Wakuu na wajuzi, Israel (Mossad) imeruhusu vipi Iran kumiliki drones na silaha za kisasa hivi?

Wakuu na wajuzi, Israel (Mossad) imeruhusu vipi Iran kumiliki drones na silaha za kisasa hivi?

Iran ni adui mkuu wa Israel kwa sasa. Na Israel inekuwa ikuhujumu mikakati ya kisiraha hatarishi ya Iran miaka yote.

Ikumbukwe Moja ya sababu kushindwa kutoa mifumo ya Ulinzi Kwa Ukraine, Israel walesema mifumo yao ni Kwa ajili ya magurunet tu ya kawaida haitaweza kupangua makombora ya kisasa ya yanayosumbua huko Ukraine.

JE, taifa la Israel Sasa liko hatarini Kwa uhodari wa Iran?

JE, ni Urusi ndio inatengenezea Drone Iran ili kutengeneza tension Kwa washirika wa US huku zile zake za kisasa imeziweka kibindoni?

JE, Israel bado ina mifumo imara sana, na hizo drone ni chamtoto kwa Ulinzi wa Israel?

Karibuni
T14 Armata dudus Bukyanagandi pitieni hapa...
 
Nitajibu swali lako la mwisho.

Israel ndio nchi pekee duniani ambayo ina air defence system 24/7 ziko active. Wale muda wowote unawashtukiza unafyatua kombora na wanalifanyia interception. Ni gharama kubwa za uendeshaji ila wanalazimika maana wana maadui na confrontation yao ni active.

Nchi nyingine kama Marekani na Urusi wao hawana adui kila dakika, mpaka ufikie hatua Urusi awaze Marekani atafyatua kombora hapo kuna mnyukano wa hali ya juu ushatokea na tension kwenye majeshi ishafikia level 3 kwenye readiness. Mfano sasa hivi, sio Russia wala Marekani anayewaza kwamba mwenzie atamrushia kombora usiku huu. Ila Israel muda wote wanaishi kwa mashaka, 'magaidi' wanalipiza kisasi wakipata nafasi.
Hamas au Hezbollah leo wanalala wanajisikia vizuri usiku wanaamua wafyatue maroketi kwa mkupuo kisha watokomee.

Kama Israel ingekuwa na air defence systems mbovu tungeziona kwenye kurushiwa maroketi na Hamas inafeli. Ilifanya interception ya 97% ya maroketi, hapo ni baada ya radar kupima trajectory na kugundua yatadondoka sehemu ya makazi. Kama hayadondoki sehemu hatarishi yaanachwa ila hata hivyo hakuna anayerusha kombora porini labda lipotee njia. Picha ni Iron Dome ikiharibu maroketi anga la Tel AvivView attachment 2389617

Kuhusu kupambana na cruise missiles, drones, anti ship missiles na ndege wanayo mifumo kama Barak na Arrow 3 (kuna 2 pia)View attachment 2389616

Ballistic missiles wanao mfumo wa David's SlingView attachment 2389615Mifumo yao ni multi layelled na kila mmoja una kazi tofauti na mwingine.
Hakuna mfumo kamilifu unaofanya kazi zote, ndio maana walioicheka MIM Patriot ya Marekani kushindwa kuzuia suicide drones za Houthi zilizolipua matenki ya mafuta ya Saudi Arabia ndio hao hao walishangazwa na S-300, Pantsir na Tungushka za Urusi kushindwa na drones za Ukraine.

Morocco imeagiza AD system, nimeona na UAE inataka iagize, Finland nayo inachagua mmojawapo ya mifumo miwili ya Israel. India walikuwa na joint project
Dah!...hii mifumo yote kufanya kazi wakati wote kwa pamoja gharama yake itakuwa kubwa mno.

Hiyo mifumo yote ni land based systems?
 
Haya in mabaki ya ndege ya Ukraine iliyotunguliwa na drone za Iran yaani drone imetungua ndege sio mchezo

arafu drone alizo pewa urusi na Iran in za kitoto au niseme no za kujifunzia shabaha katika ground to air and air to air misseli
FB_IMG_16656810296882599.jpg
 
Sio kila kitu cha kushabikia, unajuwa athari za kila nchi kuwa na silaha hatari, Waafrika ni matomaso mpaka muone ndio mtaelewa.
Kama kuna taifa linatakiwa lisiwe na silaha za hatari basi US namba moja

