Kwa upelelezi wa kiduanzi wa polisi ya Tanzania, hapa nilazima usagiwe kunguni tu...Hivi kwa mfano kama huyo mtu akawa njiani huko alikula kitu kisichofaa (poison) na safari yake ya mwisho ndio akaja "ghetto " na akarudisha namba. Uchunguzi ukionesha kuna viambata hatarishi mwilini mwake, je hali itakuwaje kwa mwenyeji?
NB: siku hizi watu wanabugia tu vitu hovyo hovyo barabarani, mara madawa ya asili, mara supu+juice na dawa nyinginezo na vinywaji nishati. Vitu hivi ni hatari sana kwa afya na vikimuondoa mtu lazima viache trace tatanishi.
Umenikumbusha polygraphy...Upelelezi utafanyika kujua uhusiano wako na marehemu Kama kulikuwa na ugomvi Kama ulikuwepo basi uwezekano wa kumpa sumu upo. Watakuhoji kwa kina. Yaani hapa kwenye mahojiano ndipo watakata mzizi wa fitina. Wale jamaa Wana ujuzi sana. Kama umehusika watajua tu kwenye majibu yako. Hata kama utakataa watajua unaficha ukweli.
Mbali na mbinu za mbinyo, mtu mwenye hatia akihojiwa huwa hawezi kuficha hisia za hatia. Hata iweje. Binadamu tumeumbwa kusema ukweli, ukisema uongo utajulikana tu.
...na huko Lodge unaandika nickname !mi dem wangu alizimia geto karibu masaa 6 haamki wala hahemi na moyo haudundi...!sitakaa nisahau nilivyopata wenge na akili kuruka.ikabidi niite washkaji na wakaingia geto dem yuko uchi kbs ili tushauriane cha kufanya.mwisho ilikuwa ni kusubiri ifike usiku wa manane tukamtupe.mungu mkubwa alivyopiga chafya tuu nilimbeba mgongoni adi kwao nikamshusha na uhusiano ukaisha.adi leo ikifika kuhusu kudinya nachkua logde room 2 yaani naenda kudinya afu narudi room kwangu.staki ujinga
Utaenda ukanyee debe!Heshima kwenu wakuu.
Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?
Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
Umenikumbusha polygraphy...
Umenikumbusha polygraphy...
Kaburi Moja,Misalaba Miwili Kama Consolatha Na Maria Wale Wa RUCU Iringa!!!Ndo rafiki wa ukweli huyo wa kufa na kuzikana, ...
Mtafute Hussein machozi anauzoefu na hili jamboJe ukikaa na kademu kakafia chumbani halafu nduguze hawakuji inakuwaje hapo?
Ndiyo Ukweli WenyeweUnafungwa jela maisha hadi hapo itakapothibitika huna kosa.
Kwanza Utakwenda Ndani (lock up) utapisha uchunguzi sasa si unajua makarau wa Tz iyo lock up mzee mwaka 1 ss tokeo likitoka kama upo salama bac utakuwa una story za kuadisia mtaani Hicho ndicho kitakacho tokeaHeshima kwenu wakuu.
Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?
Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
Kwanza Utakwenda Ndani (lock up) utapisha uchunguzi sasa si unajua makarau wa Tz iyo lock up mzee mwaka 1 ss tokeo likitoka kama upo salama bac utakuwa una story za kuadisia mtaani Hicho ndicho kitakacho tokeaHeshima kwenu wakuu.
Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?
Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
Una akili Sana wewe jamaa kunywa ka peps cold nakuja lipia.[emoji818][emoji818]
Kwanza Utakwenda Ndani (lock up) utapisha uchunguzi sasa si unajua makarau wa Tz iyo lock up mzee mwaka 1 ss tokeo likitoka kama upo salama bac utakuwa una story za kuadisia mtaani Hicho ndicho kitakacho tokeaHeshima kwenu wakuu.
Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?
Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
Kwanza Utakwenda Ndani (lock up) utapisha uchunguzi sasa si unajua makarau wa Tz iyo lock up mzee mwaka 1 ss tokeo likitoka kama upo salama bac utakuwa una story za kuadisia mtaani Hicho ndicho kitakacho tokeaHeshima kwenu wakuu.
Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?
Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi dem wangu alizimia geto karibu masaa 6 haamki wala hahemi na moyo haudundi...!sitakaa nisahau nilivyopata wenge na akili kuruka.ikabidi niite washkaji na wakaingia geto dem yuko uchi kbs ili tushauriane cha kufanya.mwisho ilikuwa ni kusubiri ifike usiku wa manane tukamtupe.mungu mkubwa alivyopiga chafya tuu nilimbeba mgongoni adi kwao nikamshusha na uhusiano ukaisha.adi leo ikifika kuhusu kudinya nachkua logde room 2 yaani naenda kudinya afu narudi room kwangu.staki ujinga
Hahahah ken bwana huwa unanifurahisha sanaNdiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Huku ulaya kuna watu maalumu wa kudispose hivi vituJe ukikaa na kademu kakafia chumbani halafu nduguze hawakuji inakuwaje hapo?