Wakulima Manyara wamuunga mkono Rais Samia

Rais Samia Suluhu leo yuko ziarani mkoani Manyara na wakulima wilayani Babati mkoani Manyara wameandamana kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapunguzia bei ya mbolea.

Wakijiandaa kumpokea Rais ambaye anaanza ziara mkoani humo leo wamesema walikuwa wakinunua mbolea kwa TZS 150,000 lakini sasa wananunua kwa TZS 70,000 tu.

Sababu kubwa iliyopelekea wananchi wampongeze ni kuongeza bajeti ya Kilimo (2021/22 mpaka 2022/23) kutoka 250b hadi 950b,bajeti ya ugani kutoka 603m hadi 15b, uzalishaji mbegu kutoka 10.53 hadi 43.03b, umwagiliaji kutoka 46.5 -lhadi361.5b

Ninaona wakulima wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia Suluhu maana amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo, sasa mbolea wananunua kwa nusu bei, mama amefanikisha masoko ya mazao ya uhakika pia wakulima wanauza mazao kwa bei nzuri ukilinganisha na awali

pia Waziri wa kilimo, Mhe. Hussein Bashe anasema matatizo ya kilimo yamekua yakitatuliwa kwa matukio lakini Serikali ya awamu ya sita imeamua kutatua matatizo ya msingi kwa kuwekeza kwa muda mrefu ikiwemo uwekezaji wa mbegu na miradi ya umwagiliaji na ameongeza kua hakuna Mtanzania atakayekufa kwa njaa serikali imetunza chakula cha kutosha

Lengo la serikali ya Rais Samia Suluhu ni kuboresha sekta ya kilimo na maslahi ya wakulima, Sekta ya kilimo imeimarika chini ya Rais Samia Suluhu
Hayo mabango waliprinti wapi hapo kijijini! Siku zote uongo ufanane na ukweli, pia ni lini walifanya na kupata kibali cha kuandamana ili wampongeze mama! CCM uongo wa kizamani ulipitwa na wakati kwani huamsaidii mtu.
 
Lengo la serikali ya Rais Samia Suluhu ni kuboresha sekta ya kilimo na maslahi ya wakulima, Sekta ya kilimo imeimarika chini ya Rais Samia Suluhu
Kwanza naunga mkono hoja, ni halali kufanya maandamano yoyoye ya kupongeza na hii sio kwa Samia tuu, hata enzi za JPM angalia hawa TPSF walifanya nini!, Uchaguzi 2020 - Kama TPSF ni wakweli, then, JPM, CCM itashinda ushindi wa kishindo cha ajabu! But for National Unity, TL ateuliwe Ubunge kuwafariji his sympathizers?
P
 
Wakulima lazima tumtie moyo Rais wetu
Bei ya mbolea kwenye soko la Dunia ni kubwa kiasi kwqnba bila ruzuku wakulima wasingeweza kulama mfano DAP $1019 per ton na ikiwa CIF Dar es sa $1215 equivalent to 140 nani mkulima.angeweza

Muwe mnampa HEKO mtu akifanya vyema
Wazarendo wa kweri tunamuunga mkono Bashiru, nyie endelezeni tu sanaa na hadaa zenu.
 
Hayo mabango waliprinti wapi hapo kijijini! Siku zote uongo ufanane na ukweli, pia ni lini walifanya na kupata kibali cha kuandamana ili wampongeze mama! CCM uongo wa kizamani ulipitwa na wakati kwani huamsaidii mtu.
Hayo yameprintiwa Mbweni mkuu.
 

Rais Samia Suluhu leo yuko ziarani mkoani Manyara na wakulima wilayani Babati mkoani Manyara wameandamana kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapunguzia bei ya mbolea.

Wakijiandaa kumpokea Rais ambaye anaanza ziara mkoani humo leo wamesema walikuwa wakinunua mbolea kwa TZS 150,000 lakini sasa wananunua kwa TZS 70,000 tu.

