Wakili Mwabukusi: Rais Samia atusikie, Mkataba wa Bandari haulindi uhai wa Nchi yetu

Wakili Mwabukusi: Rais Samia atusikie, Mkataba wa Bandari haulindi uhai wa Nchi yetu

21 June 2023
Profesa Lipumba - Suala la Bandari , Abu Dhabi ndiyo baba wa UAE siyo Dubai....



Mtawala wa Abu Dhabi ndiyo rais wa UAE huku mtawala wa Dubai ni Makamu wa Rais wa UAE ....

Kimataifa Dubai siyo nchi nyenye sovereign na makao makuu ya UAE ni Abu Dhabi. UAE pekee ndiyo ina shughulika na ulinzi na mashirikiano ya nje ya kimataifa baina ya nchi na nchi ...

Profesa Lipumba anakwenda mbali na kuonya kuwa mkataba huu wa nchi ya Tanzania na sehemu ya shirikisho la Emirati UAE unatutengenezea mgogoro na Abu Dhabi bila kusahau mgogoro na nchi ya UAE.

Profesa Lipumba anaongeza ni bora mkataba mzuri wa kuhusu bandari ungeingiwa na Abu Dhabi sehemu ya UAE iliyo tajiri zaidi ya Dubai na pia Dubai inaitegemea zaidi Abu Dhabi kiuchumi inapotetereka ...

Wizara ya Mambo ya Nje ya Australia inaitambua Nchi ya United Arab Emirates ambayo ndani yake yapo majimbo saba : Abu Dhabi, Dubai, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain na Fujairah huku jimbo la saba la Ras Al Khaimah ilijiunga na Shirikisho la UAE mwaka 1972. Huku mji mkuu wa nchi ya UAE ikiwa ni Abu Dhabi, mji uliopo ndani ya jimbo / emirate kubwa na tajiri zaidi ya nchi ya UAE .

Rais wa shirikisho la nchi ya UAE ni maulana sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan. Kiongozi wa jimbo la Dubai maulana sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum ni Makamu wa Rais pia ni Waziri Mkuu na Waziri wa nchi ya UAE

Mahusiano baina ya Australia na nchi ya UAE ni ya kirafiki, katika nyanja mbalimbali huku yakiendelea kukua.

Nchi ya UAE ushirikiano wake na Australia umewezesha nchi hiyo ya Australia kuwa ni mwekezaji mkubwa zaidi wa mitaji na biashara nchini UAE kuliko nchi yoyote ya Masharik ya Kati.


United Arab Emirates country brief​

Overview​

The United Arab Emirates (UAE) is situated in the Southeast of the Arabian Peninsula, bordering Oman and Saudi Arabia. In December 1971, the UAE became a federation of six emirates - Abu Dhabi, Dubai, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain, and Fujairah, while the seventh emirate, Ras Al Khaimah, joined the federation in 1972. The capital city is Abu Dhabi, located in the largest and wealthiest of the seven emirates.
Since its Federation in 1971, the UAE has developed rapidly and is now noted for its modern infrastructure, international events and status as a trade and transport hub. In 2021, the UAE commemorated its Golden Jubilee, 50 years since federation.
The UAE will host the COP28 international climate summit in Dubai in 2023.

Political overview​

The President of the UAE is His Highness (HH) Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan. The Ruler of Dubai, HH Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, is the Vice-President, Prime Minister and Defence Minister.
The UAE's federal structure includes a Supreme Council (comprising the Rulers of each Emirate), a Council of Ministers and Federal National Council. Each Emirate is governed by its own Ruler, with its own local government, courts and police forces.
The Federal National Council comprises 40 members, half of which are appointed and half elected. Elections were last held in October 2019 and for the first time the UAE implemented a requirement for 50 per cent of total members to be women. This requirement saw a significant increase in the number of female candidates. The Federal National Council has an advisory role and is a forum in which concerns of Emiratis are raised.
The UAE is a member of the Gulf Cooperation Council (GCC), the Arab League, the Organization of Islamic Cooperation, the United Nations (including UN Security Council member, 2022-23), the Organization of the Petroleum Exporting Countries, the Non-Aligned Movement and the World Trade Organization. The International Renewable Energy Agency, established in 2009, has its headquarters in Abu Dhabi.
On 15 September 2020, the UAE and Israel signed the Abraham Accords Peace agreement in Washington, DC.

Bilateral relations​

Bilateral relations between Australia and the UAE are friendly, multi-faceted and growing rapidly.

They are underpinned by extensive trade relations, and the UAE is Australia's largest Middle East trade and investment partner.

The two countries enjoy good defence, aviation, security and law enforcement cooperation, the latter underpinned by agreements on mutual legal assistance in criminal law matters and extradition.
Australia was among 192 participating countries at Expo 2020 Dubai, which ran from 1 October 2021 to 31 March 2022.

Expo 2020 provided a key platform for Australian companies to reengage with traditional partners and progress market diversification strategies, including the growth of exports into the Middle East and South Asia.

The Australian Ambassador to the UAE is based at the Australian Embassy in Abu Dhabi. Australia also has a Consulate-General/Trade Commissioner in Dubai.

State government offices representing New South Wales, Queensland, Western Australia, and Victoria are also based in the UAE.

