Wakuu mwenye uelewa na hii fursa nasikia mwisho Feb 28 mwezi huu watu wanakuwa matrilionea

Hamna kaka. Mweupe wewe si wengi wetu tuko vizuri sana na pi. Wewe weka tu, mbona unyama ,weka akiba yako walau nusu na robo siku ya kuvuna tunakua matrilionea. Weka tu mzee. Tuko nawe kiulalo ulalo
Bora kitu usichokijua kuuliza mkuu.
Sio kila kitu ni utapeli.
 
Yani mnatakiwa kujua sio kila kitu utaopeli wazee.

Mbona koin nyingi sana zinakuwa launched watu wanapiga hela sana.

Kuuliza ni kitu kizuri kuliko kuanza kuattack na kusema utapeli.

N hakun sehem yoyote unayofakiwa kuweka hela,airdrop nyingi sana zinatoa hela vizuri sana.
 
nimeshadownload na mie nianze kuzivuna
 
Shida ya Jf watu ni conservative

Nimekula hela ya Ice nangojea na hii
 
Nimepata somo mkuu ndiomaana Ninyi miaka yote mnajua na mnafanya ila mlipga kmya. Hii si sehem salama ya Kuja kuulizia jambo hasa la msingi ukitegemea utapata mwanga na kijifunza jambo
 
Huyo ananunua wapi??pi bado haijaingia sokoni.

So kama ni kununua au kuuza ni kutoka kwa mtu unaemfaham au kumjua tu.
 
Nimepata somo mkuu ndiomaana Ninyi miaka yote mnajua na mnafanya ila mlipga kmya. Hii si sehem salama ya Kuja kuulizia jambo hasa la msingi ukitegemea utapata mwanga na kijifunza jambo
Yani watu wajuaji sana humu.

Hizo pi mimi mpaka sasa zangu zilimigrate,nimeziuza zote nikapiga mpunga.

Now nasubiri hizi zimigrate tule hela.
 
Yani watu wajuaji sana humu.

Hizo pi mimi mpaka sasa zangu zilimigrate,nimeziuza zote nikapiga mpunga.

Now nasubiri hizi zimigrate tule hela.
Uliuzia wapi boss? Kwa mfumo wa P2p? Na uliza bei gan kwa Pai moja
 
Tulia weweee ni amri
 
Online zipo pesa nyingi tu wenye akili hawahitaji hio bidii na nidhamu bali Wana risk na wanatoboa wakiwa wamelala kitandani
Ona kikazi ingine hii...
Hivi wewe unajua kwamba bidii ni lazima mtu akabebe nyundo eeehhhhh...🤔
Wapo hata wadukuaji wanafanya kazi zao wakiwa vyumbani mwao, lakini wanafanya kwa bidii with highly disciple...🤨
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…