Wakulima waapa kumpigania na kumuunga mkono Rais Samia na CCM

Wakulima waapa kumpigania na kumuunga mkono Rais Samia na CCM

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu hiyo ndio kauli ya wakulima. Ndio kauli ya pamoja, Ndio msimamo wa wakulima, Ndio uamuzi wa wakulima, Ndio Hitimisho la wakulima. Wakulima wanasema na kuapa kuwa watamuunga mkono Rais Samia katika uongozi wake wa kuendesha serikali yake ya CCM, wameapa kumpa ushirikiano wa kutosha yeye na serikali yake.

Wakulima wanasema Tangia kupata Uhuru kwa nchi hii kwa Mara ya kwanza mkulima amekuwa na sauti katika soko la mazao, Sasa kilimo Ni Biashara yenye Faida, kilimo Ni ajira ya uhakika, kilimo Sasa Ni Tumaini la wanyonge, kilimo Sasa kinatoa Nuru katikati ya Giza, kilimo Sasa kinawatoa kimasomaso wakulima, kilimo Sasa kinapunguza umaskini wa Kaya mojamoja. Ardhi Sasa imekuwa na thamani, inatoa matumaini kwa yeyote atakaye weka jembe ardhini, inatoa Neema kwa kila atakaye weka mbegu ardhini, inatoa matumaini kwa yeyote mwenye kulishika jembe

Wakulima wanamshukuru Rais Samia kwa namna alivyokikuza na kukipa thamani kilimo, kwa namna alivyomjari mkulima, kwa namna alivyomfungulia milango ya biashara mkulima, kwa namna alivyokipa heshima na kukiheshimisha kilimo na kukipa Thamani. Sasa vijana wanakimbilia katika kilimo,Sasa vijana wanatafuta ardhi ili walime. Sasa vijana wanajitupa katika kilimo ili watoke na kuinuka kiuchumi.

Hapa ndipo wakulima kwa kauli moja wanaposema kuwa Rais Mama Samia Atoshaa, Amekonga nyoyo za wakulima na wao wameamua kumlipa kwa kumuunga mkono na kushirikiana naye. Huwaambii kitu wakulima kwa Sasa juu ya Rais Samia kutokana na namna wanavyompenda na kumkubali, hasa baada ya kutoa mabillioni ya Ruzuku katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei sokoni.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
 
Waulize wakulima wenyewe wasiokuwa na simu janja jinsi wanavyohangaika kupata mbolea ya ruzuku. Wakala yupo mjini km 50, mkulima analala guest siku tatu hamna cha sticker wala mbolea, halafu umwambie siasa za Bashiru na yule mwingine
 
Waulize wakulima wenyewe wasiokuwa na simu janja jinsi wanavyohangaika kupata mbolea ya ruzuku. Wakala yupo mjini km 50, mkulima analala guest siku tatu hamna cha sticker wala mbolea, halafu umwambie siasa za Bashiru na yule mwingine
Mbolea za Ruzuku zinapatikana bila shida katika maduka yaliyopewa kibali Cha kuuza.ambayo yapo maeneo mengi karibu na waliko wakulima
 
Ndugu zangu hiyo ndio kauli ya wakulima,Ndio kauli ya pamoja,Ndio msimamo wa wakulima,Ndio uamuzi wa wakulima, Ndio Hitimisho la wakulima. Wakulima wanasema na kuapa kuwa watamuunga mkono Rais Samia katika uongozi wake wa kuendesha serikali yake ya CCM, wameapa kumpa ushirikiano wa kutosha yeye na serikali yake.