People to people links​

People-to-people contacts have expanded rapidly on the back of the strong growth of direct air links. Prior to the COVID-19 pandemic restrictions, over 100 Emirates and Etihad flights per week operated between the UAE and Australia.

An estimated 15,000 Australians live and work in the UAE.

At the start of 2020, in response the severe Australian bushfire season, the UAE donated fire trucks and generators to several affected communities. On 16 January 2020, the Burj Khalifa, the world's tallest building which is located in Dubai, was lit up with the phrase ‘#mateshelpmates' as a sign of the UAE's support for bushfire response.

Economic overview​

The UAE is the Middle East's third largest economy, and one of the wealthiest countries in the region on a per capita basis. Its GDP in 2021 was estimated at US$410.2 billion, a real GDP growth rate of around 2.2 per cent.

The UAE has six per cent of the world's oil reserves and the seventh largest proven natural gas reserves. Petroleum exports were US$49.6 billion in 2019. In the medium term, oil and gas (which account for over two-thirds of exports and the bulk of government revenue) will continue to underpin the UAE's economy.

However, significant steps towards economic diversification have already been taken, with approximately 70 per cent of GDP now generated by sectors other than oil and gas. To celebrate 50 years of nationhood in 2021, the UAE launched 50 new economic initiatives to boost the country's competitiveness and attract US$150 billion in foreign direct investment over the next nine years.

Abu Dhabi, which has the vast majority of oil and gas reserves in the UAE, has made significant investments in establishing aerospace, nuclear power, defence, information technology (micro-processing), petrochemical and clean-tech industries – the latter most prominently represented by the multibillion-dollar initiative of Masdar City, a zero-carbon city outside Abu Dhabi.

Abu Dhabi is also investing heavily in educational institutions, and cultural and sporting attractions such as the Formula One racing track, Ferrari theme park, and the Louvre Abu Dhabi to diversify the economy away from oil and encourage tourism.

Dubai has also diversified into the exhibitions, events, ICT, re-export and financial sectors. Taking advantage of its position near the head of the Gulf, it has consolidated its historical reputation as a regional entrepôt. Dubai has developed luxury hotels, large port facilities (including Jebel Ali) and a range of free trade zones to attract both manufacturing and services industries.

The UAE population of 10.1 million (2022) depends substantially on its expatriate workforce, which made up about 88 per cent of the population in 2021. The UAE is also opening up utilities to greater private sector involvement. Several free trade zones across the country attract foreign investors, by offering full ownership and zero taxes.

The COVID-19 pandemic has had a significant impact on the UAE's economy, particularly due to the reduction in passenger numbers through air hubs, the reduction in tourist arrivals and the impact of COVID-19 measures on commerce. The UAE is expected to recover to pre-pandemic levels of economic activity over the next three years.

Trade and Investment​

On 17 March 2022, then Minister for Trade, Tourism and Investment Dan Tehan and HE Dr Thani bin Ahmed Al Zeyoudi, Minister of State for Foreign Trade, issued a joint statement announcing Australia and the UAE's intention to pursue a Comprehensive Economic Partnership Agreement (CEPA). DFAT consultations with stakeholders continue, and will inform the possible agreement and the Australian Government's approach to future negotiations.

The United Arab Emirates (UAE) is Australia's largest trade and investment partner in the Middle East. With $5.5 billion in two-way trade in 2021 (over $10 billion pre-COVID), the UAE is Australia's 18th largest export market globally for goods and services.

Exports to the UAE were worth $3.24 billion in 2021 and were dominated by red meat, transport services and machinery and automotive parts.

Australian imports from the UAE were worth $3.24 billion in 2021 (mainly petroleum products).

Services trade is an increasingly important component of the commercial relationship, including construction, financial and professional services, tourism and education. Education is seen as an area of potential growth, with several Australian institutions active in the UAE market, including: Wollongong University, which in 1993 was the first private university to establish a campus in Dubai; Murdoch University, which opened in Dubai in 2007; Curtin University, which opened in Dubai in 2018; the Australian International School Sharjah; the Victorian International School Sharjah; and a number of Australian institutions with partnerships with local institutions to deliver the Australian curriculum in-country.

Australia's commercial profile in the UAE is significant, with UAE-based Australian companies numbering over 300. Australian companies, institutions and capabilities are working in a range of industries, including steel trading, building, construction and financial services, banking services, materials and equipment, agricultural supplies and services, industrial minerals, dairy products, marine manufacturing, education and training services, sports and recreation, health services, livestock, oil field supplies, courier and freight services. Many companies use Dubai as a regional base, in view of its transport, financial and communications infrastructure.

UAE entities hold significant investments in Australia, including in the agribusiness, tourism, health and aged care and resources sectors.
In 2020, UAE investment in Australia was estimated at $11.6 billion according to ABS data.

The Abu Dhabi Investment Authority (ADIA), the world's fourth largest sovereign wealth fund, has invested in ports, the TransGrid electricity network and the Queensland Motorway project.

Other UAE sovereign wealth funds also have assets and are examining other investment opportunities in Australia.

