Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

Serikali ya Tanzania inafikiria hapa kufikia bei ya mtu maarufu ndani ya Chadema na kupoteza watu shame on CCM
 
Sasa wewe ukiwa positivity na mimi nikiwa positivity hizi negativity tunamuachia nani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Acha watu wakashike dollar huku hizi za Madafu inatosha, Haya mambo hata kwa kujipambania inawezekana sema kama kile kitonga walichopata wakenya ina security flan
 
Acha watu wakashike dollar huku hizi za Madafu inatosha, Haya mambo hata kwa kujipambania inawezekana sema kama kile kitonga walichopata wakenya ina security flan
πŸ’΅ kila la kheri mkuu ukifanikiwa account yangu ni ile ile πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu upwiru tena πŸ˜‚πŸ˜‚
Huku Tz kimtindo hili lifestyle la Kijamaa tamu sana sasa jichanganye uende mambele kizembe utapiga ny3t0 mpaka Abdala kichwa wazi atabadilika rangi
 
illiteracy, Jielemishe kwani watumwa walikuwa hawalipwi?
Tuambie ni mtumwa yupi alikuwa analipwa kwenye somo la history, usilete matangopori yenu ya kijinga kutoka Kwa wajinga wenzio huko ccm ndio maana lichama lenu limewageuza mazwazwa ya imba imba huku yakiteka na kuuwa watu.
 
Ccm inaogopa sana Diaspora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…