Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Akili za kiuwehu hizi.ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!!!
Hivyo vifo sio Corona ni.maradhi mengine tu
Kweli nimeamini ukisemacho, wale wa daladala ambao ndiyo wengi bado wanaendelea na maisha wala hawana wasiwasiAjabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!
Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
Inaitwa Propaganda...yani rona ya bongo unaikuta jamiiforums, insta, WhatsApp kila baada ya wiki hivi kutokea mikoa tofauti tofauti...mtaani haionekaniAjabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!
Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
Kwahiyo huyu alikuwa mtu mashuhuri?Duu comment imetolewa na mtu anaefikiria sahihi sas mtu wa kawaida akifa we utajuaje au kila mtu akiandika vifo humu si itakuwa hatari. Kifo kinachotangazwa siku zote ni either mtu mashuhuri mmoja au raia wengi full stop. Halafu umeshinda nae huyu ukaona anafuata protocol zote. Jpo inaeza kuwa kweli sio corona
Ha ha haInashangaza sana zamani NIMONIA ulikuwa ni ugonjwa wa watoto wachanga awamu ya TANO imefanya mabadiliko NEMONIA imekuwa ugonjwa wa wazee na wenye magonjwa nyemelezi.
Wacha niipongeze awamu ya kishindo kwa kubadili ugonjwa wa pneumonia kuwasumbua watoto wadogo hadi kuuhamisha kuwa ugonjwa wa wakubwaMkuu inamaana unaipongeza serikali au
Kinachosaidia watoto wasishambuliwe na huu ugonjwa ni chanjo ya nyumonia wanayopewa wakiwa wadogo...Inashangaza sana zamani NIMONIA ulikuwa ni ugonjwa wa watoto wachanga awamu ya TANO imefanya mabadiliko NEMONIA imekuwa ugonjwa wa wazee na wenye magonjwa nyemelezi.
Huwa inaanza hofu baada kusoma habari ambayo inapandisha au kushusha presha halafu kifua kinabana.Ajabu haiwapati wanaobanana kwenye msongamano kwenye daladala nk iinawawinda self drive!!! High profiles!!! wanao keep social distancing na kuepuka misongamano!
Hivyo vifo sio Corona ni maradhi mengine tu.
Tunaobanana tunakufa pia ila hatutamgazwi kama kwenye fweza zao.True
OK,ila nilim quote vibaya mkuu akisema tuepuke chanjo chanjo hizo.Kinachosaidia watoto wasishambuliwe na huu ugonjwa ni chanjo ya nyumonia wanayopewa wakiwa wadogo...
Leo kuna mtu anasema ati chanjo za mabeberu ni feki lah!!
Mkuu.Unasema huoni watu wakiumwa mtaani kwako? kwani huu ugonjwa unapimwa kwa macho? Mtu anaweza akawa na Covid-19 ila asionyeshe any symptoms,yaani kuna wengine wanapata huu ugonjwa mpaka wanapona bila wao kujijua,inategemea na immune system ya kila mtu,Science inathibitishwa kwa vipimo jomba na sio kwa macho,huwezi ukasema huna Covid-19 wakati hujapima.
Washakufa wabunge,mawaziri na hadi rais mstaafu. Kama akili kukaa sawa basi ingekuwa ishakaa kwa kifo cha Mkapa rais mstaafu ila wapi,sasa wewe unafikiri ni hadi nani afe?Mkuu Amini usiamini italamba. Hili sina shaka nalo, kwa sababu ukiwaona wamekaa kwenye mambo yao hawavai Mask, wanaamini tatizo hamna.
Na wao ndio hukutana mara nyingi wenyewe kwa wenyewe. Yupo mtu, kama sio wale 3 wa juu anaweza kuwa 4 au 5 atang’oka, baada ya hapo akili itaingia vichwani mwao.
Wale punguani waliokuwa wanasema kuwa Corona ni mafua kama mafua mengine wako wapi?
Pneumonia imeshika kasi kila mahali sasa hvi
Daaaa inauma sana kusoma koote huko ananza kula matunda ya elimu yake ghafla ang'ata shuka kama utani.Kwa masikitiko makubwa sana Ndugu yetu Wakili Msomi Geofrey Noah amefariki dunia leo hii jijini Arusha kwa tatizo la upumuaji.
Mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa amani. Amina.
View attachment 1698633
Wakili Noah(Kulia) enzi za uhai wake akiwa na Wakili Olengurumwa
View attachment 1698640
Wakili Noah enzi za uhai wake