Wakulima wanasema Tangia kupata Uhuru kwa nchi hii kwa Mara ya kwanza mkulima amekuwa na sauti katika soko la mazao, Sasa kilimo Ni Biashara yenye Faida, kilimo Ni ajira ya uhakika,kilimo Sasa Ni Tumaini la wanyonge,kilimo Sasa kinatoa Nuru katikati ya Giza,kilimo Sasa kinawatoa kimasomaso wakulima,kilimo Sasa kinapunguza umaskini wa Kaya mojamoja. Ardhi Sasa imekuwa na thamani,inatoa matumaini kwa yeyote atakaye weka jembe ardhini,inatoa Neema kwa kila atakaye weka mbegu ardhini,inatoa matumaini kwa yeyote mwenye kulishika jembe

Wakulima wanamshukuru Rais Samia kwa namna alivyokikuza na kukipa thamani kilimo,kwa namna alivyomjari mkulima,kwa namna alivyomfungulia milango ya biashara mkulima,kwa namna alivyokipa heshima na kukiheshimisha kilimo na kukipa Thamani. Sasa vijana wanakimbilia katika kilimo,Sasa vijana wanatafuta ardhi ili walime,Sasa vijana wanajitupa katika kilimo ili watoke na kuinuka kiuchumi.

Hapa ndipo wakulima kwa kauli moja wanaposema kuwa Rais Mama Samia Atoshaa,Amekonga nyoyo za wakulima na wao wameamua kumlipa kwa kumuunga mkono na kushirikiana naye. Huwaambii kitu wakulima kwa Sasa juu ya Rais Samia kutokana na namna wanavyompenda na kumkubali,hasa baada ya kutoa mabillioni ya Ruzuku katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei sokoni.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Dogo kwani kuna ugomvi wowote uwao ule, pale mtu wa kariba ya Dkt. Bashiru, anapoona kuna haja ya kutoa maoni yake binafsi juu ya hali ya mambo iliyopo ndani ya chama chake, pasipo kuvunja masharti ya sheria, kanuni na katiba!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waulize wakulima wenyewe wasiokuwa na simu janja jinsi wanavyohangaika kupata mbolea ya ruzuku. Wakala yupo mjini km 50, mkulima analala guest siku tatu hamna cha sticker wala mbolea, halafu umwambie siasa za Bashiru na yule mwingine
Mkuuu ww una akili nyingi sana kuliko hata Bashe mzeee wa mihemko na bashe atafel sana kuhusu hili la mbole
 
Ndugu zangu hiyo ndio kauli ya wakulima,Ndio kauli ya pamoja,Ndio msimamo wa wakulima,Ndio uamuzi wa wakulima, Ndio Hitimisho la wakulima. Wakulima wanasema na kuapa kuwa watamuunga mkono Rais Samia katika uongozi wake wa kuendesha serikali yake ya CCM, wameapa kumpa ushirikiano wa kutosha yeye na serikali yake.

Wakulima wanasema Tangia kupata Uhuru kwa nchi hii kwa Mara ya kwanza mkulima amekuwa na sauti katika soko la mazao, Sasa kilimo Ni Biashara yenye Faida, kilimo Ni ajira ya uhakika,kilimo Sasa Ni Tumaini la wanyonge,kilimo Sasa kinatoa Nuru katikati ya Giza,kilimo Sasa kinawatoa kimasomaso wakulima,kilimo Sasa kinapunguza umaskini wa Kaya mojamoja. Ardhi Sasa imekuwa na thamani,inatoa matumaini kwa yeyote atakaye weka jembe ardhini,inatoa Neema kwa kila atakaye weka mbegu ardhini,inatoa matumaini kwa yeyote mwenye kulishika jembe

Wakulima wanamshukuru Rais Samia kwa namna alivyokikuza na kukipa thamani kilimo,kwa namna alivyomjari mkulima,kwa namna alivyomfungulia milango ya biashara mkulima,kwa namna alivyokipa heshima na kukiheshimisha kilimo na kukipa Thamani. Sasa vijana wanakimbilia katika kilimo,Sasa vijana wanatafuta ardhi ili walime,Sasa vijana wanajitupa katika kilimo ili watoke na kuinuka kiuchumi.

Hapa ndipo wakulima kwa kauli moja wanaposema kuwa Rais Mama Samia Atoshaa,Amekonga nyoyo za wakulima na wao wameamua kumlipa kwa kumuunga mkono na kushirikiana naye. Huwaambii kitu wakulima kwa Sasa juu ya Rais Samia kutokana na namna wanavyompenda na kumkubali,hasa baada ya kutoa mabillioni ya Ruzuku katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei sokoni.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627

Kwahiyo sio vyombo vya dola na tume ya uchaguzi tena?
 
