Wakuu na wajuzi, Israel (Mossad) imeruhusu vipi Iran kumiliki drones na silaha za kisasa hivi?

Wakuu na wajuzi, Israel (Mossad) imeruhusu vipi Iran kumiliki drones na silaha za kisasa hivi?

Shida ya hao jamaa ni ujeuri..ila wao ndo wanaongoza kwa kupewa mitume na manabii wengi.ila waliwakataa na wengine kuwauwa.siku nikipata hela natamani niende misri nikasome historia yao.uwa napenda sana

Waisrael walimkataa Mungu wakaamua kufuata ya shetani nimeyasahau haya maandiko yako kitabu gani, Israel wameamua kwenda na NWO.
 
hizo drones ni matokeo ya tech ya Usa drone ambayo ili tunguliwa 2011 na iran na kuanza kuzistudy na kuzifanyia modifications zao hivo hakuna jipyaaaa
Mbona drone za kamkaze za Marekani zimepelekwa vitani nchi Ukraine zikaferi?
 
Ndo ujue kuwa propaganda za west zimewadanganya sana. Wakati Iran anazindua ndege, drones zake mara kadhaa media za west hadi humu kuna threads walikuwa wanasema mara ni matoy, mara molds tu za plastic wanaanza kuchambua hadi rangi, leo sijui kimekuwaje.
Muajemi sio level zetu wale jamaa wako vizuri.
Wako vizuri wakivua zile baibui na hijabu. Maungo yapo vizuri hatukatai
 
Labda nidokeze. Marekani na Urusi wanategemea early warning radars kujua adui anarusha makombora. Pia wana nuclear deterrence, kwamba utaogopa kunipiga kwa vile hata mimi nina makombora ya nyuklia.

Kwa hiyo hawawazi kirahisi kwamba watafyatuliwa makombora. Wakati Israel huwa inakataa kama ina nukes, jambo ambalo naamini 100% wanazo. Wao maadui zake wana maroketi na conventional warheads kwenye makombora hivyo huwezi wajibu kwa nukes.

Mfano wa early warning radars ni hii Voronezh ya UrusiView attachment 2389626

Ukisia Marekani anasema North Korea kafyatua kombora limeenda speed kadhaa, likakaa angani dakika kadhaa na likadondoka sehemu fulani. Kazi hiyo inafanywa kwa kiasi fulani na early warning radar
Hivi inakuwaje Hamas wanamiliki rockets? Wanazipitisha wapi wakati wamezungukwa na Israel?
 
Sasa mbona vikombora vya Hamas na Hezbollah vinawasumbua vile ,watu wanakufa na majumba yanabomoka,
Mrusi pekee ndio mkweli ktk silaha Ila Hawa wanaokomolewa kinyesi Ni mbwembwe tu, wote including Israel wamepeleka interception Ukraine by Russia anafanya anavyotaka
Uongo huo
 
Ndo ujue kuwa propaganda za west zimewadanganya sana. Wakati Iran anazindua ndege, drones zake mara kadhaa media za west hadi humu kuna threads walikuwa wanasema mara ni matoy, mara molds tu za plastic wanaanza kuchambua hadi rangi, leo sijui kimekuwaje.
Muajemi sio level zetu wale jamaa wako vizuri.
Huwezi zuia nchi kuwa na drones.
Hata Tanzania twatakiwa tuunde na tuzioneshe wajue
 
Unapoyangalia mataifa haya mawili ya irani na israeli inabidi uyatambue kimuonekano wa ndani bila kusahau muonekano wa nje, kwakuwa wew unayangalia kimuonekano wa nje, kutokana na kila taifa kupiga kwake hatua kubwa za maendeleo kijeshi na kwenye masuala ya sayansi na teknolojia.

Jambo unalotakiwa ujue urusi haitengenezei irani drone bali iran inatumia wanasayansi wake wa ndani, kwakua wew na watu wengi mmebase kwenye msimamo wa kuwa haya mataifa ni maadui na nikweli israeli na irani ndio mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hapo mashariki ya kati.

