Wakuu na wajuzi, Israel (Mossad) imeruhusu vipi Iran kumiliki drones na silaha za kisasa hivi?

Wakuu na wajuzi, Israel (Mossad) imeruhusu vipi Iran kumiliki drones na silaha za kisasa hivi?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Iran ni adui mkuu wa Israel kwa sasa. Na Israel inekuwa ikuhujumu mikakati ya kisiraha hatarishi ya Iran miaka yote.

Ikumbukwe Moja ya sababu kushindwa kutoa mifumo ya Ulinzi Kwa Ukraine, Israel walesema mifumo yao ni Kwa ajili ya magurunet tu ya kawaida haitaweza kupangua makombora ya kisasa ya yanayosumbua huko Ukraine.

JE, taifa la Israel Sasa liko hatarini Kwa uhodari wa Iran?

JE, ni Urusi ndio inatengenezea Drone Iran ili kutengeneza tension Kwa washirika wa US huku zile zake za kisasa imeziweka kibindoni?

JE, Israel bado ina mifumo imara sana, na hizo drone ni chamtoto kwa Ulinzi wa Israel?

Karibuni
 
Mbona karibu wote Huwa wanafyekwa kimyakimya na vijana wakizayuni. Naamini hata haya maandamano kuna mkono wa wazayuni Kwa msaada wa US kama rais wa Iran anavyolalamika.
Mbona kuhusu maandamano Wala sio suala la kuamini, US imeshasema imeweka msukumo wake kwenye jambo Hilo lakini mwisho wa Siku hakuna kitu kitabadilika. Ayattolah Yuko pale pale.

Unajua idadi ya scientist walionao Iran? Hesabu ya kusema karibu wote wanafyekwa umeitoa wapi?
 
Unapoyangalia mataifa haya mawili ya irani na israeli inabidi uyatambue kimuonekano wa ndani bila kusahau muonekano wa nje, kwakuwa wew unayangalia kimuonekano wa nje, kutokana na kila taifa kupiga kwake hatua kubwa za maendeleo kijeshi na kwenye masuala ya sayansi na teknolojia.

Jambo unalotakiwa ujue urusi haitengenezei irani drone bali iran inatumia wanasayansi wake wa ndani, kwakua wew na watu wengi mmebase kwenye msimamo wa kuwa haya mataifa ni maadui na nikweli israeli na irani ndio mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hapo mashariki ya kati.

Lakin hivyo ndio wakubwa wanataka nyie muamini hivyo kimuonekano wa nje kupitia migogoro yao kama israeli kuuwa wanasayansi wa nuclear wa irani na irani kusapoti makundi yenye uadui mkubwa na israeli kama hezbollah na hamasi bila kusahau wanavyotishiana kufutana kwenye ramani ya dunia.

Unachopaswa kujua matunduizi ni kuyatambua mataifa haya kimuonekano wa ndani na hapa ndio siri kubwa ilipo kati ya mataifa haya hivyo nimalizie kusema jitahidi kufanya research ya kutosha wew binafsi maana dunia ni zaidi ya tuijuavyo sie wanadamu.
 
Unapoyangalia mataifa haya mawili ya irani na israeli inabidi uyatambue kimuonekano wa ndani bila kusahau muonekano wa nje, kwakuwa wew unayangalia kimuonekano wa nje, kutokana na kila taifa kupiga kwake hatua kubwa za maendeleo kijeshi na kwenye masuala ya sayansi na teknolojia, jambo unalotakiwa ujue urusi haitengenezei irani drone bali iran inatumia wanasayansi wake wa ndani, kwakua wew na watu wengi mmebase kwenye msimamo wa kuwa haya mataifa ni maadui na nikweli israeli na irani ndio mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hapo mashariki ya kati.

