Tatizo hamuwaelezi lugha wanagopaswa kuelezwa ili wajifunze hiyo tabia Mimi sina , wanawake hawa wanaodhani watashindana na mwanaume wakati nature inakataa wanaishia kua wajane na single mother daima, wala msiwapambe ilihali ukweli mnaufahamu au haufahamu kama mwanaume anao tabia ya mwanamke na sio muonekano , ndio maana hata marafiki zako kamwe hawatojadili muonekano sijui rangi , umbo hapana watasema mke wa jamaa muelewa na mkarimu kwa wageni , anasimama imara na Mume wake na hutosikia wanamsifia mke wako kua ana tako kubwa au dogo hiyo margin wengi hawataki kuisema hadharaniDuuh asee mkuu mbona kama umechanganyikiwa
Swali gani hili kwani Mzee Mengi alioa pisi mbovumockers mwanaume akifika 40 yeye haja expire pia?
Maringo ni mabaya sana nahuna hata hela unazoziota kazi kujisifu kwingi ibilisi ni wewe na familia yako wewe ndio unanuksi mie wakike silelewi najitafutia wewe unalaana unatafutiwa na wanawake maisha kula kwako ni wao wewe kucheza pool table tu umelaaniwa aliyekulaani ni bibi yako mzaa mama dah unanuksi sana unapewa hela ya matumizi kwani wewe nimwanamke aibu sana. Halafu unawataja LIDANGAJI LIONE .
Wewe shilingi una mke na watoto wangapi?Jamii inaongozwa na mwanaume. Ukitaka kujua Jamii yenye wanaume dhaifu we angalia wanawake zao, lazima single mother ni wengi mnoo..
Jamii yenye wanaume wasioweza kumwongoza mwanamke na kumwacha ajiongoze mwenyewe, jamii ya wanaume wasioweza kumkemea mke wa mtu malaya badala yake wanamtongoza, jamii ya wanaume isiyotaka kuwa na familia, wasambaza mbegu, watama pono na wacheza kamari lazima wanawake zao wawe single mother tu.
Jamii ya wanaume vilizi wa mapenzi, jamii ya wanaume walamba lips, jamii ya wanaume laini laini wasiotaka kazi ngumu, wapenda mishangazi, jamii ya wapenda utelezi. Lazima wanawake zao wawe single mother tu.
Malezi mabovu na mazingira;Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.
Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.
Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.
Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?
Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.
1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.
Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.
Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?
Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.
Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.
Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.
Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?
Ma singo baba, sababu zao ni nini?
Tusilee uozo wa maadili.
Shindwa donda la mwaka ni weweAlhamdullahi mja nimeepushwa
Mkuu ukibahatika kupata mtoto wa kike utafanyaje, utamchukia sababu ni wakike?Hata hospitalini idadi ya mashetani huzaliwa wengi ambao ni wanawake na malaika wachache wanaume, ndio maana hata mzazi akipata mtoto wa kiume hua na furaha Sana Kuliko kuzaa mtoto wa kike ambaye anajua atakua malaya aliyekubuhu
Baada ya kuukusoma hoja yako nikawa najiuliza:Malezi mabovu na mazingira;
Ambapo malezi mabovu yanachangia kwa asilimia kubwa , vijana wanaanza ngono wakiwa bado hawajielewi ni nini wanataka na zao la ngono ni mtoto matokeo yake mtoto atalelewa na bibi yake.
Mazingira pia yanachangia japo kwa asilimia chache sana endapo kijana atakuwa amekulia katika malezi bora.
Sababu nyingine ni kuongezeka kipato kwa mwanamke, hii pia ni sababu ya ndoa nyingi kusambaratika.
Ujumbe ninao jitahidi kuufikisha hapa ni kuwa, asilimia kubwa ya haya mambo tunayoyaina kwa mabinti na hata vijana wetu ni tafsiroi tu ya maisha ya majumbani mwao.Nami nichangie yafuatayo 1. Bint hajaolewa anatembea na watu hovyo wakiwemo waume za watu, huyo ni singo Maza mtarajiwa 2. Binti ameolewa lakini anatembea na watu nje. Mumewe akijua , kwisha. 3. Mwanaume kumdanganya Binti ckuoi Hadi ubebe mimba, af anasepa.
4. Ufeminist wa kijinga, wengine wanafurahi kabisa kuwa singomaza.
NB: kukosa maadil na kukosa Hofu ya mwenyezimungu ndio source kubwa
Ujumbe ninao jitahidi kuufikisha hapa ni kuwa, asilimia kubwa ya haya mambo tunayoyaina kwa mabinti na hata vijana wetu ni tafsiroi tu ya maisha ya majumbani mwao.Nami nichangie yafuatayo 1. Bint hajaolewa anatembea na watu hovyo wakiwemo waume za watu, huyo ni singo Maza mtarajiwa 2. Binti ameolewa lakini anatembea na watu nje. Mumewe akijua , kwisha. 3. Mwanaume kumdanganya Binti ckuoi Hadi ubebe mimba, af anasepa.
4. Ufeminist wa kijinga, wengine wanafurahi kabisa kuwa singomaza.
NB: kukosa maadil na kukosa Hofu ya mwenyezimungu ndio source kubwa
Tafsida tu. Hakuna Matusi😆Matusi yako Wapi.
Yeye ametaka ufafanuzi nimetumia lugha rahisi Kabisa ya kikubwa kueleza na yeyote anaelewa
Tafsida tu. Hakuna Matusi😆Matusi yako Wapi.
Yeye ametaka ufafanuzi nimetumia lugha rahisi Kabisa ya kikubwa kueleza na yeyote anaelewa
Ujumbe ninao jitahidi kuufikisha hapa ni kuwa, asilimia kubwa ya haya mambo tunayoyaina kwa mabinti na hata vijana wetu ni tafsiroi tu ya maisha ya majumbani mwao.Nami nichangie yafuatayo 1. Bint hajaolewa anatembea na watu hovyo wakiwemo waume za watu, huyo ni singo Maza mtarajiwa 2. Binti ameolewa lakini anatembea na watu nje. Mumewe akijua , kwisha. 3. Mwanaume kumdanganya Binti ckuoi Hadi ubebe mimba, af anasepa.
4. Ufeminist wa kijinga, wengine wanafurahi kabisa kuwa singomaza.
NB: kukosa maadil na kukosa Hofu ya mwenyezimungu ndio source kubwa