Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Kwa vile mnawategemea wakina Diamond na KibaHivi kwa akili zenu mnajidanganyai lissu atapata kura za kumtosha? Ameachiwa uwanja peke yake sasa hivi na bado anakusanya umati hafifu kama ule.Subiri kipenga kipigwe mtamkimbia mgombea wenu kwa aibu.
Mkuu, kwani hujawahi kuona wingu zito lenye Dalili zote za mvua badaye likayeyuka?Kwa lugha nyingine ndiyo unatukumbusha bao la mkono la yule kijana wa Mtama siyo? Kwamba Votes don't count, what determine the victory is he who count the votes siyo?? Huwezi kuniambia angani kukiwa na wingu zitooo jeusii tiii maana yake muda si mrefu mji utajaa vumbi....
Tumia akili kidogo!Zanzibar tuliambiwa hapa kaenda na kweli alienda Ila kilichomkuta kule Chadema waliamua kupotezea Ni aibu na hata waleta mada za Lisu kwenda Zanzibar waliingia mitini kwa aibu
Mkuu, kwani hujawahi kuona wingu zito lenye Dalili zote za mvua badaye likayeyuka?
Na ikitokeaga hivyo Waganga wa kienyeji hipigwa mapanga balaa, kisa kuna mtu aliamini mvua zitashuka Tu bila kujua kwamba wingu pekee si mvua
Hahahahaaa maono ya kishoga au, kama ana maono basi hatavhiyobhaki anayosema yeye sio wa kwanza kuileta hapa tanzaniaCCM ni baba jeni bai bai...... kwisha habari yenu!! Ninyi kaeni na wazee wa dini sisi tuna mbeba maono
Hahahahaaa maono ya kishoga au, kama ana maono basi hata hiyo haki anayosema yeye sio wa kwanza kuileta hapa Tanzania kuna akina Nyerere wakawatoa makaburu hapa na tukapata haki sasa yeye haki gani ataleta.CCM ni baba jeni bai bai, kwisha habari yenu!! Ninyi kaeni na wazee wa dini sisi tunambeba maono.
Kuna mtu kafanya kampeni kwa miaka mitano huku akigawa pesa barabarani na still malori yatahusika kubeba wanaccm,wewe unashangaa Lissu?Hivi kwa akili zenu mnajidanganyai lissu atapata kura za kumtosha??? Ameachiwa uwanja peke yake sasa hivi na bado anakusanya umati hafifu kama ule.Subiri kipenga kipigwe mtamkimbia mgombea wenu kwa aibu.
Lowassa alimwachia MunguHahahaaaa! Lowassa ilikuwa hivyo hivyo bwashee mwisho wa siku akapigwa na butwaa!
Kinachouma zaidi ni pale mtu ulikuwa unakusanya watu lundo kwenye kampeni, siku ya siku unakuja kupigwa na kugalagazwa vibaya, huwa inauma Sana
Kinachowafanya wanasiasa watangaze mapema eti uchaguzi utakuwa mgumu na usioeleweka na kwamba eti wanapendwa Sana, ni Kwa sababu ya watu kwenda kusikiliza kile wanasema, wengine kwenda kushangaa tu, na wengine kama mimi, kwenda kuangalia miujiza ya Mungu Kwa mgombea wa Chadema, jinsi Mungu alivyomtendea
Wanasahau kwamba Siku ya kupiga Kura inakuwa ni Siri ya mtu, hichi ndicho huwa wanajisahau hasa wajinga wachache humu, hushughurika na kusherehekea wingi wa mkusanyiko wa watu badala ya kusherehekea siku ya ushindi
Nyie sherehekeeni huo ujinga, wenzenu watasherehekea ushindi
Babako kaongea miaka 5 yote je ana jipya?, Lissu kaja juzi tu mzee wa watu anachachawa!! Ooh mara wazee wa dini, mara wasanii......mwambie atulie siasa kupokezana kuongea...asije akamponza Mwenyekiti wa Tume yetu bure maskini, atulie Ngondoigwa ipigwe!!M
Hahahahaaa maono ya kishoga au, kama ana maono basi hata hiyo haki anayosema yeye sio wa kwanza kuileta hapa tanzania
Kuna akina nyerere wakawatoa makaburu hapa na tukapata haki sasa yeye haki gani ataleta
Umati - hafifu, mwalimu wako alipoteza muda kukufundisha.Hivi kwa akili zenu mnajidanganyai lissu atapata kura za kumtosha??? Ameachiwa uwanja peke yake sasa hivi na bado anakusanya umati hafifu kama ule.Subiri kipenga kipigwe mtamkimbia mgombea wenu kwa aibu.
Kabakiza mbeya tu kwishakazi, kwingine ataambulia mawe
Mchuguzi ambao ccm ilishinda kihalali mara ya mwiisho ni 2005.,2010 na 2015 mmeiba kura ,inasikitisha sana chama mnachodai ni kikongwe kimebakiwa na option moja tu kuiba kura ili kushinda uchaguzi ndio maana mnaogopa tume huru kama ukomaKinachouma zaidi ni pale mtu ulikuwa unakusanya watu lundo kwenye kampeni, siku ya siku unakuja kupigwa na kugalagazwa vibaya, huwa inauma Sana
Kinachowafanya wanasiasa watangaze mapema eti uchaguzi utakuwa mgumu na usioeleweka na kwamba eti wanapendwa Sana, ni Kwa sababu ya watu kwenda kusikiliza kile wanasema, wengine kwenda kushangaa tu, na wengine kama mimi, kwenda kuangalia miujiza ya Mungu Kwa mgombea wa Chadema, jinsi Mungu alivyomtendea
Wanasahau kwamba Siku ya kupiga Kura inakuwa ni Siri ya mtu, hichi ndicho huwa wanajisahau hasa wajinga wachache humu, hushughurika na kusherehekea wingi wa mkusanyiko wa watu badala ya kusherehekea siku ya ushindi
Nyie sherehekeeni huo ujinga, wenzenu watasherehekea ushindi
Mbona CCM wameanza kampeni.Babako kaongea miaka 5 yote je ana jipya?, Lissu kaja juzi tu mzee wa watu anachachawa!! Ooh mara wazee wa dini, mara wasanii......mwambie atulie siasa kupokezana kuongea...asije akamponza Mwenyekiti wa Tume yetu bure maskini, atulie Ngondoigwa ipigwe!!
5 yrs anaongea wewe tu wengine kimya, Leo hii ana jipya lipi zaidi ya madaraja na reli?
Na bado wacha kampeni zianze ataganda!!