Wakristo (baadhi) acheni Ulalamishi kuhusiana na Jersey za Yanga

Wakristo (baadhi) acheni Ulalamishi kuhusiana na Jersey za Yanga

Kwan ni uongo yanga na simba wamejaa Muslims, anzia akina gsm wote( hersi saidi, hasan bumbul, manara, omar,n.k)njoo, moo( try again, Barbara, Ahmed ali,kassim, rabi Hume,babchicharito,asha baraka n.k)
Ww sh*ga nn.
 
Nikweli kabisa nyuma ya haya mambo wapo WAISIHARAMU ambao wafanya juu chini kutuchafuria taifa kuna tofauti baina ya MUISIHARAMU NA MUISLAMU


Muisiharamu yupoje??!!
 
Nmekuta baadhi ya Wakristo wanalalamika kuwa inaonekana jersey za Yanga ni kwa baadhi ya Waumini wa Dini nyingine.

Maana upo unaosemakena kuwa ni Msikitiki wa Idrissa. Ila hakuna jengo lolote la Kanisa. Na hapa wanataka kuzungumzia Udini. Kuwa Yanga basi ina waumini wote wa Kiislamu maana kama mpaka mnara wa Askari upo ,msikiti upo. Why iwe ngumu kuweka Kanisa?

Anyway....mimi nadhani ni kuepuka tu hizi imani kuingia kwenye clubs maana mwisho wake hautakuwa mzuri. Nashauri sana haya mambo wakae wayamalize viongozi. Hatutaki Migogoro isiyo na msingi.
Stupid thread.
 
Wewe ni miongoni mwa wajinga, ukijielimisha kidogo utakaa sawa.

Wakristo wanapambana usiku na mchana kuurithi Ufalme wa Mbingu.

Leo tumekesha kwa Kiongozi Mwamposa kuusaka huo ufalme

We unahangaika na timu za mpira
Inaonekana hadi sasa hata hufahamu bado nani ni Wakristo.
Umekunywa maji ya upako?
 
Nmekuta baadhi ya Wakristo wanalalamika kuwa inaonekana jersey za Yanga ni kwa baadhi ya Waumini wa Dini nyingine.

Maana upo unaosemakena kuwa ni Msikitiki wa Idrissa. Ila hakuna jengo lolote la Kanisa. Na hapa wanataka kuzungumzia Udini. Kuwa Yanga basi ina waumini wote wa Kiislamu maana kama mpaka mnara wa Askari upo ,msikiti upo. Why iwe ngumu kuweka Kanisa?

Anyway....mimi nadhani ni kuepuka tu hizi imani kuingia kwenye clubs maana mwisho wake hautakuwa mzuri. Nashauri sana haya mambo wakae wayamalize viongozi. Hatutaki Migogoro isiyo na msingi.
Umetumwa na demigod kuja kuhalalisha jezi lenu la Sensa na Makazi siyo
 
Ila kutoka pale kwenye lisanamu la askari mpaka martin luther king sio mbali lakini naona hapajatokea kwenye jezi. Ajabu mpaka mtaa wa makunganya ambayo ipo mbali naiona hapa.

Msichukulie siriasi, ni genge linafurahishwa.
 
[emoji23][emoji23]Kwani kile si ni chama cha siasa chenye marengo wa kidini ..
Screenshot_20220730-075541_Instagram.jpg
 
too be honest, hizi timu mbili kubwa za kariakoo, waasisi wake ni watu wa pwani ambao ni waislamu.

sishangai kama yanga watakuwa wameweka alama ya dini ya kiislamu kwenye jezi yao.

Kwa mantiki hii wakristo wamislimishwa bila kujua!! Kuanzia sasa nahama yanga acha wabakie waislam waendeleze udini wao!!
 
Nmekuta baadhi ya Wakristo wanalalamika kuwa inaonekana jersey za Yanga ni kwa baadhi ya Waumini wa Dini nyingine.

Maana upo unaosemakena kuwa ni Msikitiki wa Idrissa. Ila hakuna jengo lolote la Kanisa. Na hapa wanataka kuzungumzia Udini. Kuwa Yanga basi ina waumini wote wa Kiislamu maana kama mpaka mnara wa Askari upo ,msikiti upo. Why iwe ngumu kuweka Kanisa?

Anyway....mimi nadhani ni kuepuka tu hizi imani kuingia kwenye clubs maana mwisho wake hautakuwa mzuri. Nashauri sana haya mambo wakae wayamalize viongozi. Hatutaki Migogoro isiyo na msingi.
Jamaa una akili wewe😂😂😂. Jezi imekosa kanisa tu ila kila kitu kipo hadi SGR
 
...Kichwa habari umesema ' Wakristo walalamikia...wakati Aya kwanza ya bandiko lako Umeanza na ' Baadhi ya Wakristo.. '
Usichanganye Mambo. Baadhi ya Wakristo hauwezi ikawa Dini Nzima....!!
Ungemjibu tu msikiti upo kweli au haupo. Na Kama upo umefuata Nini kwenye jezi za yanga? Je yanga ni timu ya kidini ?
 
Nashangaa ...Wakristo hawana huo upuuzi
Kwa sababu huna dini ndio maana hujui madhara ya udini. Unafikiri wangefanikiwa kuanzisha mahakama ya kadhi kipindi like wewe isingekugusa. Unawajua hao unaowatetea Wana malengo gani na hii nchi?.
 
Back
Top Bottom