Source : https://www.dfat.gov.au/geo/united-arab-emirates/united-arab-emirates-country-brief
 
Kama sio 'sehemu ya mkataba' huu atatusikia, ila kama 'ndio hivyo tena' sidhani kama atatusikia!
 
Mama naona kama ana kiburi,mbona kanyamaza kimya kama hayamuhusu vile, kwanini Mkuu wa nchi unanyamaza kimya kwenye suala nyeti kama hili na wakati kwenye nyaraka saini yake ipo?hii inamaanisha nini jamani!
Mzee Mkapa aliposhutumiwa na sera yake ya ubinafsishaji mashirika ya Umma na migodi,alitokeza kufafanua na Mzee Kikwete vilevile kwenye sakata la Richmond na IPTL Escrow Account alitoa ufafanuzi.
Kulikoni Rais Samia?
Kimbukeni ata sakata la mgomo Kariakoo,napo alikaa kimya kama hayupo na alimuhusu!
Amekamisha mamlaka ya ufafanuzi kwa akina kitenge
 
Bunge halina uwezo wa kuita watu kuwahoji hata pale walipowatisha kwa kuwaita kina Paschal Mayalla, Dr. Reginald Mengi na wengine ni batili. Kwa bunge haliwezi kuwa prosecutor na mahakama

Kumtishia balozi Dr. Wilbrod Peter Slaa ambaye ni Whistle blower bona-fide kuwa aitwe bungeni ahojiwe kuhusu press conference zake za kuhusu sakata la DP World, hili ni kinyume cha katiba na batili maana bunge halina mamlaka hayo....

Hata mimi Boniface Mwabukusi nikiitwa Dodoma siwezi kutishwa na sitakwenda maana ni wito batili na haramu wala kukidhi sheria na katiba yetu kwa kuwa bunge halina mamlaka hayo
Kwanza wabunge wenyewe wanajitambua?

Huyu Mwambukusi nitakwenda kumchukulia form ya ubunge 2025 kwa gharama zangu
 
Muda mwingi ametumia kusifu matarajio ya mapato badala ya ukakasi wa mkataba wenyewe. Nilijaribu kupiga simu kumwuliza swali ambalo hadi sasa sijapata jibu.
Hawajitambui
 

WAKILI MWABUKUSI: Rais Samia atusikie, Mkataba wa Bandari haulindi uhai wa Nchi yetu




Katika mahojiano leo na wakili Mwabukusi anaangazia mambo zaidi kamati ya bunge, uwakilishi wa muswada wa mkataba bungeni na jinsi muda finyu waliopewa wabunge kuujadili ...
.

Wabunge Halima Mdee, Aida Kenani pamoja na Luhaga Mpina ambaye hakupata nafasi bungeni kuwakilisha hoja hivyo kuwakilisha maoni nje ya bunge kwa maandishi watambuliwe kwa kupewa maua yao hayo bila kumsahau dada yetu mpendwa wa taifa Mange Kimambi amesema wakili msomi Boniface Mwabukusi

Aliyevujisha mkataba ni mzalendo halisi na hii inatia moyo kuwa bado kuna Wazalendo wachache ndani ya serikali... na huyu atambuliwe wajibu wake mkubwa kulinda maslahi ya taifa

Serikali inawajibika kwetu umma yaani wananchi hivyo viongozi wote serikalini watambue mamlaka zote tulizowapa ni zili zilizotamkwa katika katiba kama hawawezi waache nyadhifa zao waende nyumbani ...

Advocacy tunayofanya ni kazi ya kuelimisha wananchi na ndiyo wajibu wetu kwani waziri Mbawara katika hadhira tofauti tofauti anasema mkataba huu ni makubaliano na akifika mbele ya viongozi wa dini n.k wanasema mkataba ...


Viongozi waache propaganda kwa kwenda sehemu mbalimbali Tanzania kupotosha wananchi kuwa marekebisho yatafanywa... hata wakienda mpaka kilele cha mlima Kilimanjaro haitasaidia kuzimisha kelele za wananchi ...

Linalotakiwa ni bunge hili hili lirudi haraka ili kwa kikao cha kingine liupitie tena maana ni hitajito la kikatiba wakati kunapotokea hali kama hii tunayoiona badala ya kujaribu kuutetea mkataba huu mbovu ...

Bunge halina uwezo wa kuita watu kuwahoji hata pale walipowatisha kwa kuwaita kina Paschal Mayalla, Dr. Reginald Mengi na wengine ni batili. Kwa bunge haliwezi kuwa prosecutor na mahakama

Kumtishia balozi Dr. Wilbrod Peter Slaa ambaye ni Whistle blower bona-fide kuwa aitwe bungeni ahojiwe kuhusu press conference zake za kuhusu sakata la DP World, hili ni kinyume cha katiba na batili maana bunge halina mamlaka hayo....

Hata mimi Boniface Mwabukusi nikiitwa Dodoma siwezi kutishwa na sitakwenda maana ni wito batili na haramu wala kukidhi sheria na katiba yetu kwa kuwa bunge halina mamlaka hayo

Mikataba ya kunyonya Mali ya asili yetu haikubaliki ni mikataba pekee ambayo ina manufaa kwa taifa na muwekezaji ndiyo tunayoiafiki siyo mkataba mbovu kama huu ...

