Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thibitisha!!GS
M walishaelezea source ni baba yao ambaye amefariki last month alikuwa mfanyabiashara alianzia ruvuma akaja kusettle Tanga na wakaendeleza zaidi baada ya mzee kustaafu za kuwakabidhi wanae waendelee kusimamia biashara.
Sasa huyo makalio ametoa wapi hizo Mihela maana by 2013 hakuwa na Mia alikuwa anauza mkaa huko kimara
By the time anapata Udc alikuwa Hana kitu sasa usiniambie amefanya biashara ingali yeye alikuwa RC hiyo biashara gani alifanya???
Najua unataka ubishi tu Ila unaelewa kabisa ukweli upo wapi.
Killer passHii sentensi sijaielewa, ngoja nipite tu niwaachie wengine wajadili
Huyu ni yule wa kututetea kuhusu vifurushi? Kama ndiye basi ni opportunist tu ni kama panya, alituacha solembaHuyo wakili kesi zake dhidi ya makampuni ya simu ziliyeyukia wapi?
Urafiki ulikuwepo,Ila mmoja hakumalizia salio.waachieni wenyewe kwakuwa walisujidiana akiwa RC.Wote dhuluma wamekutanaaa
Hapo hakuna aliyemsafi
Ova
Huyu GSM ,inaonekana hana shule nzuri ya kumpa uelewa .Anaongozwa na akili ndogo za mtoto wa mzee wa Msoga.GSM waache wizi mali za dhuluma zitawatokea puani
Una akili za kitoto sana siwezi kubishana na utoto.Thibitisha!!
Kwa hiyo Hakimu akikwambia thibitisha kauli yako,nae atakua na Akili za kitoto!?Una akili za kitoto sana siwezi kubishana na utoto.