Wakili Kibatala anajua sana alifanyalo. Ni lazima akuchanganye tu

Mbowe kutoka tu sio suluhisho la tatizo lilipo, yashatokea mengi na yataendelea kutokea mengine.
Sasa kama tunaona akitoka Mbowe kwa hayo maswali ya Kibatala ndio suluhisho basi sawa tuendelee kufurahia maswali ya Kibatala.
Hujatoa solution ya nini kifanyike sasa. Maana so far kesi ipo mahakamani na hamna kingine kinaweza fanyika zaidi ya kusubiria hakimu akiona kesi ni ya kujibu au laah. Wacha tuendelee na kumsifu kibatala maana kwa sasa hatuna lingine la kufanya
 
Acha inyeshe Ili matobo yanayovuja ya zibwe mwisho was siku🤸🤸🤸🤸.
 
Ila Jeshi la polisi lina wapelelezi duni sana !
kuna haja ya serikali kuchunguza elimu zao , Kumbukeni kwamba hawa waliopangwa kutengeneza kesi ya Mbowe ndio wapelelezi Nguli kabisa wa Jeshi la Polisi Tanzania , hawa akina Swilla , Ndowo na timu yao , yaani hapa polisi ndio wamevunja kabati yaani !

Sasa angalieni utopolo wanaoutoa Mahakamani , Kwa kweli ni aibu kwa Nchi
 
Walishathibitisha kuwa hawahitaji wenye uelewa kwani hawapo tayari kubeba magobori😄😄 .
 
Uwezekano mkubwa watakuwa hawana kesi ya kujibu baada ya Jamhuri kumaliza ushahidi.
 
Hujatoa solution ya nini kifanyike sasa. Maana so far kesi ipo mahakamani na hamna kingine kinaweza fanyika zaidi ya kusubiria hakimu akiona kesi ni ya kujibu au laah. Wacha tuendelee na kumsifu kibatala maana kwa sasa hatuna lingine la kufanya
Sio kwa sasa tu hamjawahi kuwa na la kufanya, Lissu yule pale katiwa kilema kuna ambalo mlifanya? Ila kama ulivyosema tuendelee kufurahia maswali ya Kibatala na huyo Mbowe muache aendelee kukonda sasa akihukumiwa kabisa sijui itakuaje.
 
Hahahaa,eti "wastage of our nation resources"
Na wewe unajiita msomi. Unachekesha kweli.
 
Sio kwa sasa tu hamjawahi kuwa na la kufanya, Lissu yule pale katiwa kilema kuna ambalo mlifanya? Ila kama ulivyosema tuendelee kufurahia maswali ya Kibatala na huyo Mbowe muache aendelee kukonda sasa akihukumiwa kabisa sijui itakuaje.
Mungu amefanya kubwa sana. Kuna adhabu kubwa duniani zaidi ya kifo?. Wote waliopanga mauwaji ni marehemu na wengine hawako kwenye nyadhifa zao.
Damu ya mwanadamu haipotei kama Mungu alivyomwambia Kaini.
Waziri wa ulinzi, Katibu mkuu kiongozi, rais kwa mara ya kwanza katika nchi yetu vyote vilitokea. Bado huna la kujifunza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…