Katoriki 20%???? Embu acha utani basi kuwa serious basi hata kidogoProtestants.
Hasa hasa Hawa wa Evangelical au waite KKKT kwa hapa wapo 25% ya population ila protestants wote ni kama 50 ya population.
Catholics ni 20% tu.
Ile Protestants kweli tuna ubaguzi Mkuu!Waamini waka Catholic hawana ubaguzi na hawatumii mihemko, they use logic na kujali na kuheshimu uhuru wa imani za watu wengine. Anaweza msaidia mtu wa imani nyungine bila kujali. Ila sisi tunaojiita wapendwa tunaroho mbaya za ubaguzi wa kidini. Unakuta hata kuolewa/kuoa tuwe kwa wenyewe, huu msemo unakuta tuko somewhere tunaitana wewe ni MKKKT mwenzangu etc. Sijawahi wasikia wa Catholic wakiitana kiubaguzi hivyo. Unaweza kaa na mkatolic na usijue anasali wapi lakn sisi lazima tuulize et unaabudu wapi?..nk.
Ndo maana Mungu anatunyima nafasi za kuongoza nchi, tutaleta ubaguzi
Sema hata wewe ,wote mtafungishwa mpaka mfe abaki yeye na mkewe tu. Lazima kuwe na misingi inayofahamikaSasa uje umpe uraisi muumini wa wa makanisa kama ya akina Makenzie na akina geo si ataipeleka nchi kusikojulikana?
Kweli Mkuu,huoni ata viongozi kugombania fedha za Kanisa ni kawaida kwa Protestants lakini huwezi kuta huo upuuzi katoliki.Hapa yawezekana umesema ukkwl haya madhehebu ni ya kibaguzi mnooo!! Ebu fikiria msabato apate urais
Yaani hujakosea kuna mtu alimnyima jirani njia, anauliza wewe kabila gani? Unasali KKKT? Yaani nilichoka kumwachia mtu apite mita 1½ unauliza anasali wapi? Urais wausahau kabisa wafanye mambo mengine wawapishe wasio na wabaguziWaamini waka Catholic hawana ubaguzi na hawatumii mihemko, they use logic na kujali na kuheshimu uhuru wa imani za watu wengine. Anaweza msaidia mtu wa imani nyungine bila kujali. Ila sisi tunaojiita wapendwa tunaroho mbaya za ubaguzi wa kidini. Unakuta hata kuolewa/kuoa tuwe kwa wenyewe, huu msemo unakuta tuko somewhere tunaitana wewe ni MKKKT mwenzangu etc. Sijawahi wasikia wa Catholic wakiitana kiubaguzi hivyo. Unaweza kaa na mkatolic na usijue anasali wapi lakn sisi lazima tuulize et unaabudu wapi?..nk.
Ndo maana Mungu anatunyima nafasi za kuongoza nchi, tutaleta ubaguzi
Nguruwe wote watauwawa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hapa yawezekana umesema ukkwl haya madhehebu ni ya kibaguzi mnooo!! Ebu fikiria msabato apate urais
Pigia mstari, Nyerere katolewa Kijijini na kusomeshwa na Kanisa Katoliki kuanzia Primary mpaka University na mpaka mipango ya kupigania Uhuru ilikuwa inasukwa na Wakatoliki.Walimsaidia na kumsomesha?Kivipi?Uchokozi tu kwa faida ya wote.I will educate myself and "use my education
" for the benefit of all!
Lakini kwa Papa lazima wakae chiniNani kasema kwamba protestants hawana ushawishi duniani??
Nchi nyingi za Europe protestants ni wengi sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]Itakuwa ni shida mtupu. Watataka nchi nzima iishi agano la kale
Unadhani familia ya Julius ilikuwa kapuku kwamba wangeshindwa kumsomesha?Pigia mstari, Nyerere katolewa Kijijini na kusomeshwa na Kanisa Katoliki kuanzia Primary mpaka University na mpaka mipango ya kupigania Uhuru ilikuwa inasukwa na Wakatoliki.
