Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Habari wana jamvi wa JF,

Twende moja kwa moja kwenye mada, miaka miwili nilikua mkoa X ambapo katika ujana nikapata mtoto wa kiume nilivyohama mkoa X na kuja mkoa Y...nikabaki kulea mtoto wangu aliyeko mkoa X.

Hilo sio tatizo wala sio lengo la uzi huu, miezi mitatu imepita nimeangukia kwa single mother katika mkoa Y na nashindwa kujichomoa kabisaaa na kila nikisoma thread za single mothers humu jamvini naishiwa nguvu ila huyu single mother yupo poa na inaonekana alipata pregnant kwa bahati mbaya...na ananipenda snaaa...

Ushauri, nimchukue single mother wa mkoa Y au ni bora nikomae na mwenzangu wa mkoa X japo kuna vitu anamiss kwa matumizi ya mke.

Ukiona niwamwage wote njoo PM..kwa KE only.


Karibuni sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kuoa single mother
1. Usisikie maneno ya watu

2. Usiwape nafasi ndugu, jamaa na marafiki wengi kwenye mahusiano yenu.

3. Uwe tayari kuvumilia maneno kutoka kwa watu waliotajwa hapo namba 2.

4. Fuata moyo wako na utathmini anavyokupenda mwenzako tu ili litakalotokea mbeleni liwe juu yako tu.
(a) Atakapokuwa mke mwema, waabike waliombeza na kukubeza pia.
(b) Atakapozingu au kujichanganya au kupasha kipolo, ujutie mwenyewe kwa stress.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
olym Mwanamke bora ni yule mwenye sifa za kuwa mke na mwanaume bora ni yule anayejiamini kwamba ana uwezo wa kummiliki mwanamke bora, akimuongoza katika njia sahihi, akimpenda, akimlinda akimtunza.
Siku hizi wanaume wengi wanaogopa wanawake, kuna wanaosema wanawake wamekua wasumbufu na bora wasioe kabisa na wapo wanaowaogopa wanaowaita single mothers kwa kuwa hawajiamini kama wanaweza kuwa bora kwao kuliko wale waliozaa nao, kuna wanaoogopa wanawake wenye kazi, kuna wanaoogopa wanawake wasomi n.k. huku wakisahau kwamba kwa asili ya uumbaji, imani na mila na desturi mwanaume yoyote makini mwenye akili hawezi kushindwa mwanamke.
Mliambiwa muishi na sisi kwa akili sasa ndio wakati wa kuanza kutumia akili yako kufanya maamuzi sahihi kuanzia kuchagua mke sahihi na kuishi nae
 
Ukitaka kuoa single mother
1. Usisikie maneno ya watu

2. Usiwape nafasi ndugu, jamaa na marafiki wengi kwenye mahusiano yenu.

3. Uwe tayari kuvumilia maneno kutoka kwa watu waliotajwa hapo namba 2.

4. Fuata moyo wako na utathmini anavyokupenda mwenzako tu ili litakalotokea mbeleni liwe juu yako tu.
(a) Atakapokuwa mke mwema, waabike waliombeza na kukubeza pia.
(b) Atakapozingu au kujichanganya au kupasha kipolo, ujutie mwenyewe kwa stress.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu SK2016 heshma yako
Ushauri wa kiume huu
 
Kiwanja chenye mgogoro[emoji3][emoji3].
Jenga tu mkuu,

Sasa hivi hajaolewa baba wa mtoto katulia, akisikia tu kaolewa anaanza.
[emoji23][emoji23]dah! Kuna wakati nilimpata dada mmoja "single mother "

Washkaji wakajua kama niko naye kwenye love.
Dah! Sikuamini yaani! Kila mtu alikuwa anatoa hoja yake na jina lake!
1. Single mother !
2. Kiwanja chenye migogoro!
3. Kwamba nanunua soda dukani iliyokwishfunguliwa!
4. Nanunua gazeti jioni!
5. Na mengine mengi.
Yaani kila mtu anatoa jina na kulitetea point yake. Nilibaki Naendelea naye kiroho ngumu sana.

