Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

Nawe kuwa Mkenya sie tuachie Yanga na Simba setup.
Uku ndio hakuna stress.
 
Utumwa huo, eperties ni wachache sana
Experts wachache Kenya? Kama kuna Nchi ya Africa ambako kuna ibukia Tech Start Ups nyingi , basi Kenya ni moja ya Kitovu cha Innovators, has in Tech related innovations. Ndo maana hata major Investors kwenye early stages Companies wako Kenya. Kule wako mbali Bro.
 
Mh Bashe anaupiga mwingi ! Anajua anachokitafuta kupitia BBT
Tz bado sana haina mikakati ya ubunifu, wizara ya kilimo imeshindwa kuwa na hata mazao ya kimkakati. Kwamba miaka 2 zao la mchele, nyanya na kahawa kupewa kipaumbele kwa wakati huo kwa kuboresha kilimo bora, kutoa ruzuku, mikopo kwa wasindikaji na masoko ya uhakika
na miaka miwili mingne ni kwa mahindi, maharage na tumbaku pia kuwepo na dira ya kiwango cha mavuno kufikia ili kuweka akiba, mauzo ya nje na ndani ya nchi
utashanga wizara hy ipo busy na miradi ya isiyo kuwa na mpangilio zaidi kupiga 20% ya udalali
 
Kwa hiyo nchi hii wataalamu wote wana ajira?
Acha uzuzu , JK alirudisha wangapi ukiacha wale dada washikaji zake mojawapo yule aliyemtoa Sounth Africa akampa kuwa CEO pale TIC? Nan baada ya Jembe kuja akakutwa analipwa Mshahara wa Kufuru akamwambia either akubali Mshahara kupunguzwa au aachie ngazi, akaamua kutimuka tena? Yule alikuwa just MC ambaye JK alikutana naye South Africa wakati wana Kikao kule ndipo akavutiwa naye, siyo kwa umahili wake Kichwani bali muonekano wake .
 
moja kati ya vitu vizuri alivyofanya Kikwete ni kurudisha waTanzania waliopo nje na kuwapa nafasi za ndani kuendeleza nchi, ni ujinga, narudia tena ni ujinga kujisifia kutoa workforce ya Nchi kupeleka Nchi nyengine, just imagine mtoto kasoma msingi bure, sekondari bure, Chuo na Heslb zote hizo ni kodi za wananchi halafu akaifaidishe ujerumani wakati nchi hapa hata wataalamu hatuna?
Acha uzuzu , JK alirudisha wangapi ukiacha wale dada washikaji zake mojawapo yule aliyemtoa Sounth Africa akampa kuwa CEO pale TIC? Nan baada ya Jembe kuja akakutwa analipwa Mshahara wa Kufuru akamwambia either akubali Mshahara kupunguzwa au aachie ngazi, akaamua kutimuka tena? Yule alikuwa just MC ambaye JK alikutana naye South Africa wakati wana Kikao kule ndipo akavutiwa naye, siyo kwa umahili wake Kichwani bali muonekano wake
 
Walio na visenti hawaendi ughaibuni?
Watoto wa hao unaowaita wana Visenti hapa Bongo , wote wako Ughaibuni. Nani kakudanganya. Hata hao Viongozi unaofanyia Uchawa watoto wao wako huko Ughaibuni na wengine wazazi wao wana Mighorofa huko tayari. We jidanganye eti Ughaibuni hapalipi endelea kula Mihogo ya kukaanga na Kachumbali hapo kwenu.
 
