stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Na Washia walikuwa wanawaua Wassuni wakati wa Assad, in Short Waarabu na makabila yote ya middle east wamefitinika, will never know peaceAnyway huko Syria wanaouawa ni pamoja na mashia, moderate islamists, Christians, na wasio na dini kabisa
Soma tenakwan dunia imeanza mwaka 1914? vita vya Muhamad kuua watu wengine umevisahau , kaja mpk Afrika kateka na kuua sana
Ndiyo ulivyofundishwa na imamu wako siyo?Bila Mohammed Musa Alkhawarizm,kugundua Algebra,ambayoinasomwa kila siku mashuleni duniani,dunia ingekuwa gizani.Kila unachokiona,binadamu katengeza,kinatokana na information technology,na IT,inatokana na Algebra,na Algebra ni Mohammed Musa Alkhawarizim,mvaa kobaz.
Wanauana wanamsahau anayewafitinishaNa Washia walikuwa wanawaua Wassuni wakati wa Assad, in Short Waarabu na makabila yote ya middle east wamefitinika, will never know peace
Umemjibu vizuri saana,tatizo kondoo ni ngumu kutafakariSio Waislam walioanzisha vita kuu mbili za dunia, hizo nchi zote za kiislam ulizozitaja ukizijumlisha idadi ya watu waliouawa katika hizo vita zao hazifikii idadi ya waliokufa kutokana na vita kuu za dunia ambazo hazikuanzishwa na Waislam.
Sio Waislam waliochinja mayahudi milioni 6 wala sio Waislam waliotumia mabomu ya nyuklia (zote hizo ni vita kuu ya pili ya dunia), mabomu ya nyuklia yametumika mara mbili tu na waliotumia sio Waislam.
Sio dola za Waislam zilizoua mamilioni huko Korea na Vietnam.
Sio Waislam wanaoongoza na kuanzisha magenge ya kuuza madawa ya kulevya huko Latin America (drug cartels na narco-terrorism) magenge ya uhalifu na ya madawa ya kulevya ya Latin America yanafanya ukatili na unyama ISIS/Daesh hawaoni ndani.
Sio nchi za Kiislam zinaongoza kwa gun violence. Wala rape.
Hata baadhi ya nchi ulizotaja kama Afghanistan na Iraq unaelewa zilichafuka kwa sababu gani.
Wanaoichochea Congo izidi kuwaka moto nadhani unawajua.
Sio Waislam walioanzisha genocide Cambodia wala Rwanda.
King Leopold wa pili ambaye utawala wake uliua mamilioni Congo, hakuwa Muislam.
Sio Waislam walioua nakufanya genocide dhidi ya native Americans.
Nadhani unajua kuwa mpaka karne ya 20, nchi za Ulaya zilikuwa zinapigana vita zisizo na kichwa wala miguu. Kama Hundred Years' War, The Thirty Years' War, The Seven Years' War na kadhalika
Stalin, Mao Ze Dong, Polpot, Lenin, Trotsky hawakuwa waislam (walikuwa atheists). Kusanya watu wote unaodhani waliuawa na Waislam hawafikii idadi ya waliouawa chini ya hao.
Nadhani unajua ni nani aliwafuata Waislam Palestina, sio Waislam ni mayahudi wazungu kutoka Ulaya ambao sio Waislam, ambao ironically walikimbilia Mashariki ya Kati kukimbia mateso ya "ndugu" zao ambao pia sio Waislam. Na sasa unaona wanachowafanyia ndugu zetu huko Palestine (Allah awanusuru ndugu zetu wanaoteseka Palestina na kwengine kote Duniani).
Ukristo unahubiri upendo wa Crusades? Genocide dhidi ya wenyeji Marekani? Kuwaua wenyeji Canada, Australia na New Zealand na kuwapokonya ardhi zao?
Sio Waislam walioanzisha Apartheid Regime Afrika Kusini.
Struggles dhidi ya Ukoloni zilizomwaga damu huko Zimbabwe, Angola, Namibia, Msumbiji na Afrika Kusini hazikuwa struggle za kupambana na Waislam. Zilikuwa za kupambana na dhulma za wasio Waislam.
Ooh! Nilitaka kuisahau Ukraine!
Na kadhalika na kadhalika.
.↙️NIMEONA ULIPITA KIMYA KIMYA NIKAONA NI COPY NA KU-PASTE ILI UTULIZE KICHWA USOME
Umeongea mengi tena yasiyohusiana chochote, zaid tu kwa msomaji makini inatosha kuelewa hisia zako juu ya Uislamu. Historia gani inayokuambia mashariki ya kati wameanza kupigana kabla ya Uislamu (naamini umemaanisha kabla ya kuja mtume Muhammad SAW).Mnapenda kuwasingizia Wazungu... Watu Mashariki ya Kati wameanza kupigana kabla ya Uislam, baada ya Mtume kufa ugomvi mkubwa ukazuka... Popote pale ukiona kuna ndoa za Ndugu (cousins marriage) Jua hiyo ni Jamii ya kibaguzi na roho mbaya
Hayo ndo matendo ya Allah na mtume wake Muhammad?Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri.
Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa wanaunga utawala wa Assad na wote waliowaita wao MAKAFIRI kufikia leo hii bado sijaona Maandamano kutoka nchi yoyote duniani hata Umoja wa Mataifa hawajasema lolote kwa wahanga hao.
Sasa mbona unaongea kinyume ndugu? Dooh! Kweli nazidi kuamini heri ukose vyote lakini sio maarifaChuki ya wakiristo dhidi ya waislam ni kubwa sana hawa watu wangekuwa na uwezo wangesambaratisha waislam wote duniani ni vile hawana uwezo huo
Wewe umeona kwenye hiyo clip mtu akipigwa risasi?Sasa mbona unaongea kinyume ndugu? Dooh! Kweli nazidi kuamini heri ukose vyote lakini sio maarifa
Umeongea vyema, hizo ni untold stories sadly wakristo tumejazwa chuki tuu
BBC ndiyo baba yako?bbc hawajasema wakristu na stori inasema wao ndo walianza shambulia kituo cha polisi cha serikali huko kaskazin mwa Syria na waliua makumi ya askari , je ulitaka wapongezwe kwa hili ?
ACHA UDINI