Wakili amtaja mtu atakayemuokoa Makonda mgogoro dhidi ya GSM, afafanua kosa alilofanya kisheria

Mimi sijauelewa huu mgogoro toka mwanzo pamoja na Wakili yule kuweweseka. Hii kitu wenda Bashite anaonewa tuu na ana haki ila kwa kuwa upepo mbaya sasa hivi upo kwa Bashite basi inaonekana GSM mwenye haki.
 
Thibitisha!!
 
Wakufoji ni wa kufoji tu tukatae huruma kwa Makonda Karma is real, Makonda kwa makusudi hakuiona na hakuithamini jana wala kesho yeye aliiona leo yake tu. Avune upupu wake wote na madawa nae tutampa ni suala la muda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…