Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hao wanawake wanaotiwa mimba ni mazezeta wasiojua hata vidonge vya kuzuia mimba
 
Hakika imagine mfano binti anaona n heri amwache kijana maskini akatembee na sponsor mwenye mke wake shauri ya pesa,wakati huyo yeye alitafuta na mkewe from scratch.
Hii ya umasikini ni mjadala pia, umasikini upo absolute au Relative. Nina ninao wafahamu walikuwa na maisha mazuri, still wanayo lakini wanaleo watoto wenyewe.
 
Single mother wanazidi Kwa sababu ya Kuzidi kwa Kule kujimwambafy wanawake …
Upo sahihi, Ona kısa hiki!
 
Wanawake wameota mapembe that is all, sisi Men hatupendagi ujinga
 
Mzee wa kupambania , mockers spana 😂 😅 zenu ni Og Og

Tena ni made in Germany.
tunajitahidi kuwakumbusha kua mwanamke ana expire akishagonga 40, soko lake linazidi kushuka yaani kama ni bidhaa inakua zilipendwa, ndio maana hata wema Leo huwezi kusikia kasafiri nchi fulani na nchi fulani sababu soko Hana tena, hata uhongaji mabinti wadogo ndio huhongwa pesa nyingi maana bado wako sokoni , mishangazi , single mother na wajane hao ni saidia fundi , ukizidiwa piga na ondoka
 
Tatizo Ni poor parenting
 
Daah sijaipata vizuri, kwa hali ilivyo single mothers sina cha kusema
 
Singo maza wanaongezeka kwasababu ya wanawake wanaamini kuolewa au kumzalia mwanaume ni njia ya kujipatia fedha/mali 💩 mwisho wa siku Mwanaume kumbe naye alikuwa na mipango ya kumla na kusepa...
Singo maza wanaongezeka kwasababu ya umalaya... Pia wanaongezeka kwasababu ya kukosa akili... Wanaongezeka kwasababu ya ulevi kukesha bar na kupenda bia za ofa... Wanaongezeka kwasababu ya kupenda wanaume wenye gari... Wanaongezeka kwasababu ya kuparamia waume za watu...

All in all Wanaume ni mwiko na marufuku kuoa au kumuweka ndani singo maza... Singo maza ni chombo cha starehe
 
Nope sio hilo ni ndoa za siku hizi wannaume hawataki kuhudumia so mtu anaamua kulea wanawe nasiku hizi wanawake wanajituma
Siyo kweli, Kila mwanamme anapenda kuhudumia mtoto na mke wake. Kuhudumia ni fahari yetu.

Sema nyie na umalaya wenu mnataka uhuru ili mkatombeshe kwa wengi.

Hakuna mwanamme aliye tayari kuhudumia mwanamke Malaya, jeuri na kiburi.
 
Na mbona lawama nyingi zinaenda kwa wanawake...wakati sababu kubwa ni wanaume kushindwa kuwa responsible kwa watu waliozaa nao....kama kuna single maza basi kuna single faza pia
Jamii inaongozwa na mwanaume. Ukitaka kujua Jamii yenye wanaume dhaifu we angalia wanawake zao, lazima single mother ni wengi mnoo..

Jamii yenye wanaume wasioweza kumwongoza mwanamke na kumwacha ajiongoze mwenyewe, jamii ya wanaume wasioweza kumkemea mke wa mtu malaya badala yake wanamtongoza, jamii ya wanaume isiyotaka kuwa na familia, wasambaza mbegu, watama pono na wacheza kamari lazima wanawake zao wawe single mother tu.

Jamii ya wanaume vilizi wa mapenzi, jamii ya wanaume walamba lips, jamii ya wanaume laini laini wasiotaka kazi ngumu, wapenda mishangazi, jamii ya wapenda utelezi. Lazima wanawake zao wawe single mother tu.
 
Sasa hiki kitendo cha women empowerment/gender equality ndio moja ya chanzo cha hili tatizo.

Kwa sababu kinaenda kinyume na asili inavyotaka, na asili nilikua na maana yake kumuumba mwanamke namna hivyo alivyo.

Mfano: bidhaa mbalimbali zikitengenezwa zinakuja na maelezo ya namna ya kuitumia ile product(vigezo na mashariki kuzingatiwa) na yale maelezo huwa yanatolewa kuendanana na design, materials iliyotumika na namna ya utendaji kazi wa product ili kuongeza ufanisi, kudumu kwa product husika, ukienda kinyume na manual guide ufanisi utashuka mwishowe product inaharibika kabla hata ya muda wake. Eg. Magari na spea zake oil,

How?
 
Miongoni mwa wanawake wenye reasonig capacity thinking jf ni wewe🩵
 
Niliwahi kukuuliza kwa nini ukajiita binti kiziwi, u never answered my question!
Legend; Seriously?

Sikuwa na sababu ya msingi… ila zamani nikiwa slim nilikuwa nafanana “kiasi” na binti kiziwi wa wimbo wa Z anto. Au basi nilikuwa nampenda, kuna ile delusional ukimpenda mtu unajiona kama yeye/unajiona ndani yake. 😂

It’s me being stupid!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…