Wakili Kibatala anajua sana alifanyalo. Ni lazima akuchanganye tu

Wakili Kibatala anajua sana alifanyalo. Ni lazima akuchanganye tu

Ana upeo mkubwa sana, akikuuliza swali lake usipojibu anavyotaka atamuongezea part B,C, na D ndani ya muda mfupi bila shahidi kutegemea mpaka aingie kingi.

Huyu mtu ni mbaya sana kwa hawa jamaa zangu waliokaririshwa majibu ya kutoa mahakamani, kwa hali hii wataugua sana bora wakubali yaishe.
Kibatala kumshinda kwake ni uwe unasema ukweli pindi anapokuuliza maswali yake. Sasa kama ukweli wenyewe ndo unakufunga basi itakula kwako
 
Huyu bwana stahili yake ni kukuhoji kwa muda mrefu sana. Yaani kielelezo kimoja kinaweza kwake kikawa na maswali Zaidi ya 25. Ana utaratibu wa kuhoji mpaka kufikia muda wa kuhairisha ili siku inayofuata aje na nguvu mpya na mawazo mapya. Amekuwa sana na utaratibu huo ambao kwa kweli umekuwa ukiwachanganya sana mashahidi.

Shahidi wa leo Swila ambaye leo ilikuwa siku yake ya tatu kuhojiwa tayari ameshachoka sana kwani hakumbuki tena aliyoyaongea juzi wakati akihojiwa na mawakili wengine, leo amekuja tayari kishasahau kila kitu utafikiri hakufanya rehearsal, hii ni ajabu sana.

Baada ya kuona leo anazidi kulemewa ilibidi Wakili wa Serikali anayeongoza jopo lao amsogelee na kumwelekeza amwombe Jaji kuhairisha kwa ajili ya tatizo la kiafya - Shahidi mwenyewe inaonesha alikuwa ana uwezo wa kuendela lakini wakili wake kaamua kuingilia kati ili wakampe nafasi ya kujipanga upya kutokana na namna ambavyo ameshavurunga!

Kibata Mwenyezi Mungu azidi kukubariki sana. Hukumu ya Mahakama ikitofautiana na umma tunavyoona basi Jaji huyu atakuwa na roho ngumu sana.

Anyway Acha Ibaki Hivyo!
1642389271508.jpg

Man of the match
 
Ukiona shahidi anahojiwa hadi anapata homa mahakamani ujue hapo hamna kesi!
Mbaya zaidi huyu ndiye aliyefungua jalada la kesi. Huyu anatakiwa ahojiwe hadi kieleweke. Jamhuri hapa wana hali ngumu sana na hii kesi. Naona hata Jaji kishaona muelekeo wa maji.

Ni aibu sana hii kesi, sijui kwa nini DPP hadi sasa yuko kimya, labda wanaogopa aibu ya "Kutokua na nia ya kuendelea na kesi" ukichukulia maelezo ya IGP Siro kwamba wana ushahidi mzito, ambaye nadhani ndiye alimuaminisha Chief kwamba kuna kesi ya ugaidi.

Tusubiri kesho tuone kama Inspector Swila atapanda kizimbani.
 
Mwenzenu anasota kule nyie mnafurahia maswali ya Kibatala, wabongo ni shida sana Tundu Lissu nusu afe ila wabongo waliishia kuongea tu kama hivi na story imeishia hapo hivyo hata ikitokea Mbowe akafungwa hakuna wabongo watakachofanya na hizi sifa za maswali ya Kibatala yataishia hapo hapo.
 
Nafatilia nondo za Kibatala, ningekua mimi shahidi ningetoroka na singerudi tena mahakamani
Aisee, hii kesi inaonyesha kwamba kweli nchi ahitaji tena askari mbumbumbu wa kuitikia kila kitu.

Tunahitaji askari weledi, wanaojua nini walifanyalo, watenda haki, ambao akili zao ziko sharp
 
Ana upeo mkubwa sana, akikuuliza swali lake usipojibu anavyotaka atamuongezea part B,C, na D ndani ya muda mfupi bila shahidi kutegemea mpaka aingie kingi.

