Hawafuati Kwa sababu ni sheria za Uongo na hazina uhalisia.
Ndio maana Ukristo unaonekana kama Ukafiri Kwa sababu ya sheria za Uongouongo.
Hakuna kwenye amri za Mungu sheria isemayo ndoa ni mpaka kifo ilhali kuna mlango wa Talaka ikiwa kuna kuhitilafiana
Kama sheria ipi wanaweza kupindisha. Huko kwenye NGO mnazoziita makanisa wanweza kupindisha kila kitu hata wanazo biblia zao fuatilia. Inapokuja suala la ukristu kwanza Kanisa mama Katoliki kisha Lutheran, Anglican, Orthodox na mengine ambayo ni taasisi kimuundo na utendaji.
Hayo mengine mtu anajiamulia yeye na mkewe nini cha kufanya au kusema wanaweza kufanya lolote ila sio hayo makanisa nguli.
Kifungo cha mkeo akifanyi ndoa ife, mpaka kifo cha mmoja wenu.
Wala ugumba au utasa hauwatenganishi.
Kuna sharti moja la msingi sana hata serikalini hutumika. Consumation of marriage. Yaani ile siku ya kufunga ndoa au siku yeyote baada ya kufunga ndoa mlifanya tendo la ndoa.
Kama lilifanyika basi ndoa hiyo ilikamilika na ni halali.
Kama ilivyo kwenye mikataba mingine yeyote inayo vipengele vinavyopelekea uvunjaji wa ndoa vijue kabla ya kufunga ndoa husika.
Pia sio lazima ufunge ndoa kanisani (maana naona unakereka) unaweza kufunga ya kiserikali au hata ya kimila. Huko uvunjaji wake ni rahisi sana kama unataka urahisi kwenye kuvunja ndoa.
By the way, ukifunga ndoa hiku ukiwa na nia ya kuvunja hiyo ndoa itavunjika tu. Ila kama huna motive ya kuivunja utailinda milele na mtakuwa na raha daima.
Pia kuwa na raha daima haina maana hakuna changamoto zitakuwepo zitapita zitawaacha salama, magonjwa yatakuja yatapita, wanyatiaji watakuja watapita na mwisho mtafurahia uzee wenu na mtakuwa na cha kusema kwa wajukuu wenu.
Hivi mkeo anakuaje na kesi ya kufungwa maisha na wewe usihusishwe na kesi hiyo? It gets two to tangle.
Usilete mambo ya sheria hizo za serikali na watu, tuwe strict kwenye sheria za ukristo tu.Kama sheria ipi wanaweza kupindisha. Huko kwenye NGO mnazoziita makanisa wanweza kupindisha kila kitu hata wanazo biblia zao fuatilia. Inapokuja suala la ukristu kwanza Kanisa mama Katoliki kisha Lutheran, Anglican, Orthodox na mengine ambayo ni taasisi kimuundo na utendaji.
Hayo mengine mtu anajiamulia yeye na mkewe nini cha kufanya au kusema wanaweza kufanya lolote ila sio hayo makanisa nguli.
Kifungo cha mkeo akifanyi ndoa ife, mpaka kifo cha mmoja wenu.
Wala ugumba au utasa hauwatenganishi.
Kuna sharti moja la msingi sana hata serikalini hutumika. Consumation of marriage. Yaani ile siku ya kufunga ndoa au siku yeyote baada ya kufunga ndoa mlifanya tendo la ndoa.
Kama lilifanyika basi ndoa hiyo ilikamilika na ni halali.
Kama ilivyo kwenye mikataba mingine yeyote inayo vipengele vinavyopelekea uvunjaji wa ndoa vijue kabla ya kufunga ndoa husika.
Pia sio lazima ufunge ndoa kanisani (maana naona unakereka) unaweza kufunga ya kiserikali au hata ya kimila. Huko uvunjaji wake ni rahisi sana kama unataka urahisi kwenye kuvunja ndoa.
By the way, ukifunga ndoa hiku ukiwa na nia ya kuvunja hiyo ndoa itavunjika tu. Ila kama huna motive ya kuivunja utailinda milele na mtakuwa na raha daima.
Pia kuwa na raha daima haina maana hakuna changamoto zitakuwepo zitapita zitawaacha salama, magonjwa yatakuja yatapita, wanyatiaji watakuja watapita na mwisho mtafurahia uzee wenu na mtakuwa na cha kusema kwa wajukuu wenu.
Hivi mkeo anakuaje na kesi ya kufungwa maisha na wewe usihusishwe na kesi hiyo? It gets two to tangle.
