Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

Mbona steve nyerere anamtosha lisu. Alitoa statement moja laisu akakimbia ndumi mpaka leo lisu hajajibu hoja za steve nyerere. Lisu mna mu overrate tu hana analojua
We ulitaka lisu ahibishane na steve huko si kujishushia heshima

Ova
 
We ulitaka lisu ahibishane na steve huko si kujishushia heshima

Ova
Lisu ana heshima gani zaodi ya ku overarte tu ten achadema tu. Sisi huku ground tunamuona hana akili na hana busara yoyote
 
Lisu ana heshima gani zaodi ya ku overarte tu ten achadema tu. Sisi huku ground tunamuona hana akili na hana busara yoyote
Sasa steve naye nyie ndy think mnamuona 😄
Acha kuchekesha watu bana

Ova
 
Sasa steve naye nyie ndy think mnamuona 😄
Acha kuchekesha watu bana

Ova
Shida nyie mnamtukuza anayejisema sema jukwaani. Kuna watu hawajisemi lakini ni moto wa kuote mbali. Sasa lisu kwa mfano utamfananisha na kabudi kwa sheria
 
Shida nyie mnamtukuza anayejisema sema jukwaani. Kuna watu hawajisemi lakini ni moto wa kuote mbali. Sasa lisu kwa mfano utamfananisha na kabudi kwa sheria
😄 kwanza nmecheka tu ulivyomuweka steve kuwa ni think tank huko
Ukishajuwa watu,ukishajuwa vitu
Unakutana na watu wengi ,yaani hutababaishwa na kitu

Ova
 
Shida nyie mnamtukuza anayejisema sema jukwaani. Kuna watu hawajisemi lakini ni moto wa kuote mbali. Sasa lisu kwa mfano utamfananisha na kabudi kwa sheria
Kabudi sema hana msimamo
Kabudi alikuwa yule wakati wa jukwaa la katiba,syo sasa

Ova
 
Watanzania sisi ni wajuaji sana mfano ni huyo mtoa mada.
 
😂😂😂 Hapo sasa nilicheki hao jamaa walikuwa wanaunda oil tanker wakishirikiana na Maersk ni u serious wa hali ya juu. Huku locomotives zimenunuliwa 2022 tu ila hadi sasa hoi na ndiyo hawaundi yani kuzi repair tu kipengele.
 
Umeelezea vizuri sana ila nikupongeze kitu ulichohitimisha ndiyo mimi wasiwasi wangu huwa hapo tu u serious.
 
Amini uchawi upo
 
Unajuwa kikao cha nini hicho?
 
Hayo yote zimesababishwa na mfumo kristo, umewanyima Waislam elimu ukidhani kuwa umewaweza kumbe mbora wa wapangaji ni Allah. Amewafanya Waislam kuwa wafanya biashara. Na elimu yako lazima ukawapigie magoti wakuajiri.

Mwenyezi Mungu hana hiyana.
Una "utumwa" kwenye kichwa chako,ndio maana unaona fahari binadamu "kupigiwa goti" ili aajiriwe.
"Uarabu" wako leo umeudhihirisha hadharani peupe jukwaani JF.
 
Una "utumwa" kwenye kichwa chako,ndio maana unaona fahari binadamu "kupigiwa goti" ili aajiriwe.
"Uarabu" wako leo umeudhihirisha hadharani peupe jukwaani JF.
Kama huelewi Kiswahili ni tatizo lako siyo langu.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Umetoa ufafanuzi mzuri sana, mimi nimekuelewa b... Asante sana.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…