Kama mpaka US anamiliki NYUK hakuna taifa linalotakiwa kukosa NYUK

Maana siku US kichaa kikimpanda anajiripulia tuuu

US taifa la KIGAIDI nyuma ya UKRAINE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo bwana atarudi ataishi ataoa mke na kuzaa watoto ataishi miaka 40 na yeye atakufa.ila haya mambo ya mwisho wa dunia NI kweli yalisemwa tangu tangu na hata Adam aliambiwa ila kufika mwisho wa dunia NI kimbembe ila UPO.maana kila lenye mwanzo Lina mwisho
ila kufika mwisho wa dunia NI kimbembe ila UPO.maana kila lenye mwanzo Lina mwisho


Kabisa MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani israel aliwahi pewa ujauzito na babake Irani hadi ampangie
 
Usemalo ni kweli ila kipigo hicho ni kwa sabab walimkataa Yesu na kwa sababu ya kumuasi Mungu, ila kumbuka pia after hicho Kichapo Yesu atatokea na mwishowe atawasaidia vita Israel atashinda na hao waliokuwa upande wa shetani yaani russia, iran, china, umoja wa ulaya na wengine ndiyo itakuwa mwisho wao! then utakuja utawala wa miaka 1000 wa Yesu hapa duniani akitawala tokea Israel kwa sasa naishia hapa.
Story za kubumba kutoka ktk kitabu kilichokuja na jahazi, hizi dini mtumba zinadanganya sana wa africa na kuwapoteza.

Yaan unanukuu huo uongo ktk kitabu kilicho andikwa na mwanadamua na ww unaamini !!! Yaan huo uongo na upumbavu unataka kuaminisha watu wenye akili timamu? Umerogwa ww
 
Story za kubumba kutoka ktk kitabu kilichokuja na jahazi, hizi dini mtumba zinadanganya sana wa africa na kuwapoteza.

Yaan unanukuu huo uongo ktk kitabu kilicho andikwa na mwanadamua na ww unaamini !!! Yaan huo uongo na upumbavu unataka kuaminisha watu wenye akili timamu? Umerogwa ww
wewe wasema
 
Nitajibu swali lako la mwisho.

Israel ndio nchi pekee duniani ambayo ina air defence system 24/7 ziko active. Wale muda wowote unawashtukiza unafyatua kombora na wanalifanyia interception. Ni gharama kubwa za uendeshaji ila wanalazimika maana wana maadui na confrontation yao ni active.

Nchi nyingine kama Marekani na Urusi wao hawana adui kila dakika, mpaka ufikie hatua Urusi awaze Marekani atafyatua kombora hapo kuna mnyukano wa hali ya juu ushatokea na tension kwenye majeshi ishafikia level 3 kwenye readiness. Mfano sasa hivi, sio Russia wala Marekani anayewaza kwamba mwenzie atamrushia kombora usiku huu. Ila Israel muda wote wanaishi kwa mashaka, 'magaidi' wanalipiza kisasi wakipata nafasi.
Hamas au Hezbollah leo wanalala wanajisikia vizuri usiku wanaamua wafyatue maroketi kwa mkupuo kisha watokomee.

Kama Israel ingekuwa na air defence systems mbovu tungeziona kwenye kurushiwa maroketi na Hamas inafeli. Ilifanya interception ya 97% ya maroketi, hapo ni baada ya radar kupima trajectory na kugundua yatadondoka sehemu ya makazi. Kama hayadondoki sehemu hatarishi yaanachwa ila hata hivyo hakuna anayerusha kombora porini labda lipotee njia. Picha ni Iron Dome ikiharibu maroketi anga la Tel AvivView attachment 2389617

Kuhusu kupambana na cruise missiles, drones, anti ship missiles na ndege wanayo mifumo kama Barak na Arrow 3 (kuna 2 pia)View attachment 2389616

Ballistic missiles wanao mfumo wa David's SlingView attachment 2389615Mifumo yao ni multi layelled na kila mmoja una kazi tofauti na mwingine.
Hakuna mfumo kamilifu unaofanya kazi zote, ndio maana walioicheka MIM Patriot ya Marekani kushindwa kuzuia suicide drones za Houthi zilizolipua matenki ya mafuta ya Saudi Arabia ndio hao hao walishangazwa na S-300, Pantsir na Tungushka za Urusi kushindwa na drones za Ukraine.

Morocco imeagiza AD system, nimeona na UAE inataka iagize, Finland nayo inachagua mmojawapo ya mifumo miwili ya Israel. India walikuwa na joint project
Na ww huna lolote, alichokiandika na unachokijibu ni tofauti sana, yaani umekuja na propaganda tu [emoji16]
 
T14 Armata anayeshindwa kukuelewa katika maswara ya weapons knowledge and warfares in general bhasi huyo atakuwa taahira wa ajabu sana wa zama hizi. Shukrani kwa jitihada zako za kuwaelewesha jinsi mambo yalivyo na yanayoendelea katika ulimwengu wa MEDANI. I do appreciate you bro
 
Back
Top Bottom