Tunawashukuru wananchi kwa kupaza sauti katika suala hili ..... maana sasa Bunge halitaweza tena kututia vitanzi kama hivi vya DP World, Loliondo, Madini n.k bila wananchi kuhusishwa kimamilifu na siyo kuburuzwa ....

Kuna masharti yasiyo general policy ndani ya mkataba .... reciprocacy hakuna, huu mkataba una mlinda mwekezaji badala ya kumpa haki ya kudai fidia pale anapodhulumiwa...

High level consultation kwa kutumia katiba yetu Ibara ya 27.1 ya raia kuwa na haki ya kulinda Mali inafanyika na si muda mrefu waTanzania watapewa mrejesho na watafahamishwa

Ibara ya 28 ya katiba hairuhusu mtu yeyote kumilikishwa eneo lolote bali inaruhusiwa kutumika kwa shughuli hivyo mwekezaji hatakiwi kumilikishwa bali kuendesha shughuli za kibiashara ...

Bungeni kulikuwa na tukio na siyo mjadala maana hakuna mwanasheria mkuu hakuoneshwa siku hiyo na mwanasheria mkuu ana kiti chake maalum bungeni lakini hakuwepo na badala yake spika wa bunge kuliteka bunge kinyume na uendeshaji wa bunge huku akiwadhalilisha, kuwa harass wabunge Halima Mdee, Aida Kenani na kulibadilisha bunge kuwa kama darasa la chekechea / kindergarten la a,e,i,o,u huku dhihaka za kutunzana noti, miluzi, kugonga meza kiasi cha bunge kuwa eneo mithili ya ngoma ya mchiriku wakati jambo muhimu la eneo la nchi linamilikishwa kwa taifa lingine geni milele

Ya fuatayo yarekebishwe katika mkataba huu wa DP World katika yafuatayo : Sheria za nchi zizingatiwe masuala ya umilikaji ardhi, umilikaji wa bandari, uvunjwaji wa mikataba, tusikatazwe kutwaa eneo pale usalama wa taifa unapotishiwa tofauti na mkataba huu unavyotukataza kitu ambacho ni kinyume na katiba, spika aache kuligeuza bunge kuwa kikaragosi cha serikali, maandamano yaratibiwe maana katiba inaruhusu

Ushauri kwa Mh. Samia Hassan, ni kuwa mimi nina mashaka rais amepotoshwa maana hata wataalamu kama mwanasheria mkuu hakuonekana ndani ya televisheni siku ya tarehe 10 June 2023 jumamosi mjini Dodoma. Pia namshauri mchakato wa haraka ufanyike Serikali iurudishe mkataba huu tena bungeni na utaratibu wote utumike kikamilifu na uwazi mkubwa kusuka upya mkataba huu tata.

Freeman A. Mbowe ameeleweka na watu wenye uwezo wa kufikiri ila kuna watu wanataka kupotosha ujumbe mzuri aliowakilisha


Ni nchi mbili tu yaani Palestina kule mashariki ya kati na Tanganyika hapa Afrika Mashariki nchi zao zimepotezwa .....

Rais amwelekeze waziri aliyemkasimisha madaraka (Delegata potestas non potest delegari) kujiuzulu maana alimuamini waziri hakutumia imani hiyo vizuri lakini sasa amemuingiza katika matatizi makubwa na pia mkataba huu urejeshwe bungeni tena maana paka akifungiwa chumbani katika kona paka huyu huweza kujigeuza Simba... pia Spika Tulia Ackson ajiuzuli nafasi yake mara moja ya uspika kwa kushindwa kulipa bunge na wabunge nafasi ya kuishauri serikali kwa uwazi hilo linawezekana maana Job Ndugai alijiuzulu kufuatia utata ... na kadhia hii ya bandari ni moto kuliko ya Job Ndugai spika aliyepita ..

Wazee wa taifa wajitokeze haraka kumshauri rais kwa heshima kuwa kuwa wajisahihishe kuurejesha mkataba huu tena bungeni ....

Lawyer Mwabukusi ni wale wale tu wanaoumia awamu ya sita. Karamagi na team yake nzima ya TICTS wamekula kwao mazima.
 
Huyo jamaa anajiita Lord Denning ni bonge la kiazi. Ila halijijui kuwa ni likiazi.
SSH anaendeleza reforms za marehemu JPM na anazifanya vizuri sana.

Hizi kelele ni za wale wanaokwenda kuumizwa na hayo mabadiliko ya kiuchumi. Kila kizuri kina gharama zake hivyo wanaolalamika ni lazima wawepo.
 

WAKILI MWABUKUSI: Rais Samia atusikie, Mkataba wa Bandari haulindi uhai wa Nchi yetu




Katika mahojiano leo na wakili Mwabukusi anaangazia mambo zaidi kamati ya bunge, uwakilishi wa muswada wa mkataba bungeni na jinsi muda finyu waliopewa wabunge kuujadili ...
.

