Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mkulima atakae andamana la kumkuta limkute - tunaungana na Serikali, vyombo vya ulinzi, wanaccm, wanacuf, wanact, kulaani maandamano ya CDM.

Samia yupo kikatiba na siku akitoka atatoka kikatiba.
 
Ukweli usiopingika, sisi Wakulima tunataka kabla ya maandamano taasisi yoyote ione kwanza umuhimu wa mazungumzo ya mezani - tunao viongozi wa dini, mabalozi, taasisi za elimu ya juu, mashirika nk nk

Sasa hao watumiwe kusaka suluhu pale penye utata. WAKULIMA KUANDAMANA HAPANA - FARMERS WILL NOT INVOLVE IN ANY WA
Huna akili , rudi shule kwanza ujifunze namna ya kuandika English inayoeleweka , kilaza kama wewe unaandika
" Farmers will not involve in any way "
Ujinga na upumbavu ulionao ni mzigo
 
Umoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.

Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.

Soma Pia:
Sisi Shirikisho la wauza Chips na Mama Lishe tutashiriki kikamilifu.
 
Huna akili , rudi shule kwanza ujifunze namna ya kuandika English inayoeleweka , kilaza kama wewe unaandika
" Farmers will not involve in any way "
Ujinga na upumbavu ulionao ni mzigo
Majina ya mazao siyakosei - huna adabu kutukana kiongozi wa Wakulima
 
Umoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.

Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.

Soma Pia:
Nyanoko,hata uelewi maandamano yalikuwa na lengo gani.
 
Umoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.

Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.

Soma Pia:
Wee ulisikia wapi mshika jembe akawa na akili pumbafuu
 
1. Connection na huko alipozaa ni ya kudumu. Jiandae kupata makandokando.
2. Hawezi kukupa mamlaka juu ya kitoto chake. Yani anaweka barrier.
3. Unarithi stress alizopigwa huko na hao ma ex.
4. Unakula kiporo.
5. Utalinganishwa na ma baby daddy.
6. Utasaidiwa.
7. Ni kujishusha standard. Mwanamke ni yule wewe uliomfunga uzazi. Wapo wengi sana hawana vipengele.
8. Unakula kiporo kinachotaka kuchacha.
9. Moyo wake una wapangaji wengi.
10. NI TAKATAKA.
 
 
Kuna tofauti kubwa sana ya mtoto anayelelewa na MAMA, au single mother, zingatia neno MAMA hata Kama hana mume anabaki kuwa MAMA, Ila si hawa wadangaji wanaojiita single mother!
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.

Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", bnafasi naziita vitiuo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwjaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine hao watoto wa singo maza na singo faza, tunawaona wakilelewa na walezi wengine kabisa ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachsababisha u singo maza? Majibu ya ngu m inafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu wao wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema 'nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tru.

Kuna kesi mbili ratru nazifajamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyoie watiti wa singi maza msiwajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babak" mjuwa baba zeu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uoingi mtupu. Huyo baba au mama isibaki hata picha au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
Kwa sababu hawana bikira hawajitunzi
 
Back
Top Bottom