

Bayume Mohamed Husen Involvement in the Neocolonialist Movement​

, he applied for the “Frontkämpfer-Abzeichen,” which was the honour cross of the front-line veterans but was unsuccessful. In a mail addressed to the foreign office, Paul von Lettow-Vorbeck seemingly explicitly ruled out the instance of Husen, indicating that the German officials were generally unwilling to place the honour on “coloreds”. Husen did, however, wear the emblem and uniform of an askari that he most likely purchased from a dealer of military supplies while attending demonstrations of the neo-colonialist movement in Germany, which aimed to recapture Germany’s lost territories.

It’s unclear whether Bayume Mohamed Husen ever lost or received German citizenship. In Weimar Germany, it was normal practice to issue passports to immigrants from former colonies of Germany with the endorsement “German Protegee” (Deutscher Schutzbefohlener), which did not grant full citizenship. Following Hitler’s ascension to power and in respect to the Treaty of Versailles, black Germans who migrated from previous colonies were frequently considered citizens of the nation that had replaced Germany as the ruling colonial authority. No level of racial discrimination towards black Germans was akin to the systematic hate encountered by the Jewish minority, as shown by Hans Massaquoi’s case.


Various Assignments in Nazi Germany.​

Bayume Mohamed Husen went back to Tanganyika for a brief period in 1934 while filming Die Reiter von Deutsch-Ostafrika, where he played a minor character. In 1935, Husen was fired from his waitressing job at Haus Vaterland pleasure palace owing to racist allegations from two coworkers, stripping him of his main source of income. He was also said to have had ongoing disputes with the Humboldt (Friedrich Wilhelm) University of Berlin Seminar for oriental languages, where he previously taught the Swahili language to police trainees preparing to serve in the reclaimed German colonies following German triumph in the expected war, or even in the unlikely event of a reversal of the Treaty of Versailles’ colonial clauses.

Bayume Mohamed Husen entered the Deutsche Afrika-Schau in 1936, a kind of human zoo set up by the Foreign Office of Germany in an effort to reclaim its former colonies. The German Foreign Office hoped to employ Afro-Germans to counter foreign allegations that Nazi Germany was incapable of administering colonies. During the Battle of France and Occupation of the Rhineland, other sectors of the Nazi leadership attempted to employ foreign colonial forces as a tool for propaganda. Because of the war, the show was cancelled in 1940.

Husen applied for membership in the Wehrmacht when the French and British declared war on Germany but was turned down. Bayume Mohamed Husen featured in a minimum of twenty-three German films between 1939 and 1941, mostly as a supporting cast or in small speaking roles. Ramasan, a native companion of Carl Peters, a German colonialist in the film Ramasan released in 1941, was his final and most notable performance. Martin Heepe, an Africanist professor and linguistic scholar, allegedly harassed him, and he left the university in April of 1941. He had an affair on set with a German lady, and the authorities were informed.

The Gestapo apprehended Bayume Mohamed Husen on a racist allegation and incarcerated him at the Sachsenhausen concentration camp without trial. He died there in 1944.

Bayume Mohamed Husen’s Legacy​

Husen’s life was brought to the attention of a larger German audience in 2007 by Marianne Bechhaus-Gerst. Gunter Demnig, an artist, placed a stolperstein memorial stone in front of Husen’s former Berlin residence.

Majubs Reise, a 2014 documentary film directed by Eva Knopf, is centred around Husen’s life.

Filmography​

TitleYearRoleNotes
Pedro Will Hang1941PflegerLast film role
Carl Peters1941Ramasan
The Star of Rio1940
Congo Express1939Farm Worker
Men Are That Way1939Ein Gast im Lokal
Sergent Berry1938Unrecognised
Eine Frau kommt in die Tropen1938Servant
Der unmögliche Herr Pitt1938Kameltreiber
Five Million Look for an Heir1938Liftboy
Faded Melody1938Ein Zeitungsverkäufer based in the city of New York
Schüsse in Kabine 71938
To New Stones1937Diener Farbiger des Gouverneurs
Die Reiter von Deutsch-Ostafrika1934Mustapha Signalschüler
 
Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara mirefu zaidi (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi mfano klab kubwa ujerumani hulipa milioni 200 kwa wiki.
  • n.k.
View attachment 3095807
chanzo cha habari n nn kwamba imeruhusu wakenya laki 2 na 50??..........kichwa chako kinafikiri sawa sawa kwel?
 
habari ya muda tu.

