Wakili Mwabukusi: Rais Samia atusikie, Mkataba wa Bandari haulindi uhai wa Nchi yetu

Wakili Mwabukusi: Rais Samia atusikie, Mkataba wa Bandari haulindi uhai wa Nchi yetu

21 June 2023
Abu Dhabi
Viongozi wateule wamekula kiapo cha kisheria mbele ya Rais Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan



Majaji wapya wa Mahakama ya Juu ya Shirikisho pamoja na mabalozi wa UAE wamekula kiapo cha kisheria mbele ya Rais Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan. Majaji hao ni pamoja na Muhammad Ali Ali, Dawood Ibrahim Muhammad Ali Abu Al Shawareb, Ibrahim Obaid Ali Al Ali, Miftah Salim Saad, na Hassan Muhammad Hassan.

Katika hafla hiyo ya kiapo iliyofanyika katika ukumbi wa Qasr Al Bahr, Rais aliwatakia mafanikio majaji hao katika nyadhifa zao mpya za kuunga mkono utawala wa sheria, kusimamia haki na kuimarisha mfumo wa haki na usawa nchini. Rais alisisitiza kuwa kanuni hizi zimeimarishwa kwa uthabiti katika UAE tangu kuanzishwa kwake, na zilizingatiwa kuwa nguzo kuu za ukuaji na maendeleo yake.
 
Miaka 20 ya Ticts tuliona ni mingi sana kama karne nzima sembuse hiyo isiyo na ukomo?

Hadi Yesu atakaporejea tena?
 
Jamaa amechambua vizuri sana aisee.
kuna wajinga humu wamenunuliwa kutetea maovu bila kujali haya makubaliano yanenda kuathiri vizazi na vizazi ni aibu kubwa kuwa na watu wa aina hiyo.kwenye nchi za wenzetu watu kama hawa huwa wananyongwa hadi kufa kwa kukosa uzalendo na kuhatarisha usalama wa nchi kwa kukodisha sehemu nyeti kama bandari tena kwa makubaliano tata.
 
Kufuatana na maneno ya mwanazuoni Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi (Mbunge) aliyepata kuwa balozi namba mbili kupitia wadhifa wa waziri wa mambo ya nje, pia ni 'baba wa mikataba', mbobezi mchambuzi wa historia ya mashirikiano ya kimataifa, encyclopaedia inayotembea, mhadhiri wa kujitolea ktk vyuo vikuu tajwa, mtoa elimu ya bure kwa wabunge pia mhadhiri vyuo vya chama cha CCM na profesa wa sheria nchini Tanzania, anatuambia rais ndiye balozi namba moja wa nchi yake. Hivyo waziri hawezi kujikasimisha wadhifa wa kuwa balozi namba moja ...
Tuangazie ziara ya Rais Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan wa UAE na kuona itifaki zake

Istanbul Turkey
ZIARA YA KIKAZI YA RAIS WA UAE NCHINI UTURUKI



Rais Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan aliwasili Jumamosi mjini Istanbul kwa ziara ya kikazi nchini Uturuki.

Sheikh Mohammed alikaribishwa alipowasili na Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan.

Viongozi hao wawili watafanya mazungumzo baadaye ili kujadili fursa za kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya nchi hizo mbili, kwa kuzingatia zaidi kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kusaidia utulivu wa kikanda
 
Ibara ya 27.1 ya raia kuwa na haki ya kulinda Mali asili ardhi, bahari, anga na sovereignty ya nchi

23 June 2023
Dar es Salaam, Tanzania
JESHI LA WANAMAJI LIMEFANYA MAZOEZI YA UTAYARI


Mazoezi ya utayari wa kulinda mipaka, visiwa na bahari, Leo yamehitimishwa baada ya kuwa 'wameokoa' kisiwa kwa medani ya kivita ya amphibious landing kukomboa kisiwa kilichokaliwa lilolo pewa operesheni Hapapote 2023

Mkuu wa kamandi ya wanamaji rear admiral Ramson Godwin Mwaisaka amesema kwa wiki mbili sasa wamekuwa wanafanya mazoezi usiku na mchana.

Kamandi ya anga na kamandi ya askari wa miguu walishirikiana na kamandi ya wanamaji ili kuelewa utayari na uzoefu wa maafisa na askari katika ulinzi wa majini
 
Kiongozi wa waliondamana kupinga mkataba wa DP World aelezea alivyokamatwa na Polisi


Nilikamatwa kabla ya maandamano na kuhojiwa kwa masaa 48 huku wale waliofanikiwa kuingia mtaani kuandamana bado wanaripoti katika vituo mbalimbali vya polisi ... ambao bado wanaendelea na uchunguzi pia mali binafsi kama simu, kadi za benki, funguo bado vinashikiliwa na jeshi la Polisi..
 