Lakin hivyo ndio wakubwa wanataka nyie muamini hivyo kimuonekano wa nje kupitia migogoro yao kama israeli kuuwa wanasayansi wa nuclear wa irani na irani kusapoti makundi yenye uadui mkubwa na israeli kama hezbollah na hamasi bila kusahau wanavyotishiana kufutana kwenye ramani ya dunia.

Unachopaswa kujua matunduizi ni kuyatambua mataifa haya kimuonekano wa ndani na hapa ndio siri kubwa ilipo kati ya mataifa haya hivyo nimalizie kusema jitahidi kufanya research ya kutosha wew binafsi maana dunia ni zaidi ya tuijuavyo sie wanadamu.
Andiko refu lisiloeleweka!
 
Sio kila kitu cha kushabikia, unajuwa athari za kila nchi kuwa na silaha hatari, Waafrika ni matomaso mpaka muone ndio mtaelewa.
kuwa kimahsusi mkuu, Silaha hatari una maanisha nyuklia?
kama ndiyo, basi bila shaka dunia itakuwa mahali salama zaidi kama kila nchi itakuwa nazo kuliko hali ilivyo hivi sasa.

Dunia itakuwa salama kwa sababu kuu moja, nayo ni kuheshimiana. VIta baridi haikulipuka kuwa vita kamili kwa sababu moja tu nayo ni uwepo wa nyuklia kwa USSR na Marekani na washirika wao.

kama kila nchi itakuwa na silaha hizi basi hakuna nchi itaingilia mambo ya nchi nyingine, kusingekuwa na Libya 'intervention', uvamizi wa Iraq, mgogoro wa Lebanon (1950s), uvamizi wa Palestina, vita vya Syria, vita vya UKraine na kadhalika.

  • Dunia inakosa amani chini ya mfumo wa 'Unipolarity' ambapo taifa moja linaingilia mataifa mengine kadri linavyotaka kisa wana silaha hatari ambazo wengine hawana.
  • Dunia ilikosa amani chini ya mfumo wa 'BI-Polarity' ambapo mataifa mawili yenyenuwezo mkubwa yanafanya yatakavyo.
** Dunia itapata amani kwenye 'Multipolarity' ambapo kila taifa litakuwa na uwezo mkubwa kama mataifa mengine, hivo hakuna taifa litakalojiamulia kuingili jingine. (japo hali hii ya 'multipolarity' ni ngumu sana kutokea)
 
Sio kila kitu cha kushabikia, unajuwa athari za kila nchi kuwa na silaha hatari, Waafrika ni matomaso mpaka muone ndio mtaelewa.
Ni sawa hapa nyumbani si Kila mtu atakiwa kumiliki silaha.
 
Waisrael wanapaswa kuuawa.
Ina maana Iran haijui Jerusalem na Tel Aviv zilipo wapeleke hizo drones kushambulia? Si mnataka kuifuta kwenye ramani ya dunia?

Nendeni mkajaribu ili mgeuzwe majivu na vijana wa Mossad.
 
Unapoyangalia mataifa haya mawili ya irani na israeli inabidi uyatambue kimuonekano wa ndani bila kusahau muonekano wa nje, kwakuwa wew unayangalia kimuonekano wa nje, kutokana na kila taifa kupiga kwake hatua kubwa za maendeleo kijeshi na kwenye masuala ya sayansi na teknolojia.

Jambo unalotakiwa ujue urusi haitengenezei irani drone bali iran inatumia wanasayansi wake wa ndani, kwakua wew na watu wengi mmebase kwenye msimamo wa kuwa haya mataifa ni maadui na nikweli israeli na irani ndio mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hapo mashariki ya kati.

Lakin hivyo ndio wakubwa wanataka nyie muamini hivyo kimuonekano wa nje kupitia migogoro yao kama israeli kuuwa wanasayansi wa nuclear wa irani na irani kusapoti makundi yenye uadui mkubwa na israeli kama hezbollah na hamasi bila kusahau wanavyotishiana kufutana kwenye ramani ya dunia.