Lakin hivyo ndio wakubwa wanataka nyie muamini hivyo kimuonekano wa nje kupitia migogoro yao kama israeli kuuwa wanasayansi wa nuclear wa irani na irani kusapoti makundi yenye uadui mkubwa na israeli kama hezbollah na hamasi bila kusahau wanavyotishiana kufutana kwenye ramani ya dunia, unachopaswa kujua matunduizi ni kuyatambua mataifa haya kimuonekano wa ndani na hapa ndio siri kubwa ilipo kati ya mataifa haya hivyo nimalizie kusema jitahidi kufanya research ya kutosha wew binafsi maana dunia ni zaidi ya tuijuavyo sie wanadamu.
Braza umeandika maneno mengi sijaelewa chochote
 
Nitajibu swali lako la mwisho.

Israel ndio nchi pekee duniani ambayo ina air defence system 24/7 ziko active. Wale muda wowote unawashtukiza unafyatua kombora na wanalifanyia interception. Ni gharama kubwa za uendeshaji ila wanalazimika maana wana maadui na confrontation yao ni active.

Nchi nyingine kama Marekani na Urusi wao hawana adui kila dakika, mpaka ufikie hatua Urusi awaze Marekani atafyatua kombora hapo kuna mnyukano wa hali ya juu ushatokea na tension kwenye majeshi ishafikia level 3 kwenye readiness. Mfano sasa hivi, sio Russia wala Marekani anayewaza kwamba mwenzie atamrushia kombora usiku huu. Ila Israel muda wote wanaishi kwa mashaka, 'magaidi' wanalipiza kisasi wakipata nafasi.
Hamas au Hezbollah leo wanalala wanajisikia vizuri usiku wanaamua wafyatue maroketi kwa mkupuo kisha watokomee.

Kama Israel ingekuwa na air defence systems mbovu tungeziona kwenye kurushiwa maroketi na Hamas inafeli. Ilifanya interception ya 97% ya maroketi, hapo ni baada ya radar kupima trajectory na kugundua yatadondoka sehemu ya makazi. Kama hayadondoki sehemu hatarishi yaanachwa ila hata hivyo hakuna anayerusha kombora porini labda lipotee njia. Picha ni Iron Dome ikiharibu maroketi anga la Tel Aviv
6C4MS5EX3RGRFELIMLSN6AAHCM.jpg


Kuhusu kupambana na cruise missiles, drones, anti ship missiles na ndege wanayo mifumo kama Barak na Arrow 3 (kuna 2 pia)
HBMDPUFVA5FB7FP4UX5ZP22K7M.jpg


Ballistic missiles wanao mfumo wa David's Sling
stunner_launcher_raytheon.jpg
Mifumo yao ni multi layelled na kila mmoja una kazi tofauti na mwingine.
Hakuna mfumo kamilifu unaofanya kazi zote, ndio maana walioicheka MIM Patriot ya Marekani kushindwa kuzuia suicide drones za Houthi zilizolipua matenki ya mafuta ya Saudi Arabia ndio hao hao walishangazwa na S-300, Pantsir na Tungushka za Urusi kushindwa na drones za Ukraine.

Morocco imeagiza AD system, nimeona na UAE inataka iagize, Finland nayo inachagua mmojawapo ya mifumo miwili ya Israel. India walikuwa na joint project
 
Labda nidokeze. Marekani na Urusi wanategemea early warning radars kujua adui anarusha makombora. Pia wana nuclear deterrence, kwamba utaogopa kunipiga kwa vile hata mimi nina makombora ya nyuklia.

Kwa hiyo hawawazi kirahisi kwamba watafyatuliwa makombora. Wakati Israel huwa inakataa kama ina nukes, jambo ambalo naamini 100% wanazo. Wao maadui zake wana maroketi na conventional warheads kwenye makombora hivyo huwezi wajibu kwa nukes.

Mfano wa early warning radars ni hii Voronezh ya Urusi
1183862.jpg


Ukisia Marekani anasema North Korea kafyatua kombora limeenda speed kadhaa, likakaa angani dakika kadhaa na likadondoka sehemu fulani. Kazi hiyo inafanywa kwa kiasi fulani na early warning radar
 
Mzee maandiko yanasema ipo siku Israel watakuja kupoteana.
Yaani watapigwa wachakae sema bado sana
Sasa hili nalo mpaka maandiko?