23 June 2023

Katibu mkuu wa CHADEMA Mh. John John Mnyika kuhusu mkataba wa DP World



Katibu Mkuu wa CHADEMA amejikita katika kuoanisha bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2023 / 2024 ya miradi ya kimkakati ya bandari ya DSM pia bandari za Bagamoyo , Kilwa na zingine kuendelezwa wakati huo huo bandari hizo zinapewa bure kwa DP World ya Dubai kwa mkataba wenye masharti yanayo tishia sovereignty ya nchi ...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi katika hotuba yake bungeni kuhusu wawekezaji mbalimbali kujitokeza
kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya bandari nchini ikiwemo; Bandari ya Dar es Salaam, Bandari ya Tanga, Bandari ya Mtwara, Maeneo ya Bandari Kavu na
Bandari za Maziwa Makuu ili kulenga soko la nchi
zinazo tuzunguka, ambalo linakua kwa kasi. Kama ilivyo
kawaida, Bunge lako Tukufu litashirikishwa ipasavyo
wakati wa kuridhia Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai (Inter Governmental Agreement – IGA) kwa ajili ya ushirikiano wa kuboresha, kuendesha na kuendeleza maeneo ya bandari nchini ....
 

WAKILI MWABUKUSI: Rais Samia atusikie, Mkataba wa Bandari haulindi uhai wa Nchi yetu




Katika mahojiano leo na wakili Mwabukusi anaangazia mambo zaidi kamati ya bunge, uwakilishi wa muswada wa mkataba bungeni na jinsi muda finyu waliopewa wabunge kuujadili ...
.

Wabunge Halima Mdee, Aida Kenani pamoja na Luhaga Mpina ambaye hakupata nafasi bungeni kuwakilisha hoja hivyo kuwakilisha maoni nje ya bunge kwa maandishi watambuliwe kwa kupewa maua yao hayo bila kumsahau dada yetu mpendwa wa taifa Mange Kimambi amesema wakili msomi Boniface Mwabukusi

Aliyevujisha mkataba ni mzalendo halisi na hii inatia moyo kuwa bado kuna Wazalendo wachache ndani ya serikali... na huyu atambuliwe wajibu wake mkubwa kulinda maslahi ya taifa

Serikali inawajibika kwetu umma yaani wananchi hivyo viongozi wote serikalini watambue mamlaka zote tulizowapa ni zili zilizotamkwa katika katiba kama hawawezi waache nyadhifa zao waende nyumbani ...

Advocacy tunayofanya ni kazi ya kuelimisha wananchi na ndiyo wajibu wetu kwani waziri Mbawara katika hadhira tofauti tofauti anasema mkataba huu ni makubaliano na akifika mbele ya viongozi wa dini n.k wanasema mkataba ...


Viongozi waache propaganda kwa kwenda sehemu mbalimbali Tanzania kupotosha wananchi kuwa marekebisho yatafanywa... hata wakienda mpaka kilele cha mlima Kilimanjaro haitasaidia kuzimisha kelele za wananchi ...

Linalotakiwa ni bunge hili hili lirudi haraka ili kwa kikao cha kingine liupitie tena maana ni hitajito la kikatiba wakati kunapotokea hali kama hii tunayoiona badala ya kujaribu kuutetea mkataba huu mbovu ...

Bunge halina uwezo wa kuita watu kuwahoji hata pale walipowatisha kwa kuwaita kina Paschal Mayalla, Dr. Reginald Mengi na wengine ni batili. Kwa bunge haliwezi kuwa prosecutor na mahakama

Kumtishia balozi Dr. Wilbrod Peter Slaa ambaye ni Whistle blower bona-fide kuwa aitwe bungeni ahojiwe kuhusu press conference zake za kuhusu sakata la DP World, hili ni kinyume cha katiba na batili maana bunge halina mamlaka hayo....

Hata mimi Boniface Mwabukusi nikiitwa Dodoma siwezi kutishwa na sitakwenda maana ni wito batili na haramu wala kukidhi sheria na katiba yetu kwa kuwa bunge halina mamlaka hayo

Mikataba ya kunyonya Mali ya asili yetu haikubaliki ni mikataba pekee ambayo ina manufaa kwa taifa na muwekezaji ndiyo tunayoiafiki siyo mkataba mbovu kama huu ...

Tunawashukuru wananchi kwa kupaza sauti katika suala hili ..... maana sasa Bunge halitaweza tena kututia vitanzi kama hivi vya DP World, Loliondo, Madini n.k bila wananchi kuhusishwa kimamilifu na siyo kuburuzwa ....