Mbolea za Ruzuku zinapatikana bila shida katika maduka yaliyopewa kibali Cha kuuza.ambayo yapo maeneo mengi karibu na waliko wakulima
Na wale wanao kwenye maduka hayo mpaka umauti unawakuta, anakaa hapo zaidi ya siku mbili ni wakulima wawapi?
 
Sera Bora na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania Ndio mtaji wa CCm kupigiwa kura na kuungwa mkono na watanzania
Mbaya zaidi muda unakupruvu wrong hizi sio zama za 1980 zidumu fikra za mwenyekiti ccm inakufa soon we endekeza uchawa badala ya kufanya kazi kwà akili nguvu na jasho hata Mungu alisema mtakula kwà jasho na sio uchawa. Ole wake amtumainie mwanadamu halafu ulivyo mjinga umeweka namba za simu ili utambulike uitwe utumike na upate manufaa ya vyeo au kiuchumi na hiyo ni rushwa mjinga wewe.
 
Ndugu zangu hiyo ndio kauli ya wakulima,Ndio kauli ya pamoja,Ndio msimamo wa wakulima,Ndio uamuzi wa wakulima, Ndio Hitimisho la wakulima. Wakulima wanasema na kuapa kuwa watamuunga mkono Rais Samia katika uongozi wake wa kuendesha serikali yake ya CCM, wameapa kumpa ushirikiano wa kutosha yeye na serikali yake.

Wakulima wanasema Tangia kupata Uhuru kwa nchi hii kwa Mara ya kwanza mkulima amekuwa na sauti katika soko la mazao, Sasa kilimo Ni Biashara yenye Faida, kilimo Ni ajira ya uhakika,kilimo Sasa Ni Tumaini la wanyonge,kilimo Sasa kinatoa Nuru katikati ya Giza,kilimo Sasa kinawatoa kimasomaso wakulima,kilimo Sasa kinapunguza umaskini wa Kaya mojamoja. Ardhi Sasa imekuwa na thamani,inatoa matumaini kwa yeyote atakaye weka jembe ardhini,inatoa Neema kwa kila atakaye weka mbegu ardhini,inatoa matumaini kwa yeyote mwenye kulishika jembe

Wakulima wanamshukuru Rais Samia kwa namna alivyokikuza na kukipa thamani kilimo,kwa namna alivyomjari mkulima,kwa namna alivyomfungulia milango ya biashara mkulima,kwa namna alivyokipa heshima na kukiheshimisha kilimo na kukipa Thamani. Sasa vijana wanakimbilia katika kilimo,Sasa vijana wanatafuta ardhi ili walime,Sasa vijana wanajitupa katika kilimo ili watoke na kuinuka kiuchumi.

Hapa ndipo wakulima kwa kauli moja wanaposema kuwa Rais Mama Samia Atoshaa,Amekonga nyoyo za wakulima na wao wameamua kumlipa kwa kumuunga mkono na kushirikiana naye. Huwaambii kitu wakulima kwa Sasa juu ya Rais Samia kutokana na namna wanavyompenda na kumkubali,hasa baada ya kutoa mabillioni ya Ruzuku katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei sokoni.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Punguza ushamba braza
 
Mbaya zaidi muda unakupruvu wrong hizi sio zama za 1980 zidumu fikra za mwenyekiti ccm inakufa soon we endekeza uchawa badala ya kufanya kazi kwà akili nguvu na jasho hata Mungu alisema mtakula kwà jasho na sio uchawa. Ole wake amtumainie mwanadamu halafu ulivyo mjinga umeweka namba za simu ili utambulike uitwe utumike na upate manufaa ya vyeo au kiuchumi na hiyo ni rushwa mjinga wewe.
Nani kakwambia Mimi ni chawa
 
Back
Top Bottom