Hawa jamaa wana mipango ya muda mrefu miaka ata 100 mbele ni tofauti kabisa na makanisa ya Protestants.
Na hao pia with time watakomaa.Naamini migogoro ipo katoliki lakini ni ngumu kuisikia na huo ndo ukomavu
Anapoteza muda...wakatoriki wanataka mtu aliyekuwa mkatoriki kwa kuzaliwa ama toka hatua za awaliMesikia Kuna waziri ametaka badili dini awe mkristo kisa anautaka uraisi, 2030/35
Miiko yao inawabeba pia maana ya Katoliki ni popote, hivyo sio la mtu nikama jeshi ukipewa ulinde mali yao basi unalinda kweli wewe nenda lugalo mtafute mmoja pale umhonge akukatie kaeneo hapo makongo uone atakachokufanya, sasa mengine hayo Mchungaji na mama Mchungaji miaka yote ndiyo wasimamizi akifa mtoto wao sasa hapo unategemea nini!Naamini migogoro ipo katoliki lakini ni ngumu kuisikia na huo ndo ukomavu
Vp uk 🇬🇧 haichangqnyi dini na dola?Ulaya ya magharibi au iliyoendelea ukipenda asilimia kubwa ni protestants... na u protestant ndo ulikua chachu ya mabadiliko makubwa huko ulaya.
Evangelicals hawachanganyi dini na dola.
Ndugu yangu mambo hayaji kwa hisia, nyie mnaotaka iwe hivyo ndo mpambane,,, hadi mnaona kila siku ni wakatoliki jua nao wamekaza msuli hawajakaa hapo sababu ya kuonewa hurumaWanatazama uwiano wa kura sababu linawafuasi wengi ila imetosha zamu ya KKKT ama Anglican sasa
Marais wakatoliki wamekuwa wanalibeba sana dhehebu lao
Wanalipa maeneo makubwa ya ardhi kwa lazima
Ukiwa waziri wa ardhi wewe bishana nao kwenye ardhi huchukui muda utatoka
Pia wamekuwa wanawasapoti kwa vitu vingi mfano kwanini roma shule zake za seminari na vyuo aliachiwa?
Makanisa mengine mpaka leo hayajarudishiwa?
anglican walihangaika wee wakajikuta wanaambulia tu mazengo ambayo sasa ni St johns university
Ila chuo cha ualimu korogwe hosptal ya muhimbili msalato navingne serikali imegoma
Baba yake alikuwa Chief,unajua mentality za wazee wa zamani ilikuwa kazi ni kuchunga Ng'ombe tu.Lakini inasemekana Mwalimu Nyerere alikuwa kichwa sana, Kwaiyo Kuna watu walitumwa kwenda kumuomba Mzee wake ili aende shule na inasemekana aliyekuwa anamsimamia ni Padri fulani.Unadhani familia ya Julius ilikuwa kapuku kwamba wangeshindwa kumsomesha?
Hiyo "r" iwe "l" mkuu!Miiko yao inawabeba pia maana ya Katoriki ni popote, hivyo sio la mtu nikama jeshi ukipewa ulinde mali yao basi unalinda kweli wewe nenda lugalo mtafute mmoja pale umhonge akukatie kaeneo hapo makongo uone atakachokufanya, sasa mengine hayo Mchungaji na mama Mchungaji miaka yote ndiyo wasimamizi akifa mtoto wao sasa hapo unategemea nini!
Bado haujajibu swali.Nipo hapa Nyakanga naelekea Butiama.Baba yake alikuwa Chief,unajua mentality za wazee wa zamani ilikuwa kazi ni kuchunga Ng'ombe tu.Lakini inasemekana Mwalimu Nyerere alikuwa kichwa sana, Kwaiyo Kuna watu walitumwa kwenda kumuomba Mzee wake ili aende shule na inasemekana aliyekuwa anamsimamia ni Padri fulani.