Kuna masharti yasiyo general policy ndani ya mkataba .... reciprocacy hakuna, huu mkataba una mlinda mwekezaji badala ya kumpa haki ya kudai fidia pale anapodhulumiwa...

High level consultation kwa kutumia katiba yetu Ibara ya 27.1 ya raia kuwa na haki ya kulinda Mali inafanyika na si muda mrefu waTanzania watapewa mrejesho na watafahamishwa

Ibara ya 28 ya katiba hairuhusu mtu yeyote kumilikishwa eneo lolote bali inaruhusiwa kutumika kwa shughuli hivyo mwekezaji hatakiwi kumilikishwa bali kuendesha shughuli za kibiashara ...

Bungeni kulikuwa na tukio na siyo mjadala maana hakuna mwanasheria mkuu hakuoneshwa siku hiyo na mwanasheria mkuu ana kiti chake maalum bungeni lakini hakuwepo na badala yake spika wa bunge kuliteka bunge kinyume na uendeshaji wa bunge huku akiwadhalilisha, kuwa harass wabunge Halima Mdee, Aida Kenani na kulibadilisha bunge kuwa kama darasa la chekechea / kindergarten la a,e,i,o,u huku dhihaka za kutunzana noti, miluzi, kugonga meza kiasi cha bunge kuwa eneo mithili ya ngoma ya mchiriku wakati jambo muhimu la eneo la nchi linamilikishwa kwa taifa lingine geni milele

Ya fuatayo yarekebishwe katika mkataba huu wa DP World katika yafuatayo : Sheria za nchi zizingatiwe masuala ya umilikaji ardhi, umilikaji wa bandari, uvunjwaji wa mikataba, tusikatazwe kutwaa eneo pale usalama wa taifa unapotishiwa tofauti na mkataba huu unavyotukataza kitu ambacho ni kinyume na katiba, spika aache kuligeuza bunge kuwa kikaragosi cha serikali, maandamano yaratibiwe maana katiba inaruhusu

Ushauri kwa Mh. Samia Hassan, ni kuwa mimi nina mashaka rais amepotoshwa maana hata wataalamu kama mwanasheria mkuu hakuonekana ndani ya televisheni siku ya tarehe 10 June 2023 jumamosi mjini Dodoma. Pia namshauri mchakato wa haraka ufanyike Serikali iurudishe mkataba huu tena bungeni na utaratibu wote utumike kikamilifu na uwazi mkubwa kusuka upya mkataba huu tata.

Freeman A. Mbowe ameeleweka na watu wenye uwezo wa kufikiri ila kuna watu wanataka kupotosha ujumbe mzuri aliowakilisha


Ni nchi mbili tu yaani Palestina kule mashariki ya kati na Tanganyika hapa Afrika Mashariki nchi zao zimepotezwa .....

Rais amwelekeze waziri aliyemkasimisha madaraka (Delegata potestas non potest delegari) kujiuzulu maana alimuamini waziri hakutumia imani hiyo vizuri lakini sasa amemuingiza katika matatizi makubwa na pia mkataba huu urejeshwe bungeni tena maana paka akifungiwa chumbani katika kona paka huyu huweza kujigeuza Simba... pia Spika Tulia Ackson ajiuzuli nafasi yake mara moja ya uspika kwa kushindwa kulipa bunge na wabunge nafasi ya kuishauri serikali kwa uwazi hilo linawezekana maana Job Ndugai alijiuzulu kufuatia utata ... na kadhia hii ya bandari ni moto kuliko ya Job Ndugai spika aliyepita ..

Wazee wa taifa wajitokeze haraka kumshauri rais kwa heshima kuwa kuwa wajisahihishe kuurejesha mkataba huu tena bungeni ....

Mawakili wanaojielewa
 
GODBLESS LEMA AZUNGUMZIA MKATABA WA BANDARI NA DUBAI KWA KUANGALIA GEOPOLITICS, UCHUMI NA USALAMA



Dubai kuifunga 'minyororo na jiwe kubwa' Tanzania kupitia mkataba wa DP World ni suala la hofu ya bandari ya Dubai kuweza kukosa ushawishi wake kama bandari kubwa ya transhipment eneo hilo la dunia.

Hivyo IGA ya mkataba wa Dubai na Tanzania unaokataza Tanzania kuendeleza bandari yoyote katika bahari ya Hindi za Kilwa, Bagamoyo, Mtwara n.k ni kujihami kwake Dubai na tishio la Tanzania siku za mbele kuipoka Dubai biashara yote kubwa ya mameli ya transhipment

Kifupi hili ni suala la ki Geopolitics kiuchumi na kiusalama la Dubai kuongopa siku zijazo (kesho yake) kuwa ngumu kiuchumi wakipokwa fursa hii ya biashara ya kidunia ya transhipment.