Wabunge Halima Mdee, Aida Kenani pamoja na Luhaga Mpina ambaye hakupata nafasi bungeni kuwakilisha hoja hivyo kuwakilisha maoni nje ya bunge kwa maandishi watambuliwe kwa kupewa maua yao hayo bila kumsahau dada yetu mpendwa wa taifa Mange Kimambi amesema wakili msomi Boniface Mwabukusi

Aliyevujisha mkataba ni mzalendo halisi na hii inatia moyo kuwa bado kuna Wazalendo wachache ndani ya serikali... na huyu atambuliwe wajibu wake mkubwa kulinda maslahi ya taifa

Serikali inawajibika kwetu umma yaani wananchi hivyo viongozi wote serikalini watambue mamlaka zote tulizowapa ni zili zilizotamkwa katika katiba kama hawawezi waache nyadhifa zao waende nyumbani ...

Advocacy tunayofanya ni kazi ya kuelimisha wananchi na ndiyo wajibu wetu kwani waziri Mbawara katika hadhira tofauti tofauti anasema mkataba huu ni makubaliano na akifika mbele ya viongozi wa dini n.k wanasema mkataba ...


Viongozi waache propaganda kwa kwenda sehemu mbalimbali Tanzania kupotosha wananchi kuwa marekebisho yatafanywa... hata wakienda mpaka kilele cha mlima Kilimanjaro haitasaidia kuzimisha kelele za wananchi ...

Linalotakiwa ni bunge hili hili lirudi haraka ili kwa kikao cha kingine liupitie tena maana ni hitajito la kikatiba wakati kunapotokea hali kama hii tunayoiona badala ya kujaribu kuutetea mkataba huu mbovu ...

Bunge halina uwezo wa kuita watu kuwahoji hata pale walipowatisha kwa kuwaita kina Paschal Mayalla, Dr. Reginald Mengi na wengine ni batili. Kwa bunge haliwezi kuwa prosecutor na mahakama

Kumtishia balozi Dr. Wilbrod Peter Slaa ambaye ni Whistle blower bona-fide kuwa aitwe bungeni ahojiwe kuhusu press conference zake za kuhusu sakata la DP World, hili ni kinyume cha katiba na batili maana bunge halina mamlaka hayo....

Hata mimi Boniface Mwabukusi nikiitwa Dodoma siwezi kutishwa na sitakwenda maana ni wito batili na haramu wala kukidhi sheria na katiba yetu kwa kuwa bunge halina mamlaka hayo

Mikataba ya kunyonya Mali ya asili yetu haikubaliki ni mikataba pekee ambayo ina manufaa kwa taifa na muwekezaji ndiyo tunayoiafiki siyo mkataba mbovu kama huu ...

Tunawashukuru wananchi kwa kupaza sauti katika suala hili ..... maana sasa Bunge halitaweza tena kututia vitanzi kama hivi vya DP World, Loliondo, Madini n.k bila wananchi kuhusishwa kimamilifu na siyo kuburuzwa ....

Kuna masharti yasiyo general policy ndani ya mkataba .... reciprocacy hakuna, huu mkataba una mlinda mwekezaji badala ya kumpa haki ya kudai fidia pale anapodhulumiwa...

High level consultation kwa kutumia katiba yetu Ibara ya 27.1 ya raia kuwa na haki ya kulinda Mali inafanyika na si muda mrefu waTanzania watapewa mrejesho na watafahamishwa

Ibara ya 28 ya katiba hairuhusu mtu yeyote kumilikishwa eneo lolote bali inaruhusiwa kutumika kwa shughuli hivyo mwekezaji hatakiwi kumilikishwa bali kuendesha shughuli za kibiashara ...

Bungeni kulikuwa na tukio na siyo mjadala maana hakuna mwanasheria mkuu hakuoneshwa siku hiyo na mwanasheria mkuu ana kiti chake maalum bungeni lakini hakuwepo na badala yake spika wa bunge kuliteka bunge kinyume na uendeshaji wa bunge huku akiwadhalilisha, kuwa harass wabunge Halima Mdee, Aida Kenani na kulibadilisha bunge kuwa kama darasa la chekechea / kindergarten la a,e,i,o,u huku dhihaka za kutunzana noti, miluzi, kugonga meza kiasi cha bunge kuwa eneo mithili ya ngoma ya mchiriku wakati jambo muhimu la eneo la nchi linamilikishwa kwa taifa lingine geni milele

Ya fuatayo yarekebishwe katika mkataba huu wa DP World katika yafuatayo : Sheria za nchi zizingatiwe masuala ya umilikaji ardhi, umilikaji wa bandari, uvunjwaji wa mikataba, tusikatazwe kutwaa eneo pale usalama wa taifa unapotishiwa tofauti na mkataba huu unavyotukataza kitu ambacho ni kinyume na katiba, spika aache kuligeuza bunge kuwa kikaragosi cha serikali, maandamano yaratibiwe maana katiba inaruhusu

Ushauri kwa Mh. Samia Hassan, ni kuwa mimi nina mashaka rais amepotoshwa maana hata wataalamu kama mwanasheria mkuu hakuonekana ndani ya televisheni siku ya tarehe 10 June 2023 jumamosi mjini Dodoma. Pia namshauri mchakato wa haraka ufanyike Serikali iurudishe mkataba huu tena bungeni na utaratibu wote utumike kikamilifu na uwazi mkubwa kusuka upya mkataba huu tata.

