Tetesi: Wakati wowote mbunge wa Mtwara Mjini (CUF) atazungumza na waandishi wa habari

Status
Not open for further replies.
K
Ukiangalia yanayotokea katika siasa za Tanzania utadhani yanayofanyika ni comedy. Hii nchi inaweza kuwa ni yakwanza Duniani kwa haya yanayotokea
Mkuu kwa siasa hakuna kitu kigeni,haya mambo kwa hapa kwetu yalikuwa hayajitokezi sana kutokana na mazingira na nyakati.
Uelewa wa watu ukiongezeka basi hata maamuzi yale ya kuaminishwa jambo unapungua na watu kupata fulsa ya kutafakari na kutoa maamuzi.
 
Me nawahurumia tu wananchi watakaomchagua tena huyo shetani
 
Chadema kufa sio leo wala kesho chadema ni taasisi nyuma yake tuko wengi ZAIDI ya asilimia 70% ya wa Tanzania.

Sajilini mkimaliza mseme.

Na kikisalimika kipindi hiki, hakitakufa tena.

Cha msingi wa assess current situations na waje na plans, plans za mwaka jana havifanyi kazi mwaka huu.
 


Dhambi ya 2015. Ndiyo kifo cha CDM
 
upinzani upo njiapanda

Hapo unapewa option ujiunge CCM au usirudi Bungeni. Na Wabunge njaa wetu wakiangalia rafu zinazochezwa kwenye chaguzi wanaona bora kujiunga tu CCM.

Natabiri Mnyika, Ally Bananga, Mtatiro, Mbuge wa Bukoba Mjini soon watajiunga CCM.
 
Huyu ni mmoja wa wabunge hovyo kuwahi tokea. Na alishachokwa na wananchi kwa unafiki wake hata huko CCM wanamdanganya atakayesimamishwa ni Murji hapo.
 
Naunga mkono bandiko hili. Tatizo katika nchi hii in elinu hasa elimu ya uraia (civic education). Inaonekana so RAIA pekee waliokosa elimu hii Bali hata wawakilishi wa wananchi katika ngazi mbali mbali hawana elimu ya uraia ya kutosha. Sielewi in kwanini iwe vigumu kwa mbunge au diwani kuelewa kuwa kufanya kazi za maendeleo ya wananchi haihitaji kuhama chama. Elimu elimu elimu!
 
Nachofurahi ni kua wasaliti wanazidi kujipambanua na kujiweka wazi,
Hapo mwanzo ingetuwia vigumu kuwagundua lakini sasa wameamua kujipambanua wenyewe ili tuwajue,
Ahsante Mungu kwa kuwapa akili hiyo ya kujiweka wazi.
Acha kujifariji wewe
Huwezi kuingia kwa ari kubwa uchaguzi wa 2020 mkiwa na wabunge 10
 
Hawa watu ni wajinga sana
Huo ndiyo ukweli na wanachohitaji ni elimu ya uraia. Kwa sasa wanaongozwa kwa kiasi kikubwa na mihemuko ya kisiasa kama matokeo ya ukosefu wa elimu ya uraia, ambayo hata raisi mwenyewe hana ya kutosha. Chini ya awamu hii tutarajie matukio ya kijinga mengi zaidi.

Hata hivyo HILI NALO LITAPITA!
 
Mi naona bora wabunge wote wa upinzani na madiwani wajiuzulu nafasi zao na kurudi ccm maana 900 inapendeza zaidi
 
Ujinga huu kwa faida na nani?!Utaendelea mpaka lini?!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…