Hivyo kwa upana wake Dubai ina mpango wa kudumuza potential ya Tanzania kwa nafasi ambayo Tanzania kijiografia imekaa sehemu murua kabisa kuwa kama bandari ya Singapore, Dubai, Antwerp, Rotterdam n.k hivyo waliosuka mkataba huu ni kuitia kabali ya kiuchumi Tanzania isipate fursa hiyo milele kama mkataba wa IGA wa Dubai na Tanzania unavyotamka.

TRANSHIPMENT HUB / KITOVU CHA MELI KUBWA


Usafirishaji wa moja kwa moja huenda kati ya bandari hizo mbili bila kupakia mzigo kati.

Uhamisho unahusisha upakiaji wa mizigo kati ya pointi A na B wakati hakuna muunganisho wa moja kwa moja kwenye bandari lengwa. Usafirishaji unaeleweka wakati bandari inayokusudiwa ya mwisho haipatikani kwa sababu ya kina kifupi au ikiwa bandari haiwezi kubeba meli kubwa zaidi.

Calcutta Galathea Bay in Great Nicobar Island, India to position itself as a major transshipment port 18 January 2023 shipping news report

Transshipment is a complex supply chain challenge that involves the transportation of cargo or a container from one vessel to another, while in transit to its final port of discharge (POD). Transshipping commonly happens when the cargo can't reach its final destination through a direct route
 
MWEKEZAJI WA BANDARI YA BAGAMOYO VS DP WORLD, MASHARTI YAO YANAFANANA ?



30 September 2022
Na Beatrice Kimaro

Bandari kuanza kujengwa, kuna tafsiri gani?

Wazo la ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo lilianza kuibuka kupitia mpango uliobuniwa na serikali ya Tanzania mwaka 2004 ulioitwa Tanzania-Mini Tiger 2020, uliolenga kuwa na nchi yenye uchumi wa ’tiger’ kupitia viwanda vya kuzalisha bidhaa zitakazouzwa nje.
Mpango huu ulisukumwa na mafanikio yaliyopatikana katika nchi zinazoitwa ‘Four Asian Tigers ambazo ni Korea Kusini, Hong Kong, Taiwan na Singapore ambazo zilitumia aina hii ya mikakati na kufanikiwa kujenga uchumi hasa Korea Kusini.

Ulianza kutekelezwa mwaka 2005, ambapo pamoja na mambo mengine ulilenga kuendeleza kilimo, elimu, barabara, maji na uwekezaji. Kipindi cha majaribio kati ya mwaka 2005 mpaka 2020 ulipaswa kuhusisha ujenzi wa kanda maalumu za kiuchumi (SEZ).

Na hapo ndipo Ukanda maalumu wa Kiuchumi wa Bagamoyo, ulipowekewa misingi na Bandari ya Bagamoyo ilipoonekana ni jambo linalohitajika sana na lisiloepupika.

Lilikuwa wazo la siku, wiki, mwezi, mpaka sasa ni karibu miaka 20 ujenzi wa bandari hii haujaanza. Ingawa ujenzi wake ulizinduliwa mwaka 2015, karibu miaka 7 iliyopita na aliyekuwa rais wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete, ukaja kusitishwa na rais wa awamu ya tano, John Magufuli mwaka 2019 kwa madai ya kuwepo kwa masharti ya ajabu na magumu yaliyowekwa na mwekezaji.

Masharti hayo ni kwamba baada ya bandari kukamilika, Tanzania haitaruhusiwa kujenga na kuendeleza bandari nyingine yoyote kwenye pwani ya Bahari ya Hindi kuanzia Tanga mpaka Mtwara, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutotakiwa kwenda kukusanya ushuru wala kodi katika eneo la bandari na kutaka wapewe hakikisho la miaka 33, huku wawekezaji hao wangeweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 99 pamoja na kutoruhusiwa kuulizwa nani anamiliki eneo hilo.

Hata hivyo Rais Samia amelirejesha suala hilo kwenye mazungumzo na wawekezaji, akijenga matumaini mapya na sasa kuna dalili zote kwamba ujenzi wake unakwenda kuanza mwaka ujayo wa fedha.

Kwa tafrisi fupi Serikali kukubali kuanza kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo kunamaanisha kwamba manufaa na faida za bandari hii kunafanya ujenzi wake usikwepeke.

Utacheleweshwa tu, na mijadala ya masharti ya kimkataba na fedha za uwekezaji lakini faida na manufaa ya bandari hiyo yanajieleza wazi kwenye kuchocheza ukuaji wa uchumi wa taifa hilo.

