The Last Man Standing
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 475
- 525
Lowering Unemployment is not a Priority agenda for the Nation? Every Leader regardless of the size of the economy he/she is leading, containing the level of unemployment has always been a priority in their Agenda. Tusijidanganye.Hakika
Team Diomond vs Hermonize or Ali Kiba?Huko mnapofanya ulinganishi wa Maendeleo, wanaendelea kwa sababu wana embrace mawazo mapya na mbadala.
Mfano wa haraka na mzuri tu niku iweka Breakdance kwenye Olympics, kwanini na sisi tusi elevate kukata mauno? 🤯
Wewe fikiria Afrika iwatume vijana angalau 500 give or take 10 per nchi wakakate viuno Ndombolo style kwenye olympics? hivi kuna mtu atatushinda?
Hilo mbali, hakuna mbadala mwingine wa ajira? Yaani tunafikiri mpaka mwisho wa mafuvu halafu tunawaza ukoloni mamboleo?
Ni sahihi. Sisi tunachojua ni Mipasho na kuupiga mwingi majukwaaniNilipokuwa nasoma shahada ya Kiswahili nilitumia vitabu vingi vilivyoandikwa na Wakenya.
Ni aibu kwa Nchi yetu. Akina Balile walienda kujaribu DW wakarudi, si kwa kuwa hawajui Kiswahili ila kiasi gani cha materials kimo kichwaniTuendelee kuwa chawa, majirani wanatoboa, nilicheka eti walimu wazuri wa Kiswahili ni Wakenya dah
Hili suala nimeongea sana humu jf. Shida kubwa ni kwa watunga sera wa bongo hawajui kuongea English na wengi ni wazee waliochapwa bakora na mjerumani kuchimba barabara. Hivyo suala la English kuwa teaching language tz litakuja naturally baada ya wazee wote waliopo sasa kufa, kuwa mavumbi na kupotea duniani. Haya mazee ya chama ndio kikwazo kikubwa kujidai tunakuza kiswahili ambayo ni mother tongue hatuhitaji kuitumia kujifunza it is our native language haitopotea maana tutaongea nyumbani na mitaani.Our education system needs total overhaul and English should be used as a medium of instruction from Kindergarten to University. This is what Kagame & Co did by introducing English (removing French) in schools from down the academic ladder to the top when RPF took over Rwanda. Sasa sijui kama wale wa "Ene Kwesheni" watanialewa!
Hatujachelewa kabisa!
Ujamaa haujwahi kuwa Mbaya. Huko China kwenyewe tunakoenda kila siku kutemebeza Bakuli wao mpaka leo bado hawajauacha ujamaa, ila wameuboresha . Bado ni role model ya ufanisi wa Sera za kijamaa wa advanced level ambao umekuwa tuned kwendana na maendeleo ya Karne ya 21.Safi sana. Ni wazo zuri kuachana na wenye harufu ya UJAMAA.
Waarabu, wahindi na popo hawakubaliki huko abroad kwa tabia zao za kijingaUjerumani pia imepanga kuwafukuza Wanaijeria elfu kumi na tano na kuwarudisha nyumbani Wasiria Wairaq na Waafghanistan.
Pamoja nakuwa mfuasi na mshabiki wa JPM (RIP) Lugha nayo ilikuwa ni tatizo kwake na ndiyo maana alikuwa anataka hata Kiswahili kichukue nafasi ya Kiingereza mashuleni na hata Vyuo Vikuu vyetu. Graduates wetu wenyewe Ligha ya Kiingereza ni Kichomi kwao, so hawawezi shindana na wa Kenya ,Uganda or eveni our SADC neighborsHili suala nimeongea sana humu jf. Shida kubwa ni kwa watunga sera wa bongo hawajui kuongea English na wengi ni wazee. Hivyo suala la English kuwa teaching language tz litakuja naturally baada ya wazee wote waliopo sasa kufa na kupotea duniani. Haya mazee ndio kikwazo kikubwa kujidai tunakuza kiswahili ambayo ni mother tongue hatuhitaji kuitumia kujifunza it is our native language haitopotea maana tunaongea nyumbani na mitaani.
Cha ajabu wanaozuia English isiwe medium of instruction bongo from nursery to university wanasomesha watoto wao academy za English medium. These seniors are nonsense kabisa.