Sababu kubwa iliyopelekea wananchi wampongeze ni kuongeza bajeti ya Kilimo (2021/22 mpaka 2022/23) kutoka 250b hadi 950b,bajeti ya ugani kutoka 603m hadi 15b, uzalishaji mbegu kutoka 10.53 hadi 43.03b, umwagiliaji kutoka 46.5 -lhadi361.5b

Ninaona wakulima wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia Suluhu maana amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo, sasa mbolea wananunua kwa nusu bei, mama amefanikisha masoko ya mazao ya uhakika pia wakulima wanauza mazao kwa bei nzuri ukilinganisha na awali

pia Waziri wa kilimo, Mhe. Hussein Bashe anasema matatizo ya kilimo yamekua yakitatuliwa kwa matukio lakini Serikali ya awamu ya sita imeamua kutatua matatizo ya msingi kwa kuwekeza kwa muda mrefu ikiwemo uwekezaji wa mbegu na miradi ya umwagiliaji na ameongeza kua hakuna Mtanzania atakayekufa kwa njaa serikali imetunza chakula cha kutosha

Lengo la serikali ya Rais Samia Suluhu ni kuboresha sekta ya kilimo na maslahi ya wakulima, Sekta ya kilimo imeimarika chini ya Rais Samia Suluhu
Team roho mbaya a.k.a Mwendazakw leo watalala na viatu.

Wale wakulima wa Bashiru🤣🤣🤣🤣
 
Kmmk hii nchi vichekesho haviishi yaani hii yote ni kumjibu bashiru Ili wamlizishe madam president
,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣
 
Hili lote ni picha linalotengenezwa, ili uonekane Dkt Bashiru hana maana.

DKT BASHIRU, SONGA MBELE

Ni kawaida, Ukweli Mmoja, hupigwa na Mauongo zaidi ya buku.

Walakini, ukweli ni ukweli, na hushinda.

Tunakupenda na tunakuamini Dkt Bashiru, endelea kusimamia Falsafa zako na uwasameee wanyonge.


Hao ndo wakulima?
 

Rais Samia Suluhu leo yuko ziarani mkoani Manyara na wakulima wilayani Babati mkoani Manyara wameandamana kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapunguzia bei ya mbolea.

Wakijiandaa kumpokea Rais ambaye anaanza ziara mkoani humo leo wamesema walikuwa wakinunua mbolea kwa TZS 150,000 lakini sasa wananunua kwa TZS 70,000 tu.

Sababu kubwa iliyopelekea wananchi wampongeze ni kuongeza bajeti ya Kilimo (2021/22 mpaka 2022/23) kutoka 250b hadi 950b,bajeti ya ugani kutoka 603m hadi 15b, uzalishaji mbegu kutoka 10.53 hadi 43.03b, umwagiliaji kutoka 46.5 -lhadi361.5b

Ninaona wakulima wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia Suluhu maana amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo, sasa mbolea wananunua kwa nusu bei, mama amefanikisha masoko ya mazao ya uhakika pia wakulima wanauza mazao kwa bei nzuri ukilinganisha na awali

pia Waziri wa kilimo, Mhe. Hussein Bashe anasema matatizo ya kilimo yamekua yakitatuliwa kwa matukio lakini Serikali ya awamu ya sita imeamua kutatua matatizo ya msingi kwa kuwekeza kwa muda mrefu ikiwemo uwekezaji wa mbegu na miradi ya umwagiliaji na ameongeza kua hakuna Mtanzania atakayekufa kwa njaa serikali imetunza chakula cha kutosha

Lengo la serikali ya Rais Samia Suluhu ni kuboresha sekta ya kilimo na maslahi ya wakulima, Sekta ya kilimo imeimarika chini ya Rais Samia Suluhu
Ukiwaangalia tu unaona wameokotezwa......!
 
1669124362355.png

Hivi kweli hapa kuna wakulima?.
 
Kaka ww n mkulima bei ya mbolea ungeiweza Mzee
UREA CIF Dar es salaam unajua bei yake au unaongea tuu huyu mama mumshukuru sana mngekufa njaa masikini nyie
Kwamba hata mbolea mpaka tuagize ?

Na Pesa ya kununua hio Mbolea mpaka tuombe !!!, Kwa mtaji huu Matonya angekuwa Rais wetu angetufaa sababu inaonyesha qualification za hawa watawala ni kuombaomba na kutegemea vya kuagiza...
 
View attachment 2424194
Hivi kweli hapa kuna wakulima ?.
Yes hao ni wakulima wa kilimo cha kisasa, kilimo biashara, wana pesa!, hawa sio wale wakulima pinda mgongo wa jembe la mkono!.

Utii ni pamoja na kuamini kila unachoambiwa!, hata kama macho yako yanaona zaidi, usiwe doubtful kama Tomaso, ukiambiwa hawa ni wakulima, amini ni wakulima!.
P
 
Back
Top Bottom