Hata hivyo huwezi kupuuza hoja zilizosemwa na kiongozi mkubwa wa nchi kama rais wa awamu ya tano John Magufuli wakati wa uhai wake kuhusu suala la masharti, yanayooonekana kama kuikandamiza Tanzania na kumpendelea Mwekezaji.

Na wapo wanaohoji, kwanini kuwepo kwa kusigana kwenye utekelezaji wake? Huyu anaaanzisha, mwingine anasitisha na huyu anarejesha?
Source : BBC swahili
 
24 June 2023
London, Uingereza

KWANINI MWANASHERIA MKUU JAJI DR. FELESHI HAJATOA KAULI

Mwenyekiti wa cha siasa cha CHADEMA taifa Mh. Freeman Aikaeli Mbowe kutoka Tanzania akizungumza na diaspora jijini London kuhusu sakata la bandari
 
Mtemi Nyamilonda III Mikomangwa Aron wa Mwanza Ng'hwanza ajitosa sakata la mkataba wa bandari



Chifu huyo kutoka eneo la kanda ya ziwa aliye pia katibu mkuu wa machifu wote Tanzania anatoa raia baadhi ya vipengele vinavyotakiwa kurekebishwa kwani historia ya uwekezaji nchini Tanzania unatuonesha tuwe makini hivyo mkataba huu uwekwe katika mzani wa kisheria, kidiplomasia ili kuhakikisha uwe na tija yenye uhalisia ...

Hivyo maoni ya wananchi na wataalamu yazingatiwe ili kupata maslahi mapana zaidi ...
 
Thu 23-02-2023 13:43 PM

Mashirikiano baina ya nchi mbili, Tanzania na UAE - Falme za Kiarabu

DAR ES SALAAM, 23rd February, 2023 (WAM) --
1687704323835.png

Katika mkutano na Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ikulu Dar es Salaam, waziri wa nchi wa UAE Sheikh Shakhboot bin Nahyan alisema, “Nimefurahi kuwa Tanzania na kujionea moja kwa moja uhusiano mkubwa kati ya nchi hizi mbili.

Ninathibitisha dhamira ya UAE ya kuimarisha zaidi uhusiano na Tanzania. Ni muhimu kwa nchi zetu kuendelea kuimarisha uhusiano wetu na kutafuta fursa mpya za ushirikiano.”

Sheikh Shakhboot bin Nahyan Al Nahyan, Minister of State, met with Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, to discuss the bilateral relations between the UAE and Tanzania.

Sheikh Shakhboot bin Nahyan Al Nahyan discussed during the meeting, which took place in the Tanzanian city of Dar es Salaam, a range of files of mutual interest, including trade, investment, education, culture, and tourism.

In the meeting with President Hassan, Sheikh Shakhboot bin Nahyan stated, “I was delighted to be in Tanzania and to witness first-hand the strong relations between the two countries.

I reaffirm the UAE's commitment to further strengthening ties with Tanzania. It is essential for our countries to continue to enhance our relationship and explore new opportunities for cooperation.”

The meeting was a testament to the strong and growing relationship between the two countries and underscored the commitment of Tanzania to work with the UAE to achieve mutual interests.
 
25 June 2023

Mkurugenzi wa bandari ya DSM atao rai kwa wafanyakazi wachape kazi



Mrisho S. Mrisho mkurugenzi wa bandari ya Dar es Salaam amewatia moyo wafanyakazi wa bandari hiyo kubwa kabisa Tanzania kuendelea kuchapa kazi na wala wasiyumbishwe kwa kusikiliza au kufuata mjadala na kauli kibao zinazoendelea nje ya bandari kuhusu mkataba wa bandari .

Mkurugenzi wa bandari ya Dar es Salaam asema mijadala hiyo kuhusu bandari katika mitandao ya kijamii, katika mikutano, huko duniani na maandamano yasiwafanye wafanyakazi wa bandari kushindwa kutekeleza majukumu yao kwa bidii na weledi .

Maana mambo yanayojadiliwa katika mjadala huo mpana ulio nje ya bandari yanaweza kuwa ya kweli au si ya kweli na kumfanya mfanyakazi kushindwa kujua wapi mahali sahihi pa kuulizia masuala yao lakini ukweli ni kuwa sehemu sahihi ni kuuliza uongozi wa bandari nini hatima ya bandari na kazi zao upo ndani ya uongozi wa bandari.
 

WAKILI MWABUKUSI: Rais Samia atusikie, Mkataba wa Bandari haulindi uhai wa Nchi yetu




Katika mahojiano leo na wakili Mwabukusi anaangazia mambo zaidi kamati ya bunge, uwakilishi wa muswada wa mkataba bungeni na jinsi muda finyu waliopewa wabunge kuujadili ...
.

