Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Wakili Robert Amsterdam ni nani?

This is truly ridiculous law firm, hii ni kumtishia mtoto nyau, not us hapo mumefeli vibaya sana.
 
Tanzania ni nchi dhaifu sana linapokuja suala la kupambana na giant countries labda kama huijui dunia vizuri.
Huyo amsterdam ni nchi?

Yaani huyu jamaa namharibia sana Lisu
 
Jmc06

Kamuulize Kenyatta na Rutto baada ya yaliyotokea 2007 nini kiliwapata?
Jiwe na wenzake wasipoangalia watanyea ndoo mwaka huu.
Msidhani dunia nzima watu wana akili za kiccm wote
 
Tanzania kama Taifa huru itakuwa ni aibu ya mwaka kutishiwa nyau na mtu mmoja na kakampuni kake kwa vile yuko Ulaya ni mzungu na ni mwanasheria. Mbaya zaidi pengine ni punga/shoga.

Hii tabia ya eti mtu anakuwa kibaraka na anaowahuni nyuma yake wanaomkingia kifua na wapiga propoganda za kutishia nchi lazima ikomeshwe kwa utaratibu na njia ambayo itakuwa ni fundisho kwa wapuuzi wa aina hii wengine wote. Mtu mmoja anapayuka kutishia serikali halafu angaliwe tu.

Hii si sahihi hata kidogo.
 
Tanzania kama Taifa huru itakuwa ni aibu ya mwaka kutishiwa nyau na mtu mmoja na kakampuni kake kwa vile yuko ulaya ni mzungu na ni mwanasheria. Mbaya zaidi pengine ni punga/shoga.

Hii tabia ya eti mtu anakuwa kibaraka na anaowahuni nyuma yake wanaomkingia kifua na na wapiga propoganda za kutishia nchi lazima ikomeshwe kwa utaratibu na njia ambayo itakuwa ni fundisho kwa wapuuzi wa aina hii wengine wote. Mtu mmoja anapayuka kutishia serikali halafu angaliwe tu. Hii si sahihi hata kidogo.
Huyo unayemuita muhuni anaweza kuifanya Tanzania kama Zimbabwe kwa kushawishi wafadhiri kuinyima Tanzania misaada
 
Hao "amsterdam"wakitweet Lisu na ufipa yote inalipuka kwa shangwe wandgani dunia nzima ina habari na wao, kumbe watu hawana hata mpango nyie, wapo busy na yao uchumi umekwama kwa sababu ya Corona, watu wanafikiria namana ya kucover loss na kugungua mipaka ya nchi zao, subirini october tutavyo wanyoosha
Kwetu uchumi haujakwama kwa sababu we are free from corona? Msaada tafadhali.
 
Huyo unayemuita muhuni anaweza kuifanya Tanzania kama Zimbabwe kwa kushawishi wafadhiri kuinyima tanzania misaada

Acheni propoganda hizi za hovyo. Eti Lissu kafika mahali anatomasa jeshi la polisi, anaitomasa mahakama ni kama anaangaliwa hivi tu. Hii si sawa hata kidogo. Bora tufikie huko mnakotishia Zimbabwe. Halafu hii fear mongering propogandas sijui nani yuko nyuma yake? Na kwa faida ya nani hasa? Kwa sababu hizi propoganda za kumjengea hofu Rais na uongozi wa Serikali ni kama zimekuwa ndio order of the day. Who is behind this shit???
 
Kenya once again
Ofcoz Kenya wangependa Sana huku pavurugike kidogo ili twende sawa...na target ya Kenya siku zote ni kupambana kuwa gateway ya kuingia kwenye parks zetu na ofcoz mt kili.
 
Tanzania ni nchi dhaifu sana linapokuja suala la kupambana na giant countries labda kama huijui dunia vizuri.
Nani kakwambia Robert Amsterdam ni giant countries. Kumbe siyo wakili mwenye ofisi London!
 
Ofcoz Kenya wangependa Sana huku pavurugike kidogo ili twende sawa...na target ya Kenya siku zote ni kupambana kuwa gateway ya kuingia kwenye parks zetu na ofcoz mt kili.
Mkopo wao wa kupambana na COVID-19 umeishia mifukoni mwa wajanja..mtaani wananzengo wameamua kuingia barabarani!
 
Acheni kujipa moyo. Mtakuja kuniambia wenyewe hapa, Magufuli anachukua nchi na hakuna taifa hata moja litaweka ngumu yoyote ile, na kitakachomtokea Lissu hao Amsterdam hawatofanya chochote, watapuuzwa tu.
 
Mkopo wao wa kupambana na COVID-19 umeishia mifukoni mwa wajanja..mtaani wananzengo wameamua kuingia barabarani!
Hatari Sana watu wale... watz wangepata treatment wanayopewa raia wa Kenya na Viongozi wao sijui ingekuaje.
 
Wamendeleza ile biashara yao ya enzi zile ya ulanguzi wa lux na colgate pale chekereni.
 
What is happening on Wednesday?!

I want to witness the event.
 
Tanzania kama Taifa huru itakuwa ni aibu ya mwaka kutishiwa nyau na mtu mmoja na kakampuni kake kwa vile yuko ulaya ni mzungu na ni mwanasheria. Mbaya zaidi pengine ni punga/shoga.

Hii tabia ya eti mtu anakuwa kibaraka na anaowahuni nyuma yake wanaomkingia kifua na wapiga propoganda za kutishia nchi lazima ikomeshwe kwa utaratibu na njia ambayo itakuwa ni fundisho kwa wapuuzi wa aina hii wengine wote. Mtu mmoja anapayuka kutishia serikali halafu angaliwe tu. Hii si sahihi hata kidogo.
Uzuri wake sijaona kiongozi yeyote w selikali aliyehangaika kujibishana nao hata mmoja!
Yani tubarua twao tunaishia tu mitandaoni, nyumbu wakiona wanashangilia kama mazuzu.
 
Back
Top Bottom