Single mother kuwa dhaifu kwa mzazi mwenzie ni kitu ambacho unakijua na unaweza kudeal nacho kwa kwa wewe kusimama kwenye nafasi yako huo udhaifu usiwepo.Shida ya single mothers wengi wanakua wadhaifu kwa wazazi wenzao ila ushauri wako ni mzuri sanA
Sent using Jamii Forums mobile app
nihangaike na yote hayo ya nini?? nahitaji kitu kimoja tu kwa mwanamke,yaani pussy na ndo hicho tu kinachonifanya nimuapproach mwanamke,hayo mambo mengine ya kumjali na kumuongoza mwanamke nawaachia watu wanaocomplicate maisha,mambo ya kukaa na mwanamke mmoja miaka 5 au 10,siwezi,nakula mzigo mwaka mmoja/miwili nakula kona, maisha sio magumu kiasi hichoSingle mother kuwa dhaifu kwa mzazi mwenzie ni kitu ambacho unakijua na unaweza kudeal nacho kwa kwa wewe kusimama kwenye nafasi yako huo udhaifu usiwepo.
Sasa wale wale wasio single mother ambao baadhi wana udhaifu kwa kila mwanaume inakuaje!? Wanaume msituache tujiongoze wenyewe akili zetu hata Mungu alizijua ndio maana aliniambia tuwe wasaidizi na sio vichwa hahaha
Wanaume wasiotaka majukumu wanazidi kuongezekanihangaike na yote hayo ya nini?? nahitaji kitu kimoja tu kwa mwanamke,yaani pussy na ndo hicho tu kinachonifanya nimuapproach mwanamke,hayo mambo mengine ya kumjali na kumuongoza mwanamke nawaachia watu wanaocomplicate maisha,mambo ya kukaa na mwanamke mmoja miaka 5 au 10,siwezi,nakula mzigo mwaka mmoja/miwili nakula kona, maisha sio magumu kiasi hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Povu tena babeπππUna wazimu wewe....... Na sisi hatutaki single faza... Oeni mliowazalisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mwenye mtoto hatorudi unaweza kwenda nae sawa. Shida ni kuwa mwenye mtoto akirudi wanakosa msimamo.[emoji23][emoji23]dah! Kuna wakati nilimpata dada mmoja "single mother "
Washkaji wakajua kama niko naye kwenye love.
Dah! Sikuamini yaani! Kila mtu alikuwa anatoa hoja yake na jina lake!
1. Single mother !
2. Kiwanja chenye migogoro!
3. Kwamba nanunua soda dukani iliyokwishfunguliwa!
4. Nanunua gazeti jioni!
5. Na mengine mengi.
Yaani kila mtu anatoa jina na kulitetea point yake. Nilibaki Naendelea naye kiroho ngumu sana.
Uzuri wa bahati dada alipata kazi mkoa mwingine na mawasiliano yakafubaa!
Kuanzia hapo, niliapa kutowaambia watu endapo nitapata mchumba ambaye ni single mother . Nitafanya uchunguzi wangu mwenyewe tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
troublemaker ππPovu tena babeπππ
Msimamo wa mwanamke unatokana na msimamo wakoKama mwenye mtoto hatorudi unaweza kwenda nae sawa. Shida ni kuwa mwenye mtoto akirudi wanakosa msimamo.
ndio mimi troublemaker, kitumbua changu kinataka kuingia mchanga kisa uzi wa JF.πtroublemaker ππ
Chunga kitumbua hicho mkuu chunga kibaruandio mimi troublemaker, kitumbua changu kinataka kuingia mchanga kisa uzi wa JF.π
Wanaume msiwaogope wanawake nyie mlipewa mamlaka ya kuwaongoza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] NdiwooPovu tena babe[emoji3][emoji3][emoji3]
Basi basi babe.
kuna NGO's siku hizi ukimgusa tu anakuweka ndani.Dunia ya sasa imebadilika sana. Bibi na mama zetu kipindi hicho waliishi kwa mateso na vipigo. Nakumbuka jirani yetu alikuwa anapiga mke wake ngumi na mateke kwahiyo ile iliwaumiza sana watoto wa kiume kuona wazazi wao wa kike wanapigwa kwahiyo kutokana hali ile wanaume wa sasa tunajitahidi kuishi wanawake zetu kwa kuwatunza na kutowapiga ngumi na mateke. Sasa hilo wanawake wengi hawalijui wanaona kama sisi ni dhaifu. Ukiishi na mwanamke anataka uwe unamkaripia, unamtukana, unampinga ngumi nk anapokosea. Sisi ni watu wazima lazima tujue mipaka na heshima ya ndoa. Sasa umeolewa halafu unaleta dharau na nyodo unataka nikupige mateke na mangumi ili uwe na tabia njema? Siyo kama tunawaogopa ila tunachagua wanawake ambao ni "waelewa"
Hayo ma X na Y ndo maujinga yenyewe..haya chukua Y utafute thaman ya X.Habari wana jamvi wa JF,
Twende moja kwa moja kwenye mada, miaka miwili nilikua mkoa X ambapo katika ujana nikapata mtoto wa kiume nilivyohama mkoa X na kuja mkoa Y, nikabaki kulea mtoto wangu aliyeko mkoa X.
Hilo sio tatizo wala sio lengo la uzi huu, miezi mitatu imepita nimeangukia kwa single mother katika mkoa Y na nashindwa kujichomoa kabisaaa na kila nikisoma thread za single mothers humu jamvini naishiwa nguvu ila huyu single mother yupo poa na inaonekana alipata pregnant kwa bahati mbaya...na ananipenda snaaa...
Ushauri, nimchukue single mother wa mkoa Y au ni bora nikomae na mwenzangu wa mkoa X japo kuna vitu anamiss kwa matumizi ya mke.
Ukiona niwamwage wote njoo PM..kwa KE only.
Karibuni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna NGO's siku hizi ukimgusa tu anakuweka ndani.
Tena kama polisi ukimpiga tu mkeo akishitaki hawakusikilizi kwa lolote utalala tu ndani.
kabisa,kwa nini ujipe majukumu yasiyo ya lazima,mimi nazalisha,mtoto akifikisha 3 yrs napiga chini,natafuta mwanamke mwingine,sihudumiagi mwanamke,nahudumiaga watoto tu,na ada nalipa mwenyewe, pocket money namkabidhi mtoto mimi mwenyeweWanaume wasiotaka majukumu wanazidi kuongezeka