Wabunge Halima Mdee, Aida Kenani pamoja na Luhaga Mpina ambaye hakupata nafasi bungeni kuwakilisha hoja hivyo kuwakilisha maoni nje ya bunge kwa maandishi watambuliwe kwa kupewa maua yao hayo bila kumsahau dada yetu mpendwa wa taifa Mange Kimambi amesema wakili msomi Boniface Mwabukusi

Aliyevujisha mkataba ni mzalendo halisi na hii inatia moyo kuwa bado kuna Wazalendo wachache ndani ya serikali... na huyu atambuliwe wajibu wake mkubwa kulinda maslahi ya taifa

Serikali inawajibika kwetu umma yaani wananchi hivyo viongozi wote serikalini watambue mamlaka zote tulizowapa ni zili zilizotamkwa katika katiba kama hawawezi waache nyadhifa zao waende nyumbani ...

Advocacy tunayofanya ni kazi ya kuelimisha wananchi na ndiyo wajibu wetu kwani waziri Mbawara katika hadhira tofauti tofauti anasema mkataba huu ni makubaliano na akifika mbele ya viongozi wa dini n.k wanasema mkataba ...


Viongozi waache propaganda kwa kwenda sehemu mbalimbali Tanzania kupotosha wananchi kuwa marekebisho yatafanywa... hata wakienda mpaka kilele cha mlima Kilimanjaro haitasaidia kuzimisha kelele za wananchi ...

Linalotakiwa ni bunge hili hili lirudi haraka ili kwa kikao cha kingine liupitie tena maana ni hitajito la kikatiba wakati kunapotokea hali kama hii tunayoiona badala ya kujaribu kuutetea mkataba huu mbovu ...

Bunge halina uwezo wa kuita watu kuwahoji hata pale walipowatisha kwa kuwaita kina Paschal Mayalla, Dr. Reginald Mengi na wengine ni batili. Kwa bunge haliwezi kuwa prosecutor na mahakama

Kumtishia balozi Dr. Wilbrod Peter Slaa ambaye ni Whistle blower bona-fide kuwa aitwe bungeni ahojiwe kuhusu press conference zake za kuhusu sakata la DP World, hili ni kinyume cha katiba na batili maana bunge halina mamlaka hayo....

Hata mimi Boniface Mwabukusi nikiitwa Dodoma siwezi kutishwa na sitakwenda maana ni wito batili na haramu wala kukidhi sheria na katiba yetu kwa kuwa bunge halina mamlaka hayo

Mikataba ya kunyonya Mali ya asili yetu haikubaliki ni mikataba pekee ambayo ina manufaa kwa taifa na muwekezaji ndiyo tunayoiafiki siyo mkataba mbovu kama huu ...

Tunawashukuru wananchi kwa kupaza sauti katika suala hili ..... maana sasa Bunge halitaweza tena kututia vitanzi kama hivi vya DP World, Loliondo, Madini n.k bila wananchi kuhusishwa kimamilifu na siyo kuburuzwa ....

Kuna masharti yasiyo general policy ndani ya mkataba .... reciprocacy hakuna, huu mkataba una mlinda mwekezaji badala ya kumpa haki ya kudai fidia pale anapodhulumiwa...

High level consultation kwa kutumia katiba yetu Ibara ya 27.1 ya raia kuwa na haki ya kulinda Mali inafanyika na si muda mrefu waTanzania watapewa mrejesho na watafahamishwa

Ibara ya 28 ya katiba hairuhusu mtu yeyote kumilikishwa eneo lolote bali inaruhusiwa kutumika kwa shughuli hivyo mwekezaji hatakiwi kumilikishwa bali kuendesha shughuli za kibiashara ...

Bungeni kulikuwa na tukio na siyo mjadala maana hakuna mwanasheria mkuu hakuoneshwa siku hiyo na mwanasheria mkuu ana kiti chake maalum bungeni lakini hakuwepo na badala yake spika wa bunge kuliteka bunge kinyume na uendeshaji wa bunge huku akiwadhalilisha, kuwa harass wabunge Halima Mdee, Aida Kenani na kulibadilisha bunge kuwa kama darasa la chekechea / kindergarten la a,e,i,o,u huku dhihaka za kutunzana noti, miluzi, kugonga meza kiasi cha bunge kuwa eneo mithili ya ngoma ya mchiriku wakati jambo muhimu la eneo la nchi linamilikishwa kwa taifa lingine geni milele

