Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] akili kubwaHii ni nchi yetu sote,haijalishi una wadhifa gani muhimu wote ni waTanzania.
Nimekuwa nikifiatilia kesi ya ugaidi inayoendelea katika mahakama chini ya majaji watu katika nyakati tofauti tofauti na sababu mbali mbal...
Huu msemo wake naupenda sanaaaNgoja ikae hivyo hivyo
Mechi ikiendelea ivi kuna kujinyea au kujikojolea kwa mtu mahakamani....
Mbowe sio Gaidi
Free Freeman
Badala ya kulazimisha mamlaka za tunzi bambikizi, unatuleta kiwango chako cha chuki na roho mbaya kwa watetezi wa kweli wa haki? Lazime iwe wewe ni sehemu ya timu bambikizi🤔Hii ni nchi yetu sote,haijalishi una wadhifa gani muhimu wote ni waTanzania.
Nimekuwa nikifiatilia kesi ya ugaidi inayoendelea katika mahakama chini ya majaji watu katika nyakati tofauti tofauti na sababu mbali mbali...
Hayo maswali ya kawaida sana, labda kama hujui nini maana ya cross examination.Hii ni nchi yetu sote,haijalishi una wadhifa gani muhimu wote ni waTanzania.
Nimekuwa nikifiatilia kesi ya ugaidi inayoendelea katika mahakama chini ya majaji watu katika nyakati tofauti tofauti na sababu mbali mbali...
Wameshaanza wengine kutoa wito wa kushughulikiwa wanaoibua madudu Yao na kuyamwaga hadharani🤔.Kibatala apewe ulinzi
Ila hapo umeuwaKibatala amefanikiwa kuuonesha umma kuwa huko Polisi hakuna hata mwenye average IQ. Shahidi huyu wa mwisho, ni kituko - kila baada ya masaa mawili chooni. Huyu siyo wa kuishi naye. Anaweza kukufanya uwe unachimba choo kila baada ya wiki moja.