Mimi nakupa hii....kila utawala unaouona sasa ipo siku utaanguka.

Sio marekani, sio russia, sio China, sio Iran wala Israel.

Ni kama ugiriki, roman empire, bynzatines, Ottoman, Great Britain, Babylon, Persia, Mali empire nk. Nk. Walivyoanguka.

Kingdoms rise only to fall.
 
Nitajibu swali lako la mwisho.

Israel ndio nchi pekee duniani ambayo ina air defence system 24/7 ziko active. Wale muda wowote unawashtukiza unafyatua kombora na wanalifanyia interception. Ni gharama kubwa za uendeshaji ila wanalazimika maana wana maadui na confrontation yao ni active.

Nchi nyingine kama Marekani na Urusi wao hawana adui kila dakika, mpaka ufikie hatua Urusi awaze Marekani atafyatua kombora hapo kuna mnyukano wa hali ya juu ushatokea na tension kwenye majeshi ishafikia level 3 kwenye readiness. Mfano sasa hivi, sio Russia wala Marekani anayewaza kwamba mwenzie atamrushia kombora usiku huu. Ila Israel muda wote wanaishi kwa mashaka, 'magaidi' wanalipiza kisasi wakipata nafasi.
Hamas au Hezbollah leo wanalala wanajisikia vizuri usiku wanaamua wafyatue maroketi kwa mkupuo kisha watokomee.

Kama Israel ingekuwa na air defence systems mbovu tungeziona kwenye kurushiwa maroketi na Hamas inafeli. Ilifanya interception ya 97% ya maroketi, hapo ni baada ya radar kupima trajectory na kugundua yatadondoka sehemu ya makazi. Kama hayadondoki sehemu hatarishi yaanachwa ila hata hivyo hakuna anayerusha kombora porini labda lipotee njia. Picha ni Iron Dome ikiharibu maroketi anga la Tel AvivView attachment 2389617

Kuhusu kupambana na cruise missiles, drones, anti ship missiles na ndege wanayo mifumo kama Barak na Arrow 3 (kuna 2 pia)View attachment 2389616

Ballistic missiles wanao mfumo wa David's SlingView attachment 2389615Mifumo yao ni multi layelled na kila mmoja una kazi tofauti na mwingine.
Hakuna mfumo kamilifu unaofanya kazi zote, ndio maana walioicheka MIM Patriot ya Marekani kushindwa kuzuia suicide drones za Houthi zilizolipua matenki ya mafuta ya Saudi Arabia ndio hao hao walishangazwa na S-300, Pantsir na Tungushka za Urusi kushindwa na drones za Ukraine.

Morocco imeagiza AD system, nimeona na UAE inataka iagize, Finland nayo inachagua mmojawapo ya mifumo miwili ya Israel. India walikuwa na joint project
Sasa mbona vikombora vya Hamas na Hezbollah vinawasumbua vile ,watu wanakufa na majumba yanabomoka,
Mrusi pekee ndio mkweli ktk silaha Ila Hawa wanaokomolewa kinyesi Ni mbwembwe tu, wote including Israel wamepeleka interception Ukraine by Russia anafanya anavyotaka
 
Sasa hili nalo mpaka maandiko?

Mimi nakupa hii....kila utawala unaouona sasa ipo siku utaanguka.

Sio marekani, sio russia, sio China, sio Iran wala Israel.

Ni kama ugiriki, roman empire, bynzatines, Ottoman, Great Britain, Babylon, Persia, Mali empire nk. Nk. Walivyoanguka.

Kingdoms rise only to fall.
Kuanguka kwa Israel ndo Kuna athari zaidi duniani.maana nayo ni DALILI kubwa ya kurudi kea yesu na mwisho wa dunia
 
Back
Top Bottom