Ya fuatayo yarekebishwe katika mkataba huu wa DP World katika yafuatayo : Sheria za nchi zizingatiwe masuala ya umilikaji ardhi, umilikaji wa bandari, uvunjwaji wa mikataba, tusikatazwe kutwaa eneo pale usalama wa taifa unapotishiwa tofauti na mkataba huu unavyotukataza kitu ambacho ni kinyume na katiba, spika aache kuligeuza bunge kuwa kikaragosi cha serikali, maandamano yaratibiwe maana katiba inaruhusu

Ushauri kwa Mh. Samia Hassan, ni kuwa mimi nina mashaka rais amepotoshwa maana hata wataalamu kama mwanasheria mkuu hakuonekana ndani ya televisheni siku ya tarehe 10 June 2023 jumamosi mjini Dodoma. Pia namshauri mchakato wa haraka ufanyike Serikali iurudishe mkataba huu tena bungeni na utaratibu wote utumike kikamilifu na uwazi mkubwa kusuka upya mkataba huu tata.

Freeman A. Mbowe ameeleweka na watu wenye uwezo wa kufikiri ila kuna watu wanataka kupotosha ujumbe mzuri aliowakilisha


Ni nchi mbili tu yaani Palestina kule mashariki ya kati na Tanganyika hapa Afrika Mashariki nchi zao zimepotezwa .....

Rais amwelekeze waziri aliyemkasimisha madaraka (Delegata potestas non potest delegari) kujiuzulu maana alimuamini waziri hakutumia imani hiyo vizuri lakini sasa amemuingiza katika matatizi makubwa na pia mkataba huu urejeshwe bungeni tena maana paka akifungiwa chumbani katika kona paka huyu huweza kujigeuza Simba... pia Spika Tulia Ackson ajiuzuli nafasi yake mara moja ya uspika kwa kushindwa kulipa bunge na wabunge nafasi ya kuishauri serikali kwa uwazi hilo linawezekana maana Job Ndugai alijiuzulu kufuatia utata ... na kadhia hii ya bandari ni moto kuliko ya Job Ndugai spika aliyepita ..

Wazee wa taifa wajitokeze haraka kumshauri rais kwa heshima kuwa kuwa wajisahihishe kuurejesha mkataba huu tena bungeni ....
Amesema Ameziba masikio ,hataki kelele
 

WAKILI MWABUKUSI: Rais Samia atusikie, Mkataba wa Bandari haulindi uhai wa Nchi yetu




Katika mahojiano leo na wakili Mwabukusi anaangazia mambo zaidi kamati ya bunge, uwakilishi wa muswada wa mkataba bungeni na jinsi muda finyu waliopewa wabunge kuujadili ...
.

Wabunge Halima Mdee, Aida Kenani pamoja na Luhaga Mpina ambaye hakupata nafasi bungeni kuwakilisha hoja hivyo kuwakilisha maoni nje ya bunge kwa maandishi watambuliwe kwa kupewa maua yao hayo bila kumsahau dada yetu mpendwa wa taifa Mange Kimambi amesema wakili msomi Boniface Mwabukusi

Aliyevujisha mkataba ni mzalendo halisi na hii inatia moyo kuwa bado kuna Wazalendo wachache ndani ya serikali... na huyu atambuliwe wajibu wake mkubwa kulinda maslahi ya taifa

Serikali inawajibika kwetu umma yaani wananchi hivyo viongozi wote serikalini watambue mamlaka zote tulizowapa ni zili zilizotamkwa katika katiba kama hawawezi waache nyadhifa zao waende nyumbani ...

Advocacy tunayofanya ni kazi ya kuelimisha wananchi na ndiyo wajibu wetu kwani waziri Mbawara katika hadhira tofauti tofauti anasema mkataba huu ni makubaliano na akifika mbele ya viongozi wa dini n.k wanasema mkataba ...


Viongozi waache propaganda kwa kwenda sehemu mbalimbali Tanzania kupotosha wananchi kuwa marekebisho yatafanywa... hata wakienda mpaka kilele cha mlima Kilimanjaro haitasaidia kuzimisha kelele za wananchi ...

Linalotakiwa ni bunge hili hili lirudi haraka ili kwa kikao cha kingine liupitie tena maana ni hitajito la kikatiba wakati kunapotokea hali kama hii tunayoiona badala ya kujaribu kuutetea mkataba huu mbovu ...

Bunge halina uwezo wa kuita watu kuwahoji hata pale walipowatisha kwa kuwaita kina Paschal Mayalla, Dr. Reginald Mengi na wengine ni batili. Kwa bunge haliwezi kuwa prosecutor na mahakama

Kumtishia balozi Dr. Wilbrod Peter Slaa ambaye ni Whistle blower bona-fide kuwa aitwe bungeni ahojiwe kuhusu press conference zake za kuhusu sakata la DP World, hili ni kinyume cha katiba na batili maana bunge halina mamlaka hayo....

