matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Iran ni adui mkuu wa Israel kwa sasa. Na Israel inekuwa ikuhujumu mikakati ya kisiraha hatarishi ya Iran miaka yote.
Ikumbukwe Moja ya sababu kushindwa kutoa mifumo ya Ulinzi Kwa Ukraine, Israel walesema mifumo yao ni Kwa ajili ya magurunet tu ya kawaida haitaweza kupangua makombora ya kisasa ya yanayosumbua huko Ukraine.
JE, taifa la Israel Sasa liko hatarini Kwa uhodari wa Iran?
JE, ni Urusi ndio inatengenezea Drone Iran ili kutengeneza tension Kwa washirika wa US huku zile zake za kisasa imeziweka kibindoni?
JE, Israel bado ina mifumo imara sana, na hizo drone ni chamtoto kwa Ulinzi wa Israel?
Karibuni
Ikumbukwe Moja ya sababu kushindwa kutoa mifumo ya Ulinzi Kwa Ukraine, Israel walesema mifumo yao ni Kwa ajili ya magurunet tu ya kawaida haitaweza kupangua makombora ya kisasa ya yanayosumbua huko Ukraine.
JE, taifa la Israel Sasa liko hatarini Kwa uhodari wa Iran?
JE, ni Urusi ndio inatengenezea Drone Iran ili kutengeneza tension Kwa washirika wa US huku zile zake za kisasa imeziweka kibindoni?
JE, Israel bado ina mifumo imara sana, na hizo drone ni chamtoto kwa Ulinzi wa Israel?
Karibuni