Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Tusifieni na wanaume...kuna nchi nyingne wanawake wanataman hiz nafas za kupigwa mbupu mpk kupata mtoto sababu wanaume hakuna...
Hii ni neema
 
Watu wamekosa uvumilivu ktk ndoa!
 
Umewalaumu wanawake tu, ila jinsia zote zina tatizo.
Mkuu advantages za mwanaume na mwanamke zipo katika angle tofauti. Advantage ya mwanaume ni nguvu na advantage ya mwanamke ni ushawishi wa kingono.

Hii advantage ya mwanaume imedhibitiwa kwa kuwekewa sheria kali sana, ukilazimisha game unakutana na kifungo jela.

Lakini hii advantage ya mwanamke haijadhibitiwa, hakuna namna yoyote mwanamke anawajibishwa akitumia advantage yake ya ushawishi kingono.

Ndipo hapa linapokuja suala la ngono as long as mwanamke hajabakwa basi yeye ndie wa kulaumiwa.
 
Mwanamke akishaona hapati kijana atamuwezesha kuishi maisha anayotaka basi ndio hivyo ataamua kuzaa muda kukimbizana na muda na muda ni mchawi kwa mwanamke
 
Lawama zinavyotupwa kwa wanawake utadhani tunajizalisha wenyewe
Miaka ya 2000 mwanzoni binti kuzaa bila ndoa au kulipiwa mahari ulikuwa unawekewa kikao kipindi hicho wazee wetu tulikuwa tunawaita madingi lazima uwekewe kikao cha ukoo ueleze ilikuwaje
 
Nashukuru sana
Tusiingiliane mambo ya personal, jibu hoja zangu nijibu zako yamekwisha, sikuingia JF kutafuta mahusiano na mtu, iwe ye mtandao au vinginevyo.

Tuijuwe mipaka yetu.
 
Umaskini chanzo kikubwa cha single mothers
Hoja nyepesi sana hii, hebu fanya tathimin mwenyewe miaka ya nyuma na miaka ya sasa, miaka ya nyuma umasikini ulikuwa mkubwa, shule chache, ukipata nafasi ya kwenda shule utatembea umbali mrefu, huduma za afya zilikuwa hafifu au hamna kabisa katika maeneo mengi hasa vijini, sekta iliyokuwa inategemewa ni kilimo tu, katika hali hiyo ya umasikini single mother ulikuwa unawafuta kwa tochi, wanawake wa kizazi hicho walikuwa wanajiheshimu, walijua kuzivumilia hali zao, hawakuwa na tamaa ya vitu wasivyo na uwezo navyo, walijithamini zaidi kuliko kitu chochote.


Mabinti wa kizazi hiki tamaa iko mbele sana, wanatamani vitu wasivyo na uwezo navyo, hawajithamini kabisa kwa habari ya miili yao, zamani mwanamke kama hajakupenda mwili mwake hautaugusa, siku hizi ukiwa na pesa tu hata mke wa mtu unakula vizuri bila shida.

Shida sio umasikini ni tamaa, kuna familia ziko vizuri hizo shida ndogo ndogo hamna bado binti zao wanazaa kabla ya ndoa hapo bado utasema umasikini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…