Uzuri wa bahati dada alipata kazi mkoa mwingine na mawasiliano yakafubaa!

Kuanzia hapo, niliapa kutowaambia watu endapo nitapata mchumba ambaye ni single mother . Nitafanya uchunguzi wangu mwenyewe tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
olym Mwanamke bora ni yule mwenye sifa za kuwa mke na mwanaume bora ni yule anayejiamini kwamba ana uwezo wa kummiliki mwanamke bora, akimuongoza katika njia sahihi, akimpenda, akimlinda akimtunza.
Siku hizi wanaume wengi wanaogopa wanawake, kuna wanaosema wanawake wamekua wasumbufu na bora wasioe kabisa na wapo wanaowaogopa wanaowaita single mothers kwa kuwa hawajiamini kama wanaweza kuwa bora kwao kuliko wale waliozaa nao, kuna wanaoogopa wanawake wenye kazi, kuna wanaoogopa wanawake wasomi n.k. huku wakisahau kwamba kwa asili ya uumbaji, imani na mila na desturi mwanaume yoyote makini mwenye akili hawezi kushindwa mwanamke.
Mliambiwa muishi na sisi kwa akili sasa ndio wakati wa kuanza kutumia akili yako kufanya maamuzi sahihi kuanzia kuchagua mke sahihi na kuishi nae
Umeandika vizuri, maneno ni mazuri, utekelezaji sasa ndo shughuli. Kuna wanawake hata ungejifanya kidume wa namna gani bado wao vichomi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ya single mothers wengi wanakua wadhaifu kwa wazazi wenzao ila ushauri wako ni mzuri sanA
olym Mwanamke bora ni yule mwenye sifa za kuwa mke na mwanaume bora ni yule anayejiamini kwamba ana uwezo wa kummiliki mwanamke bora, akimuongoza katika njia sahihi, akimpenda, akimlinda akimtunza.
Siku hizi wanaume wengi wanaogopa wanawake, kuna wanaosema wanawake wamekua wasumbufu na bora wasioe kabisa na wapo wanaowaogopa wanaowaita single mothers kwa kuwa hawajiamini kama wanaweza kuwa bora kwao kuliko wale waliozaa nao, kuna wanaoogopa wanawake wenye kazi, kuna wanaoogopa wanawake wasomi n.k. huku wakisahau kwamba kwa asili ya uumbaji, imani na mila na desturi mwanaume yoyote makini mwenye akili hawezi kushindwa mwanamke.
Mliambiwa muishi na sisi kwa akili sasa ndio wakati wa kuanza kutumia akili yako kufanya maamuzi sahihi kuanzia kuchagua mke sahihi na kuishi nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
olym Mwanamke bora ni yule mwenye sifa za kuwa mke na mwanaume bora ni yule anayejiamini kwamba ana uwezo wa kummiliki mwanamke bora, akimuongoza katika njia sahihi, akimpenda, akimlinda akimtunza.
Siku hizi wanaume wengi wanaogopa wanawake, kuna wanaosema wanawake wamekua wasumbufu na bora wasioe kabisa na wapo wanaowaogopa wanaowaita single mothers kwa kuwa hawajiamini kama wanaweza kuwa bora kwao kuliko wale waliozaa nao, kuna wanaoogopa wanawake wenye kazi, kuna wanaoogopa wanawake wasomi n.k. huku wakisahau kwamba kwa asili ya uumbaji, imani na mila na desturi mwanaume yoyote makini mwenye akili hawezi kushindwa mwanamke.
Mliambiwa muishi na sisi kwa akili sasa ndio wakati wa kuanza kutumia akili yako kufanya maamuzi sahihi kuanzia kuchagua mke sahihi na kuishi nae
Maturity lines, hongera Mama D. no comments kabisa.
 
Back
Top Bottom