Wakati Waafrika wakiuzwa kama watumwa, Mashehe, Mapadre, wachungaji wa Ulaya, Amerika na Uarabuni walikuwa wapi?

Nenda basi ata Bagamoyo ukaone juhudi za kanisa kukomboa watumwa, sio mbali hapo. Unajua kuna kijiji pale kilianzishwa na kanisa na wakawa wanaishi watumwa waliokombolewa? Mpaka leo vizazi vyao vipo hapo Bagamoyo mjini?
 
Nadhani mtoa Mada hajasoma history....waliokuwa wanaendesha biashara za utumwa ni waarabu.na wamisionary na humanitarian ndio walioshinikiza kuachishwa Kwa biashara ya utumwa.kama Kuna watu wa kuwalaumu kuhusu biashara ya utumwa ni hao hao warabu.

Waarabu walikuwa wanauza wapi hao watumwa?
Wanaanunua wapi na kuuza wapi?

Biashara inahitaji sehemu ya kuchukua mzigo na sehemu ya kuuza.
 
Hatuna uwezo wa kukwepa kuingia mikataba, tunaishi tukihitaji uwekezaji wa kila aina.

Ulishauona mkataba wa bomba la mafuta upo vipi?. Ulishaiona mikataba iliyonunua ndege tisa zilizopo hivi sasa?

Hizi anga za mikataba ni za juu sana sio kila mtu mwenye uelewa wa kuweza kuongelea mikataba akaeleweka, hii ni fani ya watu inayosomewa vyuoni miaka na miaka.

Lakini tumeamua kuwa na taifa la wajuaji, basi tuendelee kupuyanga tu. Muuza machungwa pembeni ya barabara anamponda kocha wa kigeni aliyeletwa na uongozi wa Yanga au Simba!. Ni taifa la kijinga linalochezea elimu na sio ajabu linaendelea kukwamia katika umaskini.
 
Acha dhambi acha Rushwa utaona Matunda yake maana Mwenyezi Mungu atakulinda kila siku unapoamka,unapotembea na unapolala hatakuacha kamwe.
Mungu muweza wa yote, Alishindwaje kuumba Dunia unia isiyo na dhambi?

Mungu alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda dhambi?

Je bado huoni tu, kwamba Mungu huyo hayupo?
 
Mungu muweza wa yote, Alishindwaje kuumba Dunia unia isiyo na dhambi?

Mungu alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda dhambi?

Je bado huoni tu, kwamba Mungu huyo hayupo?
Kama Mungu hayupo basi na wewe ni mzimu.
 
Kama Mungu hayupo basi na wewe ni mzimu.
Umeshindwa kujenga hoja ya kuonesha uwepo wa huyo Mungu.

Sasa unafanya personal attack.

Tufanye basi mimi ni mzimu.

Mungu Mkamilifu, Alishindwaje kuumba Dunia yenye watu wakamilifu bila uwepo wa mizimu?

Kwa nini uwepo wa Mungu una utata?
 
Umeshindwa kujenga hoja ya kuonesha uwepo wa huyo Mungu.

Sasa unafanya personal attack.

Tufanye basi mimi ni mzimu.

Mungu Mkamilifu, Alishindwaje kuumba Dunia yenye watu wakamilifu bila uwepo wa mizimu?

Kwa nini uwepo wa Mungu una utata?
Watu wote ni wakamilifu isipokuwa nafsi zao ndio zinazowatofautisha.
 

Sent from my Infinix X6820 using JamiiForums mobile app
 
Tusiwe na mahaba na dini zetu both waarabu na wazungu walishiriki vyema kabisa katika biashara ya utumwa.


Sent from my Infinix X6820 using JamiiForums mobile app
 
Ili jamii/nchi iendelee inapaswa kuendelea kwenye nyanja tatu ambazo ni Uchumi, Siasa na Utamaduni...

Hivi vitu vitatu haviwezi kutenganishwa, dini ni sehemu ya Utamaduni na zinaweza zikawa za asili au za mapokeo...
Dini sio utamaduni wetu
 
Ongezea na hii

Sent from my Infinix X6820 using JamiiForums mobile app
 
Nenda basi ata Bagamoyo ukaone juhudi za kanisa kukomboa watumwa, sio mbali hapo. Unajua kuna kijiji pale kilianzishwa na kanisa na wakawa wanaishi watumwa waliokombolewa? Mpaka leo vizazi vyao vipo hapo Bagamoyo mjini?
Utumwa umefanywa kwa miaka 400, viongozi wa dini wazungu na mashekhe wa kiarabu walikuwa wapi?
 
Utumwa umefanywa kwa miaka 400, viongozi wa dini wazungu na mashekhe wa kiarabu walikuwa wapi?
Kanisa limefika Bagamoyo 1800s, na wakakomboa watu mpaka Zanzibar, sasa uislamu na waarabu wapo pwani ya mashariki tangu karne ya 8!! 🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️ wanamajibu zaidi.
 
Watoto wa kizungu wapi? koo za, akina JK, Nauye, Malima, Samia, Mwinyi, Kinana, Lowasa, Sokoine, Makamba, n.k zina uhakika wa kula mema ya nchi milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…