Hata mimi Boniface Mwabukusi nikiitwa Dodoma siwezi kutishwa na sitakwenda maana ni wito batili na haramu wala kukidhi sheria na katiba yetu kwa kuwa bunge halina mamlaka hayo

Mikataba ya kunyonya Mali ya asili yetu haikubaliki ni mikataba pekee ambayo ina manufaa kwa taifa na muwekezaji ndiyo tunayoiafiki siyo mkataba mbovu kama huu ...

Tunawashukuru wananchi kwa kupaza sauti katika suala hili ..... maana sasa Bunge halitaweza tena kututia vitanzi kama hivi vya DP World, Loliondo, Madini n.k bila wananchi kuhusishwa kimamilifu na siyo kuburuzwa ....

Kuna masharti yasiyo general policy ndani ya mkataba .... reciprocacy hakuna, huu mkataba una mlinda mwekezaji badala ya kumpa haki ya kudai fidia pale anapodhulumiwa...

High level consultation kwa kutumia katiba yetu Ibara ya 27.1 ya raia kuwa na haki ya kulinda Mali inafanyika na si muda mrefu waTanzania watapewa mrejesho na watafahamishwa

Ibara ya 28 ya katiba hairuhusu mtu yeyote kumilikishwa eneo lolote bali inaruhusiwa kutumika kwa shughuli hivyo mwekezaji hatakiwi kumilikishwa bali kuendesha shughuli za kibiashara ...

Bungeni kulikuwa na tukio na siyo mjadala maana hakuna mwanasheria mkuu hakuoneshwa siku hiyo na mwanasheria mkuu ana kiti chake maalum bungeni lakini hakuwepo na badala yake spika wa bunge kuliteka bunge kinyume na uendeshaji wa bunge huku akiwadhalilisha, kuwa harass wabunge Halima Mdee, Aida Kenani na kulibadilisha bunge kuwa kama darasa la chekechea / kindergarten la a,e,i,o,u huku dhihaka za kutunzana noti, miluzi, kugonga meza kiasi cha bunge kuwa eneo mithili ya ngoma ya mchiriku wakati jambo muhimu la eneo la nchi linamilikishwa kwa taifa lingine geni milele

Ya fuatayo yarekebishwe katika mkataba huu wa DP World katika yafuatayo : Sheria za nchi zizingatiwe masuala ya umilikaji ardhi, umilikaji wa bandari, uvunjwaji wa mikataba, tusikatazwe kutwaa eneo pale usalama wa taifa unapotishiwa tofauti na mkataba huu unavyotukataza kitu ambacho ni kinyume na katiba, spika aache kuligeuza bunge kuwa kikaragosi cha serikali, maandamano yaratibiwe maana katiba inaruhusu

Ushauri kwa Mh. Samia Hassan, ni kuwa mimi nina mashaka rais amepotoshwa maana hata wataalamu kama mwanasheria mkuu hakuonekana ndani ya televisheni siku ya tarehe 10 June 2023 jumamosi mjini Dodoma. Pia namshauri mchakato wa haraka ufanyike Serikali iurudishe mkataba huu tena bungeni na utaratibu wote utumike kikamilifu na uwazi mkubwa kusuka upya mkataba huu tata.

Freeman A. Mbowe ameeleweka na watu wenye uwezo wa kufikiri ila kuna watu wanataka kupotosha ujumbe mzuri aliowakilisha


Ni nchi mbili tu yaani Palestina kule mashariki ya kati na Tanganyika hapa Afrika Mashariki nchi zao zimepotezwa .....

Rais amwelekeze waziri aliyemkasimisha madaraka (Delegata potestas non potest delegari) kujiuzulu maana alimuamini waziri hakutumia imani hiyo vizuri lakini sasa amemuingiza katika matatizi makubwa na pia mkataba huu urejeshwe bungeni tena maana paka akifungiwa chumbani katika kona paka huyu huweza kujigeuza Simba... pia Spika Tulia Ackson ajiuzuli nafasi yake mara moja ya uspika kwa kushindwa kulipa bunge na wabunge nafasi ya kuishauri serikali kwa uwazi hilo linawezekana maana Job Ndugai alijiuzulu kufuatia utata ... na kadhia hii ya bandari ni moto kuliko ya Job Ndugai spika aliyepita ..

Wazee wa taifa wajitokeze haraka kumshauri rais kwa heshima kuwa kuwa wajisahihishe kuurejesha mkataba huu tena bungeni ....

 
Back
Top Bottom