Acha uongo safari ya zanzibar uliiona wapi?Zanzibar tuliambiwa hapa kaenda na kweli alienda Ila kilichomkuta kule Chadema waliamua kupotezea ni aibu na hata waleta mada za Lisu kwenda Zanzibar waliingia mitini kwa aibu.
Hawapo mkuuUmeona kuna shehena ya Wasanii wa Bongo fleva hapo Boss?
Yule mzee ana akili mingi sana"Tuache kuhukumu wengine kwamba wanachanganya DINI na SIASA. Kongamano hili (la amani) halijachanganya DINI na maharage"
By Askofu Bagonza
Zee la baptisit hujambo. Huu mwaka mzee mgaya atapata stroke.Huko tunakuja mimi na mzee Mgaya...... Msigwa lazima akae mapema sana!
Wasije tu wakapitiliza Idadi NEC wakafanya yaoTaarifa zinaonyesha kwamba vitabu vya kuandikia wadhamini wa Lissu vimejaa hadi kwenye makava !
Kuna yule taahira kule Hai anasema wananchi walimsimamisha ili waambiwe sera za ChademaHizi sio kampeni wewe,ni watu wamesimamisha msafara
Hata Iringa Ngome yenu saiv mnapata hao pekee?
Wajaribu tutawabikili kwa tindo maana wale wajinga tuliwaacha tu but I swear warudie tena wataenda kusimuliana mortury.Kabakiza mbeya tu kwishakazi, kwingine ataambulia mawe
Kinachouma zaidi ni pale mtu ulikuwa unakusanya watu lundo kwenye kampeni, siku ya siku unakuja kupigwa na kugalagazwa vibaya, huwa inauma Sana
Kinachowafanya wanasiasa watangaze mapema eti uchaguzi utakuwa mgumu na usioeleweka na kwamba eti wanapendwa Sana, ni Kwa sababu ya watu kwenda kusikiliza kile wanasema, wengine kwenda kushangaa tu, na wengine kama mimi, kwenda kuangalia miujiza ya Mungu Kwa mgombea wa Chadema, jinsi Mungu alivyomtendea
Wanasahau kwamba Siku ya kupiga Kura inakuwa ni Siri ya mtu, hichi ndicho huwa wanajisahau hasa wajinga wachache humu, hushughurika na kusherehekea wingi wa mkusanyiko wa watu badala ya kusherehekea siku ya ushindi
Nyie sherehekeeni huo ujinga, wenzenu watasherehekea ushindi
Wenzenu wameamua kutumia njia za mkato kupitia makundi ya viongozi wa dini kwa kupitia makanisa na misikiti pamoja na kuwatumia wasanii.Wape salaaam. Baba yupo Iringa anaipigania haki ya kweli.
View attachment 1540276
View attachment 1540281
Upendo wa kweli kutoka moyoni...hawakuchoka kumsubiri
View attachment 1540355
Mkuu, nimecheeka Sana Kwa ulivyoandika, πππ Nikakumbuka kwamba kweli Sisi binadamu ndivyo tulivyo.Binadamu banaa wangefika watu kiduuchuuu kama juzi kwa Lipumba mngemaindi, sasa kakusanya kijiji/nyomi la kufa mtu tokea saa 5 asubuhi bado unapanua domo kama kiboko daah.
Watu wa dini baadhi yao ndiyo wale wale waliomshitaki Yesu kwamba ni mchochezi...ati anachochea watu wasifanye kazi na wasilipe kodi..kwamba eti anazurura zurura tu.... haya ndiyo mashitaka yaliyompeleka pale msalabani kuwambwa..wala hakupewa nafasi ya kujitetea....ingawa mwenyesha mashitakawa wakati huo akagoma kutoa hati ya kifo akaamua kupeleka shauri kwa Gavana wa dola ya kirumi - Gavana. nayeye akagoma akasema sioni kosa la mtu huyu akanawa mikono yake mbele ya umati kwamba damu hiyo itakayomwagika isimuhusu yeye na kizazi chake na kugoma kabisa ku-sign dearth sentence ila wao wazee wa DINI wakawachochea wananchi kuchukua hatua mikononi Akauawa kifo va aibu....end of kwa ukombozi wetu!!Hahaha safi sana. Napata raha sana. Lissi go baba go. MUNGU yuko pamoja nawe.
Emb niweke wazi, wewe ni mwanachama wa CCM?Mkuu, nimecheeka Sana Kwa ulivyoandika, πππ Nikakumbuka kwamba kweli Sisi binadamu ndivyo tulivyo
Ila ukweli niloandika utaishi milele, wewe kusanya watuu weee, mwisho wa siku, hao uliowakusanya ndio majaji wako, kukusanya watu, siyo kusherehekea, Bali sherehe ni ushindi, na Naamini, wenzao watasherehekea ushindi na
Mkuu, nimecheeka Sana Kwa ulivyoandika, πππ Nikakumbuka kwamba kweli Sisi binadamu ndivyo tulivyo
Ila ukweli niloandika utaishi milele, wewe kusanya watuu weee, mwisho wa siku, hao uliowakusanya ndio majaji wako, kukusanya watu, siyo kusherehekea, Bali sherehe ni ushindi, na Naamini, wenzao watasherehekea ushindi na
Ili tuwe tunabishana tu hata kwenye ukweli na mambo ya kipumbavu siyo?Emb niweke wazi, wewe ni mwanachama wa CCM?
Kwa bahati mbaya sana binadamu ana hulka ya kutaka kusikia vitu na mambo mapya.Hivi kwa akili zenu mnajidanganyai lissu atapata kura za kumtosha? Ameachiwa uwanja peke yake sasa hivi na bado anakusanya umati hafifu kama ule.Subiri kipenga kipigwe mtamkimbia mgombea wenu kwa aibu.
Ulitegemea Tanga apokelewe kishujaa?!Kabakiza mbeya tu kwishakazi, kwingine ataambulia mawe