Uchaguzi 2020 Wakazi wa Iringa wajitokeza kumpokea Tundu Lissu

Hivi kwa akili zenu mnajidanganyai lissu atapata kura za kumtosha??? Ameachiwa uwanja peke yake sasa hivi na bado anakusanya umati hafifu kama ule.Subiri kipenga kipigwe mtamkimbia mgombea wenu kwa aibu.
Kura atapata na atakuwa Rais. Hutaki acha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…