Wakristo huko Syria wana hali mbaya sana! Ulimwengu umekaa kimya

Ndiyo ulivyofundishwa na imamu wako siyo?
 
Umemjibu vizuri saana,tatizo kondoo ni ngumu kutafakari
 
Mnapenda kuwasingizia Wazungu... Watu Mashariki ya Kati wameanza kupigana kabla ya Uislam, baada ya Mtume kufa ugomvi mkubwa ukazuka... Popote pale ukiona kuna ndoa za Ndugu (cousins marriage) Jua hiyo ni Jamii ya kibaguzi na roho mbaya
Umeongea mengi tena yasiyohusiana chochote, zaid tu kwa msomaji makini inatosha kuelewa hisia zako juu ya Uislamu. Historia gani inayokuambia mashariki ya kati wameanza kupigana kabla ya Uislamu (naamini umemaanisha kabla ya kuja mtume Muhammad SAW).

Kuzuka kwa ugomvi baada ya kufa mtume ndo ushahidi wako? ...

Jamii kuruhusu cousins kuoana ndo sifa ya ubaguzi? ... Je unaufahamu uhusiano wa Joseph na Marry (mama wa Yesu) ... Moses na Zippora, Abraham na Sarah, Isack na Rebeca, Jacob na Rachel .... and the list goes on! au mwenzetu unayo amri uliyopea kwa Mungu kuwa sasa hii imekuwa dhambi?
 
Matatizo yaliyopo Syria ni zaidi ya matatizo ya Kidini

BTW walioshangilia Israel kuwapa silaha vibaka kumuondoa Assad ndio wanalia lia hapa vibaka hao kwa msaada wa Israel kuwashambulia wafiasi wa Assad
 
Sema mimi sijaona alieuliwa kwenye hiyo clip naona tu wakipiga risasi juu
 
Ushahidi wa kuuliwa watu haujatimia hao wanapiga risasi juu mbona
 
Hayo ndo matendo ya Allah na mtume wake Muhammad?
 
Chuki ya wakiristo dhidi ya waislam ni kubwa sana hawa watu wangekuwa na uwezo wangesambaratisha waislam wote duniani ni vile hawana uwezo huo
Sasa mbona unaongea kinyume ndugu? Dooh! Kweli nazidi kuamini heri ukose vyote lakini sio maarifa
 
Sasa mbona unaongea kinyume ndugu? Dooh! Kweli nazidi kuamini heri ukose vyote lakini sio maarifa
Wewe umeona kwenye hiyo clip mtu akipigwa risasi?

Je hao aliowaita "wakiristo wanauliwa" umeona alievaa msalaba hapo?

Hayo makundi ya kiasi yanauwa yeyote aliehusika kuwakandamiza enzi za Assad iweje kuwatarget waislam kuwa wanaua wakiristo? Chuki! Chuki! Chuki! Dhidi ya uislam
 
Umeongea vyema, hizo ni untold stories sadly wakristo tumejazwa chuki tuu

bbc hawajasema wakristu na stori inasema wao ndo walianza shambulia kituo cha polisi cha serikali huko kaskazin mwa Syria na waliua makumi ya askari , je ulitaka wapongezwe kwa hili ?

ACHA UDINI
BBC ndiyo baba yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…