Watoto wa hao unaowaita wana Visenti hapa Bongo , wote wako Ughaibuni. Nani kakudanganya. Hata hao Viongozi unaofanyia Uchawa watoto wao wako huko Ughaibuni na wengine wazazi wao wana Mighorofa huko tayari. We jidanganye eti Ughaibuni hapalipi endelea kula Mihogo ya kukaanga na Kachumbali hapo kwenu.
Mkuu umenielewa kweli? Au umeamka na mning'inio wako ukachomoa simu chaji ukaanza kuandika tu
 
Ujermani tayari idadi ya wazee ni kubwa kama Italy, na nguvu kazi imepungua sana hasa za kazi kama drivers, gardeners, wapishi, wafanya usafi, hivo hapo hakuna jipya, watalipwa hiyo pesa na kodi watalipa vilevile,
Ili nakubaliana kabisa maana wanaofanya kazi Leo ndio wanawalipa wazee Kwa Kodi wanazokatwa hivyo lazima waongeze wafanyakazi kulipa kundi kubwa la waliostaafu.
 

Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,

Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Makubaliani ni kuingiza skilled workers (mfano wahandisi, it, wahasibu, madaktari, walimu, n.k) na semi skilled workers (mfano madereva, wapishi, reception, store keeper, n.k)

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)

Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
  • n.k.
Unajua mawazo na akili ndogo ziache huko kwenye family. Unachoongea sio kweli . Mbona Egypt imeendelea kiuchumi na kuna Zamaleik na Ahly na Pyramid. Mbona Morroco imeendelea na kuna timu kubwa tu. Mbona South African imeendelea na kuna Mamelod na Kaiser Chiefs. Uliochoongea ni uongo uongo.
 
Na
moja kati ya vitu vizuri alivyofanya Kikwete ni kurudisha waTanzania waliopo nje na kuwapa nafasi za ndani kuendeleza nchi, ni ujinga, narudia tena ni ujinga kujisifia kutoa workforce ya Nchi kupeleka Nchi nyengine, just imagine mtoto kasoma msingi bure, sekondari bure, Chuo na Heslb zote hizo ni kodi za wananchi halafu akaifaidishe ujerumani wakati nchi hapa hata wataalamu hatuna?
Nataka ujue wengi wako nje na mikopo hawajalipa sasa tatizo ni la nchi Hilo sera mbovu za ajira
 
Kwanza wanachoeshimu ni matumizi ya lugha yao ndio kipaumbele ila sio kwamba kama ujui lugha uwezi kupewa msaada Kwa lugha kama English coz ni lugha wanaielewa ila awaipi kipaumbele sababu ya tamaduni zao hapa
 
Ukiwa unafuatilia passport tu bongo ndio utaelewa sisi ni nchi ya namna gani, mtu una kitambulisho cha uraia ila bado hakitoshi!
 
Unajua mawazo na akili ndogo ziache huko kwenye family. Unachoongea sio kweli . Mbona Egypt imeendelea kiuchumi na kuna Zamaleik na Ahly na Pyramid. Mbona Morroco imeendelea na kuna timu kubwa tu. Mbona South African imeendelea na kuna Mamelod na Kaiser Chiefs. Uliochoongea ni uongo uongo.
Tofauti ni namna sisi wabongo tulivyoweka mawazo na muda wetu mwingi kujadili na kuandika mambo ya Yanga na Simba na kuacha mambo megine mengi ya kijamii na kisiasa ambayo yana athari ya mojo kwa moja katika maisha yetu hapa Nchini. Hata England kuna Timu maarufu na zina wafiasi, but it doesnt distract people from their focusing to other important matters that affect their daily life. Sisi wabongo Serikali imejua udhaifu wetu huu na ndiyo imezidi kukoleza chunvi na pilipili kupitia vitu kama Goli la mama. Huyu mama yuko very smart na ametupatia.
 
Ujerumani wanaongea Kiingereza?
Get your facts straight wacha kuongea kama zuzu, Kila mtu anasoma English as a secondary language hapa kwetu, ni sawa tu na nyingine zote ambazo English sio lugha ya kwanza!
Ujerumani wanaongea Kijerumani na Kingereza, Ujerumani ndio taifa la pili Ulaya baada ya Uingereza kuwa na wazungumzaji wengi zaidi wa English.
 
Back
Top Bottom