Tanzania ukweli wanaoukataa wengi ni kwamba lugha inawakosesha sana watz fursa. nasema hayo kama mtu ambaye nafanya kazi nje ya tz. maana hata kazi za unskilled unatakiwa walau ujue kubonga.
Ujerumani wanaongea Kiingereza?
Get your facts straight wacha kuongea kama zuzu, Kila mtu anasoma English as a secondary language hapa kwetu, ni sawa tu na nyingine zote ambazo English sio lugha ya kwanza!
 
Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara mirefu zaidi (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi mfano klab kubwa ujerumani hulipa milioni 200 kwa wiki.
  • n.k.
View attachment 3095807
Kwa hiyo na wewe unataka na sisi tuende Ujerumani kama Wakenya???
 
Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara mirefu zaidi (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi mfano klab kubwa ujerumani hulipa milioni 200 kwa wiki.
  • n.k.
View attachment 3095807
Hii itaongeza chuki!🤣🤣
 
Kwa hiyo na wewe unataka na sisi tuende Ujerumani kama Wakenya???
Huko juu unafikiri hawajafatwa
Sema mna minyiwa,nyie endeleeni kukata mauno na kuwafatilia wakina mondi konde nandy mwijaku lokole

Ova
 
Hata watanzania mbona wanakwenda tu ila ndio haitangazwi kama hivyo harakati za Ruto kuwatuliza Raia wake.
 
Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara mirefu zaidi (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
  • n.k.
View attachment 3095807
Sisi ni koloni la hawa mabeberu ila hamna kitu kbsa
 
Vijana wa hii nchi ni kuwaza upuuzi na kukosa ubunifu, si ajabu fursa zikatupita. Mtu akiona kijana kutoka Kemya kafanikiwa basi naye atakwambia ili ufanikiwe utabidi uongee kiingereza kwa usahihi, mtu akiona kijana x kafanikiwa kwa kipaji basi atakuja ataanza kushauri watoto wasisome waendelezwe vipaji vyao watafanikiwa, mtu akiona bill gates kafanikiwa kupitia kompyuta and IT basi na yeye atakwambia ili ufanikiwe usome Kompyuta or IT, mtu akiona vunja bei, kina nisher wamafanikiwa kupitia biashara basi watatoka watakwambia ili tufanikiwe tuache yote tufanye biashara.
Vijana wa hili taifa kuumiza kichwa ni mwiko na ujuaji mwingi kuliko kuona fursa, imagine mtu anakwambia kuongea perfect English ndo inaeza kumfungulia mtu milango! Hii ni rubbish, Uganda ni miongoni mwa nchi zinazozungumza best English hapa Afrika lakini angalia rate ya vijana waliokosa ajira Uganda na hapa Tanzania! Trump aliwahi kusema watu weusi ni wavivu sana
 
Vijana sahivi wao ni kufocus kwenye miziki+kukata mauno

Ova
 
Hata watanzania mbona wanakwenda tu ila ndio haitangazwi kama hivyo harakati za Ruto kuwatuliza Raia wake.
Nenda pale foreign kama muandishi wa habari unayetaka kujua tuna Watz wangapi Ujeremani kama wana takwimu sahihi na watakupa.
 
View attachment 3095829

Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
  • n.k.

View: https://x.com/visegrad24/status/1834677580542193790

Nani akaribishe WATEKAJI/WAUAJI, sifa yetu kimataifa chafu....
 
Back
Top Bottom