Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapenda kuongezaga chunvi nyingi kwenye mboga ndogo! Badilika madamThubutu, dikteta alikuwa anataka mchezo na mtu? Mawaziri wake kawatolea bastola hadharani.
Mmeshasahau?
Anatafuta kiki hana lolote huyoNi wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.
Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba
Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Hoja zimewaishia!??Anatafuta kiki hana lolote huyo
Wewe naona unabishania mbinguniHuna ulijuwalo kijana, wewe bishana tu mitandaoni.
Kwani lisu alipigwa risasi akiwa anatetea nn ? Wizi wa kura wa ccm? Au hujui maana ya rasilimali na maslahi ya taifaWe unaona huyu ni mwanasiasa? Huyu ni mtetezi wa rasilimali za taifa, kitu ambacho Magu alikipigania hadi anakufa.
Mambo sijui ya demokrasia aliwaachia wanasiasa.
Umenikumbusha enzi za pyupyu!Ni wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.
Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba
Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Angeloloma kipindi cha Jiwe Magufuli ningeamini kuwa ni anatisha kweli. Lakini sasa? Aaah wapi!Huyu jamaa anatisha mtu mwenye hekima, ujuzi na ufahamu wa mambo mengi, Mungu ambariki.
Hilo ni swala jingine, ambalo hata mimi ningependa kujua.Kama Magufuli angefufuka tungemuuliza kaburi la Ben Saanane liko wapi???
Yangemkuta nibas ashkuru kipindi hiki anaweza aponeNi wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.
Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba
Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Unashindwa hata kutofautisha nyeupe na nyeusi!.Alikuwa anamuogopa Magufuli.Mbona Bwawa la Nyerere,walipewa waarabu,na hakusema kitu.
Wakilj Mwabukusi ni mwanasheria wa chama cha NCCR MAGEUZITuwekee CV yake hapa tuione. Kuna vyama vya upinzani vina viongozi hao hao toka miaka ya 2000.
Huyu inabidi tumfanyie counselling, anaweza kufaa kwa baadhi ya vyama
Kila Zama na kitabu chakeIla angalia unawezakuta wewe ndiyo mjinga!! Issue kubwa ni Mwabukusi ku trend kuliko mtu mwingine kwa sasa
Yaaani Kila mpotoshaji, kwenu anaitwa mwenye hekimaHuyu jamaa anatisha mtu mwenye hekima, ujuzi na ufahamu wa mambo mengi, Mungu ambariki.
Ni wazi hakuna ubishi Man of The Moment (MOTM) kwa sasa ni Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na namna alivyolibeba suala la Bandari/DP WORLD kwa mabega mawili. Wanasiasa na Wanaharakati wengi wameongea kama kina Lissu, Mbowe, Slaa, Tibaijuka, Shivji, Binti Sarungi, Madeleka na Nshala. Lakini ni Wakili Boniphace Mwabukusi ndiyo maneno yake na haiba yake yana mvuto kuliko mtu yeyote. Mwabukusi ana uwezo wa kuwasilisha mada kwenye hadhara kama Wahubiri wa Kilokole akina Mwamposa/ Gwajima, ana maneno makali kama Mdude na ana uwezo kuchambua sheria kama Lissu.
Swali:
Je, huyu Bwana alikuwa wapi wakati wa Dikteta Magufuli 2015-21? Alipobana kabisa uhuru wa maoni na kukanyaga katiba
Je, kwa huu ubingwa wake, nini ingekuwa hatma yake kipindi cha Magufuli?
Alikuwa anamuogopa Magufuli.Mbona Bwawa la Nyerere,walipewa waarabu,na hakusema kitu.
"Elimu , Elimu ,Elimu" - ENL 2015Mbona Bwawa la Nyerere,walipewa waarabu,na alikuwa kimya ,wakati wa Magufuli.
Serikali inalichukulia kisiasa.Watu wengi hawaelewi hili hadi Sa100 mwenyewe. Serikali inapata taabu kuzima huu mjadala sababu hawapambani na vyama vya upinzani tu.