Unachopaswa kujua matunduizi ni kuyatambua mataifa haya kimuonekano wa ndani na hapa ndio siri kubwa ilipo kati ya mataifa haya hivyo nimalizie kusema jitahidi kufanya research ya kutosha wew binafsi maana dunia ni zaidi ya tuijuavyo sie wanadamu.
Mkuu kiukweli sijaelewa basi iweke vizuri tuelewe mantiki ya utaalam wako
 
Unapoyangalia mataifa haya mawili ya irani na israeli inabidi uyatambue kimuonekano wa ndani bila kusahau muonekano wa nje, kwakuwa wew unayangalia kimuonekano wa nje, kutokana na kila taifa kupiga kwake hatua kubwa za maendeleo kijeshi na kwenye masuala ya sayansi na teknolojia.

Jambo unalotakiwa ujue urusi haitengenezei irani drone bali iran inatumia wanasayansi wake wa ndani, kwakua wew na watu wengi mmebase kwenye msimamo wa kuwa haya mataifa ni maadui na nikweli israeli na irani ndio mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hapo mashariki ya kati.

Lakin hivyo ndio wakubwa wanataka nyie muamini hivyo kimuonekano wa nje kupitia migogoro yao kama israeli kuuwa wanasayansi wa nuclear wa irani na irani kusapoti makundi yenye uadui mkubwa na israeli kama hezbollah na hamasi bila kusahau wanavyotishiana kufutana kwenye ramani ya dunia.

Unachopaswa kujua matunduizi ni kuyatambua mataifa haya kimuonekano wa ndani na hapa ndio siri kubwa ilipo kati ya mataifa haya hivyo nimalizie kusema jitahidi kufanya research ya kutosha wew binafsi maana dunia ni zaidi ya tuijuavyo sie wanadamu.
Umeandika nini
 
Huwezi zuia nchi kuwa na drones.
Hata Tanzania twatakiwa tuunde na tuzioneshe wajue
Ndiyo, ndio maana nimesema walipokuwa wakionyesha ndege na drones zao walikuwa wanaziita toy, mara picha zimekuwa photoshoped lakini hii vita imeonyesha kuwa wana uwezo wa kutengeneza zana za kivita
 
Unapoyangalia mataifa haya mawili ya irani na israeli inabidi uyatambue kimuonekano wa ndani bila kusahau muonekano wa nje, kwakuwa wew unayangalia kimuonekano wa nje, kutokana na kila taifa kupiga kwake hatua kubwa za maendeleo kijeshi na kwenye masuala ya sayansi na teknolojia.

Jambo unalotakiwa ujue urusi haitengenezei irani drone bali iran inatumia wanasayansi wake wa ndani, kwakua wew na watu wengi mmebase kwenye msimamo wa kuwa haya mataifa ni maadui na nikweli israeli na irani ndio mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hapo mashariki ya kati.

Lakin hivyo ndio wakubwa wanataka nyie muamini hivyo kimuonekano wa nje kupitia migogoro yao kama israeli kuuwa wanasayansi wa nuclear wa irani na irani kusapoti makundi yenye uadui mkubwa na israeli kama hezbollah na hamasi bila kusahau wanavyotishiana kufutana kwenye ramani ya dunia.

Unachopaswa kujua matunduizi ni kuyatambua mataifa haya kimuonekano wa ndani na hapa ndio siri kubwa ilipo kati ya mataifa haya hivyo nimalizie kusema jitahidi kufanya research ya kutosha wew binafsi maana dunia ni zaidi ya tuijuavyo sie wanadamu.
sasa si ufunguke shehe huo wa ndani
 
Isralites na Persians so wa kuwadharau hata kidogo.

Hao wako ma sayansi tangu enzi na enzi.

Vichwa vyao viko moto

Sema dini zinawazubaisha
 
Back
Top Bottom