Freeman A. Mbowe ameeleweka na watu wenye uwezo wa kufikiri ila kuna watu wanataka kupotosha ujumbe mzuri aliowakilisha


Ni nchi mbili tu yaani Palestina kule mashariki ya kati na Tanganyika hapa Afrika Mashariki nchi zao zimepotezwa .....

Rais amwelekeze waziri aliyemkasimisha madaraka (Delegata potestas non potest delegari) kujiuzulu maana alimuamini waziri hakutumia imani hiyo vizuri lakini sasa amemuingiza katika matatizi makubwa na pia mkataba huu urejeshwe bungeni tena maana paka akifungiwa chumbani katika kona paka huyu huweza kujigeuza Simba... pia Spika Tulia Ackson ajiuzuli nafasi yake mara moja ya uspika kwa kushindwa kulipa bunge na wabunge nafasi ya kuishauri serikali kwa uwazi hilo linawezekana maana Job Ndugai alijiuzulu kufuatia utata ... na kadhia hii ya bandari ni moto kuliko ya Job Ndugai spika aliyepita ..

Wazee wa taifa wajitokeze haraka kumshauri rais kwa heshima kuwa kuwa wajisahihishe kuurejesha mkataba huu tena bungeni ....

Tatizo hela waliyopewa na muarabu wameishaitumia
 

WAKILI MWABUKUSI: Rais Samia atusikie, Mkataba wa Bandari haulindi uhai wa Nchi yetu




Katika mahojiano leo na wakili Mwabukusi anaangazia mambo zaidi kamati ya bunge, uwakilishi wa muswada wa mkataba bungeni na jinsi muda finyu waliopewa wabunge kuujadili ...
.

Wabunge Halima Mdee, Aida Kenani pamoja na Luhaga Mpina ambaye hakupata nafasi bungeni kuwakilisha hoja hivyo kuwakilisha maoni nje ya bunge kwa maandishi watambuliwe kwa kupewa maua yao hayo bila kumsahau dada yetu mpendwa wa taifa Mange Kimambi amesema wakili msomi Boniface Mwabukusi

Aliyevujisha mkataba ni mzalendo halisi na hii inatia moyo kuwa bado kuna Wazalendo wachache ndani ya serikali... na huyu atambuliwe wajibu wake mkubwa kulinda maslahi ya taifa

Serikali inawajibika kwetu umma yaani wananchi hivyo viongozi wote serikalini watambue mamlaka zote tulizowapa ni zili zilizotamkwa katika katiba kama hawawezi waache nyadhifa zao waende nyumbani ...

Advocacy tunayofanya ni kazi ya kuelimisha wananchi na ndiyo wajibu wetu kwani waziri Mbawara katika hadhira tofauti tofauti anasema mkataba huu ni makubaliano na akifika mbele ya viongozi wa dini n.k wanasema mkataba ...


Viongozi waache propaganda kwa kwenda sehemu mbalimbali Tanzania kupotosha wananchi kuwa marekebisho yatafanywa... hata wakienda mpaka kilele cha mlima Kilimanjaro haitasaidia kuzimisha kelele za wananchi ...

Linalotakiwa ni bunge hili hili lirudi haraka ili kwa kikao cha kingine liupitie tena maana ni hitajito la kikatiba wakati kunapotokea hali kama hii tunayoiona badala ya kujaribu kuutetea mkataba huu mbovu ...

Bunge halina uwezo wa kuita watu kuwahoji hata pale walipowatisha kwa kuwaita kina Paschal Mayalla, Dr. Reginald Mengi na wengine ni batili. Kwa bunge haliwezi kuwa prosecutor na mahakama

Kumtishia balozi Dr. Wilbrod Peter Slaa ambaye ni Whistle blower bona-fide kuwa aitwe bungeni ahojiwe kuhusu press conference zake za kuhusu sakata la DP World, hili ni kinyume cha katiba na batili maana bunge halina mamlaka hayo....

Hata mimi Boniface Mwabukusi nikiitwa Dodoma siwezi kutishwa na sitakwenda maana ni wito batili na haramu wala kukidhi sheria na katiba yetu kwa kuwa bunge halina mamlaka hayo

Mikataba ya kunyonya Mali ya asili yetu haikubaliki ni mikataba pekee ambayo ina manufaa kwa taifa na muwekezaji ndiyo tunayoiafiki siyo mkataba mbovu kama huu ...

Tunawashukuru wananchi kwa kupaza sauti katika suala hili ..... maana sasa Bunge halitaweza tena kututia vitanzi kama hivi vya DP World, Loliondo, Madini n.k bila wananchi kuhusishwa kimamilifu na siyo kuburuzwa ....

Kuna masharti yasiyo general policy ndani ya mkataba .... reciprocacy hakuna, huu mkataba una mlinda mwekezaji badala ya kumpa haki ya kudai fidia pale anapodhulumiwa...

High level consultation kwa kutumia katiba yetu Ibara ya 27.1 ya raia kuwa na haki ya kulinda Mali inafanyika na si muda mrefu waTanzania watapewa mrejesho na watafahamishwa

Ibara ya 28 ya katiba hairuhusu mtu yeyote kumilikishwa eneo lolote bali inaruhusiwa kutumika kwa shughuli hivyo mwekezaji hatakiwi kumilikishwa bali kuendesha shughuli za kibiashara ...

