laptop90
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,829
- 2,294
[emoji1][emoji16][emoji1][emoji16]ni story ndefu sana mno.Mkuu tupe story kidogo
Nimekua nao mda mrefu sana.
Inahitaji muda wa kutosha kuandika habari zao humu.
Mwakipande ndo mtaalamu wao alowafundisha hayo mambo.
Mwandulami ni mmojawapo wa watu hatari(sasa marehemu pia) hao wamewawezesha sana wakinga na wengineo kuwa matajiri.
Nitarudi tena.........