Huyu mtu ni mbaya sana kwa hawa jamaa zangu waliokaririshwa majibu ya kutoa mahakamani, kwa hali hii wataugua sana bora wakubali yaishe.
Na huyu wa leo wa tatu kuugua,
Na cha ziada yeye hujisikia haja mara kwa mara.
 
Aisee, hii kesi inaonyesha kwamba kweli nchi ahitaji tena askari mbumbumbu wa kuitikia kila kitu.

Tunahitaji askari weledi, wanaojua nini walifanyalo, watenda haki, ambao akili zao ziko sharp
Ifike mahali waweke kigezo cha kuwa askari lazima kuwe kiwango cha elimu atlist Degree moja, sasa hawa darasa la saba wanatusumbua sana
 
Mimi siyo Mwanasheria lakini kwa mwenendo wa kesi hii Mbowe na wenzake naona bado wako salama. Serikali ilitakiwa wangoje mpaka wafaye kitendo cha kulipua vituo vya mafuta au kumdhuru kiongozi yeyote ili sasa waanzie pale. Hapo pangeonekana kuna exhibit. Lakini kwa mambo ya hearsay Mhe. jaji najua atatoa hukumu ya haki. Majaji wanatoa sana hukumu ya haki. Ngoja tusubirie.
 
Mbaya zaidi huyu ndiye aliyefungua jalada la kesi. Huyu anatakiwa ahojiwe hadi kieleweke. Jamhuri hapa wana hali ngumu sana na hii kesi. Naona hata Jaji kishaona muelekeo wa maji.

Ni aibu sana hii kesi, sijui kwa nini DPP hadi sasa yuko kimya, labda wanaogopa aibu ya "Kutokua na nia ya kuendelea na kesi" ukichukulia maelezo ya IGP Siro kwamba wana ushahidi mzito, ambaye nadhani ndiye alimuaminisha Chief kwamba kuna kesi ya ugaidi.

Tusubiri kesho tuone kama Inspector Swila atapanda kizimbani.
Hivi suppose ni kweli awe anaumwa halafu mara kesho tunasikia ameenda zake hapo itakuwaje?
 
Mwenzenu anasota kule nyie mnafurahia maswali ya Kibatala, wabongo ni shida sana Tundu Lissu nusu afe ila wabongo waliishia kuongea tu kama hivi na story imeishia hapo hivyo hata ikitokea Mbowe akafungwa hakuna wabongo watakachofanya na hizi sifa za maswali ya Kibatala yataishia hapo hapo.
ACHA IBAKI HIVYO HIVYO. Inakuuma nini sasa?
 
Baada ya kuona leo anazidi kulemewa ilibidi Wakili wa Serikali anayeongoza jopo lao amsogelee na kumwelekeza amwombe Jaji kuhairisha kwa ajili ya tatizo la kiafya - Shahidi mwenyewe inaonesha alikuwa ana uwezo wa kuendela lakini wakili wake kaamua kuingilia kati ili wakampe nafasi ya kujipanga upya kutokana na namna ambavyo ameshavurunga!
Wanakwena kunenepesha ng'ombe siku ya mnada🤣
 
Mimi siyo Mwanasheria lakini kwa mwenendo wa kesi hii Mbowe na wenzake naona bado wako salama. Serikali ilitakiwa wangoje mpaka wafaye kitendo cha kulipua vituo vya mafuta au kumdhuru kiongozi yeyote ili sasa waanzie pale. Hapo pangeonekana kuna exhibit. Lakini kwa mambo ya hearsay Mhe. jaji najua atatoa hukumu ya haki. Majaji wanatoa sana hukumu ya haki. Ngoja tusubirie.
Wale waliohukumiwa vifungo vya maisha katika kesi ya uhaini kipindi cha Nyerere waliwai kufanya walau jalibio moja la kuua?
 
Back
Top Bottom