Bungeni kulikuwa na tukio na siyo mjadala maana hakuna mwanasheria mkuu hakuoneshwa siku hiyo na mwanasheria mkuu ana kiti chake maalum bungeni lakini hakuwepo na badala yake spika wa bunge kuliteka bunge kinyume na uendeshaji wa bunge huku akiwadhalilisha, kuwa harass wabunge Halima Mdee, Aida Kenani na kulibadilisha bunge kuwa kama darasa la chekechea / kindergarten la a,e,i,o,u huku dhihaka za kutunzana noti, miluzi, kugonga meza kiasi cha bunge kuwa eneo mithili ya ngoma ya mchiriku wakati jambo muhimu la eneo la nchi linamilikishwa kwa taifa lingine geni milele

Ya fuatayo yarekebishwe katika mkataba huu wa DP World katika yafuatayo : Sheria za nchi zizingatiwe masuala ya umilikaji ardhi, umilikaji wa bandari, uvunjwaji wa mikataba, tusikatazwe kutwaa eneo pale usalama wa taifa unapotishiwa tofauti na mkataba huu unavyotukataza kitu ambacho ni kinyume na katiba, spika aache kuligeuza bunge kuwa kikaragosi cha serikali, maandamano yaratibiwe maana katiba inaruhusu

Ushauri kwa Mh. Samia Hassan, ni kuwa mimi nina mashaka rais amepotoshwa maana hata wataalamu kama mwanasheria mkuu hakuonekana ndani ya televisheni siku ya tarehe 10 June 2023 jumamosi mjini Dodoma. Pia namshauri mchakato wa haraka ufanyike Serikali iurudishe mkataba huu tena bungeni na utaratibu wote utumike kikamilifu na uwazi mkubwa kusuka upya mkataba huu tata.

Freeman A. Mbowe ameeleweka na watu wenye uwezo wa kufikiri ila kuna watu wanataka kupotosha ujumbe mzuri aliowakilisha


Ni nchi mbili tu yaani Palestina kule mashariki ya kati na Tanganyika hapa Afrika Mashariki nchi zao zimepotezwa .....

Rais amwelekeze waziri aliyemkasimisha madaraka (Delegata potestas non potest delegari) kujiuzulu maana alimuamini waziri hakutumia imani hiyo vizuri lakini sasa amemuingiza katika matatizi makubwa na pia mkataba huu urejeshwe bungeni tena maana paka akifungiwa chumbani katika kona paka huyu huweza kujigeuza Simba... pia Spika Tulia Ackson ajiuzuli nafasi yake mara moja ya uspika kwa kushindwa kulipa bunge na wabunge nafasi ya kuishauri serikali kwa uwazi hilo linawezekana maana Job Ndugai alijiuzulu kufuatia utata ... na kadhia hii ya bandari ni moto kuliko ya Job Ndugai spika aliyepita ..

Wazee wa taifa wajitokeze haraka kumshauri rais kwa heshima kuwa kuwa wajisahihishe kuurejesha mkataba huu tena bungeni ....

Yaan huyu wakili anajidai anaufaham mkubwa kuhusu mikataba kuliko uvccm? Tena wakiongozwa na Lord denning na covax? NB; Uvccm ni akili kubwa san!!!
 
Jambo la kumshukuru sana Mungu, kila mtanganyika mwenye kuitakia mema Tanganyika yake tunaongea lugha moja.

Ajabu sana, watanganyika waliotakiwa kutoa maoni yao kuhusu hili suala walitakiwa kufika Dodoma tarehe 5, ili kufikia tarehe 6 saa 7 mchana wawe tayari kwa kutoa maoni.

Wakili anashangaa, inawezekana vipi kwa mtanganyika anayeishi Kigoma, Sumbawanga, Kagera, Ukerewe, Arusha na kwingineko wote wafike Dsm kutoa maoni yao siku inayofuata?

Watu wameitwa kuja kutoa maoni, ajabu mkataba wenyewe haujawekwa wazi, mtu anatakiwa kutoa maoni akiwa anajua nini anachozungumza, baada ya kupata muda wa kutosha kuuchambua mkataba, sasa unapowaficha mkataba, unataka wakazungumze kitu gani?!

Wakili anazidi kushangaa, kumbe bunge lilishaandaa Azimio la kupitisha mkataba, kabla hata bunge halijapitisha ule mkataba! huu ni ushetani kabisa.

Wakili anaendelea kusema, bunge badala ya kumshukuru Dr. Slaa kwa kuwa whistleblower, wao wanataka kumuita ili wamhoji, anadai bunge ni kinyago chetu tulichokichonga wenyewe, hakiwezi kututisha, zaidi anadai, yeye wakili akiitwa na bunge kutokana na haya maoni yake, hatakwenda.

Anadai bunge haliwezi kuwa mkamataji, muendesha mashtaka, na hakimu at the same time!.

Ana madini mengi sana.
Kazi ya wabunge ni ipi ikiwa kila mtu anatakiwa afike Dodoma kutoa maoni yake?.

Nini faida ya kampeni za uchaguzi kutumia mabilioni ya pesa mara moja kila baada ya miaka mitano ikiwa kwenye suala moja tu tuanzishe urasimu usio na mantiki yoyote?.