Ila itabidi watu wachunguzane kabla, suala la kuvunja ndoa ni hatari sana haswa kama mna watoto.Ndoa nyingi za kikristo mabinti huwa watiifu kwenye uchumba lakini huyatoa makucha baada ya ndoa maana wanajua wapo sawa na wanaume, mwanaume hawezi kuongeza mke na akithubutu tu anafungwa jela kwa kuvunja sheria na / au mali kupigwa panga pasu kwa pasu.
Mwanamke unakuta alikuwa na nidhamu kabla ila mkiingia kwenye ndoa anaanza kiburi cha wazi wazi na anakunyima tendo la ndoa mwaka mzima, utaweza ?
Huu ni uzembe wa wanaume wanao waoa. Fanya ichunguzi wako vyema acha mahaba kwanza kama kweli unataka mke.Ndoa nyingi za kikristo mabinti huwa watiifu kwenye uchumba lakini huyatoa makucha baada ya ndoa maana wanajua wapo sawa na wanaume, mwanaume hawezi kuongeza mke na akithubutu tu anafungwa jela kwa kuvunja sheria na / au mali kupigwa panga pasu kwa pasu.
Mwanamke unakuta alikuwa na nidhamu kabla ila mkiingia kwenye ndoa anaanza kiburi cha wazi wazi na anakunyima tendo la ndoa mwaka mzima, utaweza ?
Hata ukichunguza hakuna anaeijua kesho,Ila itabidi watu wachunguzane kabla, suala la kuvunja ndoa ni hatari sana haswa kama mna watoto.
Hili suala ni mtihani sana kama mwanamke anafanya kazi ni balaa kabisa.😅😅Hata ukichunguza hakuna anaeijua kesho,
Inatokea paap, Mke wako labda kahamishwa kikazi kwenda Marekani, wewe unabaki hapa bongo na kazi yako.
Anarudi mara 1 kwa mwaka mnaonana kwa wiki 2 tu,
Wewe kama mwanaume hapo ambae ni rijali, huoni pana tatizo.
Ila hua kuna sababu mkuu..itibu hiyo sababuVipi kuhusu mke wako kuanza kukunyima tendo mwaka mzima na viungo vyako vya uzazi kila siku vinajaa
usijibu kama huna nguvu za kiume ama ni shoga
Huwa naona kama ndoa inafungwa na mahakama. Kanisani ni igizo tu.Kuachana kwenye ndoa ni mpaka kifo kiwatenganishe ama moja wenu achepukue,
Nje ya hapo ni dhambi.
Kwanini wakristo hawataki kufuata sheria zao ?
Kama hana hatia mpambanie mkeo atoke mje kula maisha.Usilete mambo ya sheria hizo za serikali na watu, tuwe strict kwenye sheria za ukristo tu.
Unaposhiba ni vema uwajue na wenye njaa, si vema kwasababu ndoa yako imeshiba basi usitilie maanani zenye matatizo.
Ndio maana nimeweka hapa tukio moja wapo kuonyesha udhaifu wa sheria za kikristo kwenye ndoa.
Imetokea mmeoana mkiwa vijana wadogo tu mna miaka 23 alafu mwenzako anafungwa jela kifungo cha maisha, Inabidi ukae bila mke mpaka uzeeni na hata kifo ?
Usidhani wanaokwenda jela wote wana hatia, wengine wanasingiziwa, wengine kubambikiwa, wengine hufanya kosa bila kukusudia, n.k
Au mama anawafitinisha? Ila hata kama...HAKUNA KAMA MAMA... Nakuelewa...kiatu chako kinabana.....mpambanie Mama..mengine 🚮Sababu yake umrudishe mama yako mgonjwa kwao kijijini, hataki awepo
Umeishiwa point huna kingine zaidi ya kuanza kutaja mambo ya vyeti,Kama hana hatia mpambanie mkeo atoke mje kula maisha.
Kabla ya kufunga ndoa uliyajua hayo kwamba ni wako katika shidana raha?
Kama ulijua haya yote kwa nini unalamika sasa.
Njia rahisi jitenge na kanisa kaoe huyo unayemtaka kwa utaratibu mwingine, wa kimila au kiserikali.
Angalizo: kwenye cheti imeandikwa ndoa ya mke mmoja au wake wengi. Basi hata huku serikalini hutafunga ndoa ingine mpaka uivunje ya kwanza.
Pia tambua hata huko serikalini mojawapo ya sharti la kuvunja ndoa lazima pande zote mbili ziridhie kuivunja.
Na ndipo unapokuja kuelewa kwamba sheria za kikristo ni za mdomoni tu hazina ukamilifu katika uhalisia.Au mama anawafitinisha? Ila hata kama...HAKUNA KAMA MAMA... Nakuelewa...kiatu chako kinabana.....mpambanie Mama..mengine 🚮