Bimkubwa anabonga English nzuri sana hadi unafurahi kumsikiliza (Royal Tour) natamani amwite Waziri wa Elimu amwambie mchakato uanze, otherwise bongo itabaki maskini milele.
Ndiyo maana napendelea kuchagua Kiongozi siyo kwa Chama au jukwaa analopitia bali uwezo wake Binafsi. Mengine yote yanaweza kurekebika once una Kiongozi anayejua majukumu yake na anayejua anataka kulipeleka Taifa lake wapi. Akina Kagame siyo wasomi wakubwa, bali walikuwa na Uzalendo kwanza na pia walijua wapi wanataka Taifa lao lielekee kulingana na mazingira waliyomo .Tatizo ni viongozi tulionao hawana vision bora na ubinafsi umewajaa.
Ujerumani wanaongea Kijerumani. Point yako ni ipi sasa!
Hapana siyo hivyo. Tatizo unasikiliza Taarifa bila kuzifuatalia kwa kina . Wanataka kurudisha wale wakimbizi ambao wameenda kule kinyume cha taratibu kama watafuta hifadhi. Hawa wa Kenya siyo Refugees wala ilegal Migrants, wao wanaenda kwa utaratibu wa kujazia gaps zilizopo kwenye Labour Market ya Germany. Wanaenda watu professionals, kama umesikia vuziri leo taarifa wakati Ruto anatliana saini ya haya makubaliaono na Chancellor wa Ujerumani leo.Waarabu, wahindi na popo hawakubaliki huko abroad kwa tabia zao za kijinga
Kuna mkenya, kwenye hiyo conference anafundisha vijana kukarabati ndege, Serikali ya Kenya, imekubali kumsadia kuingiza ndege za kufundishia Kenya, ili vijana kibao wapate mafunzo, huku kwetu samia na, genge lake la ccm, walikumuwekea vikwazo Tajiri kijana m wenzetu, Fernandez asiwekeze bongo, na, NALA, akaenda kuwekeza Kenya,! Ccm inaogopa vijana wengi wakiwa na nguvu za ki uchumi, watawatishia na, kuwa weka, roho juu, wasitswale ki uraiiini,View attachment 3095829
Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,
Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.
View: https://x.com/visegrad24/status/1834677580542193790
Sasa kwa vipi English iwe sababu ya kuwapeleka Ujerumani?Ujerumani wanaongea Kijerumani. Point yako ni ipi sasa!
Usikalili kwamba kila International enterraction ni Ukoloni Mambo leo? By the way what is Neocolonialism? Globalization is inevitable sir ! Kwa sasa tunachokabiliana na ambacho ni adaui no.1 wa Mataifa yetu ya Kiafrika ni watawala wetu wenyewe kutupora Mamlaka yetu sisi Wananchi . Tusisingizie wakoloni tena.Huu ni utumwa wa mawazo.
Huu ni ukoloni/utumwa mamboleo.
========
Itoshe, huu ni ufukara wa mawazo.
========
Uzuri Watanzania hawafikirii na mafuvu tupu. Sio watumwa wa mawazo na ni wakemeaji wakubwa, tena namba moja wa ukoloni mamboleo
Wacha uongo. Deal imetiwa wino 13/9/2024.Hii deal ilisainiwa zamani sana.
Tanzania ni pazuri kuishi, kuna amani na utulivu. Kenya nchi yao siyo nzuri kama Tanzania ndiyo maana wanakubali kuomdoka nchini mwao.View attachment 3095829
Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,
Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.
View: https://x.com/visegrad24/status/1834677580542193790
Hapa ni kumuomba Bimkubwa atuombee wabongo fursa kama hii US kule hatushindwi!!Kwetu ni system Ila vijana ambao tupo tayari kwenda kufanya kazi tupo na lugha tunajua mkuu.
English language tunaongea na kuandika
Pia kijerumani tunaweza kujifunza.
The problem is not learning English be it from Kindergarten or Secondary levels or even at College, the problem is what you grasp and store in your head. Unatoka povu kwa kuwa wewe ni moja ya wale mnahesabu milango ya vyumba vya madarasa maliyopitia but not what you received and stored in your head.Ujerumani wanaongea Kiingereza?
Get your facts straight wacha kuongea kama zuzu, Kila mtu anasoma English as a secondary language hapa kwetu, ni sawa tu na nyingine zote ambazo English sio lugha ya kwanza!