Reforms zina gharama yake tena kubwa na zinaumiza baadhi ya taasisi, sisi sio wa kwanza kufanya mabadiliko ya kiuchumi, hivyo tuwe wapole tu wakati sindano zikiwa zinaingia, baada ya muda tutakuwa tumepona.
 
NI msaliti na mbinafsi, hata kwenye swala la Ngorongoro alitumika hivi hivi.
 
Acheni kelele Mama aifungue Nchi, mnataka mubaki na bandari yenu mukipiga hela kila ripoti inayokuja wakati wanaoumia ni wananchi?

Maraisi kutoka Tanganyika wameongoza JMT wa Tanzania miaka 60 wameshindwa kufanya namna kumsaidia mtanzania na mifumuko ya bei za vyakula na kuondoa mdororo wa uchumi sasa amekuja Mama ameona kuna namna ya kufanya kuifungua Tanzania mnaleta vimaneno uchwara.

Nyi si muliwatukana sana waarabu na waislamu sasa ndio wanakuja kukufungulieni nchi yenu mupate ajira, bandari ya Dar es salaam itakuwa buzzy saa 24 watu watakuwa wanapiga kazi kuingizia nchi mapato mbali na majengo marefu zaidi ya kibiashara na ya kisasa hapo bandarini ambayo Dp world watakujengeeni kubadilisha sura ya nchi yenu sio hiyo bandari ya takataka na iliyokubuhu kwa uchafu.

Duniani hivyo ndivyo watu wanavyoishi, Mama anajua sana ni wakupongezwa kila saa na dakika.

Lakini umesikia pia kodi ya mafuta atakatwa mtanzania shilingi 100, na cement itaongezwa shilingi mia200? Kama kuna hela huko bandari kwann kodi zinaongezeka mkuu?

Changamsha ubongo mkuu” wewe unaamini watz hawana uwezo wakuendesha bandari mpaka waje hao jamaa?

Na shida sio kuwekeza waseme hawa watu mkataba wa miaka mi ngapi
 
Tunaunga mkono hoja kamwe Tanganyika haitaenda kizembe namna hii tutaitetea nchi yetu kwa gharama yeyote ile
 
Lakini umesikia pia kodi ya mafuta atakatwa mtanzania shilingi 100, na cement itaongezwa shilingi mia200? Kama kuna hela huko bandari kwann kodi zinaongezeka mkuu?

Changamsha ubongo mkuu” wewe unaamini watz hawana uwezo wakuendesha bandari mpaka waje hao jamaa?

Na shida sio kuwekeza waseme hawa watu mkataba wa miaka mi ngapi
Wapi imeandikwa DP world akija ndio mafuta atakatwa mtanzania sh 100? na hata ikiongezwa shida ikopo wakati kitakachoingia ni kingi zaidi, Tibaijuka ameshindwa kujenga hoja kwanini DP world asije kuwekeza Tz., hoja yake kubwa ni US walikataa 2006 lakini kashindwa kufafanua kwanini Uingereza DP World kapewa bandari 2 anaziendesha hadi sasa na nchi nyengine pia,

Sasa kama Muna uwezo wa kuendesha bandari kampuni ya Tiks imepewa hiyo bandari miaka mingapi kashindwa kuifanya bandari ya Dar es salaam kuwa ndio lango kuu la biashara, nchi kama Zambia, Uganda, kenya na nyengine zikakimbilia maeneo mengine? Mama anataka kuifungua Tanganyika mnaleta kauzibe

Hata akipewa bandari kwa miaka 100 shida iko wapi? lengo ni impact kuwaondoa watanzania na umasikini wao uliokubuhu na uchumi kukua., toka CCM ishike madaraka hakuna chochote mnapiga mdomo tu,

Watu wako mbali sana kiuchumi nyinyi eti bandari yetu hatutaki watu wananchi wanakufa na njaa, unataka ufe na utamu wako badala kutafuta namna kuleta maendeleo, siasa zenu za kishamba sana Mama hatakubali upuuzi wenu DP world yupo njiani bunge lishapitisha, Watanganyika ni watu waliolala usingizi wa pono, wavivu, waoga kupindukia.
 
Kwanini walikwenda Dubai, Je walielewa safari ya Dubai, maswali ni mengi kuhusu wabunge waliosafiri kwenda Dubai.

AIDA KHENANI WA CHADEMA AIBUA JAMBO SAFARI YAO YA TAREHE 28 JANUARY 2023 KWENDA DUBAI


Barua ya katibu wa bunge kuwataarifu wabunge haikusema kwa uwazi .... safari hii ya Dubai ... watu ni wachache bandarini Dubai tofauti na bandari ya Tanzania zilizojaa wafanyakazi .... mfumo wa kifalme Dubai haufanani na mfumo wetu wa jamhuri wa kidemokrasia ... maswali ni mengi alijiuliza mbunge huyu wa CHADEMA. Haya tusikilize wenyewe mbunge huyu makini akiweka wazi kila kitu alichojiuliza katika kutafakari sana ...
Source : SK Media Online TV
 
Kitenge msaliti.
.
FB_IMG_1687274664760.jpg
 
Back
Top Bottom