Wakuu na wajuzi, Israel (Mossad) imeruhusu vipi Iran kumiliki drones na silaha za kisasa hivi?

Ndo ujue kuwa propaganda za west zimewadanganya sana. Wakati Iran anazindua ndege, drones zake mara kadhaa media za west hadi humu kuna threads walikuwa wanasema mara ni matoy, mara molds tu za plastic wanaanza kuchambua hadi rangi, leo sijui kimekuwaje.
Muajemi sio level zetu wale jamaa wako vizuri.
 
Hii ni kauli ya shabiki lialia wa mpira anayeshinda njaa vibanda vya kubeti. Israel haijapeleka air defence system yeyote Ukraine, hizo taarifa labda umezitoa kuzimu. Maroketi zaidi ya 2,400 yamezuiwa na Iron Dome pekee na success rate yake ni zaidi ya 95% hadi 97% kila series of attack.

Na kama una hasira nao, ulizaliwa ukakuta wanaishi kwa fujo na Waarabu, utakufa uwaache wapo palepale. Waarabu wenzio kina UAE walishaanzisha hata flights na wana mjadala wa kununua silaha kwao, wewe uko hapa na hasira zako. Wenzio hata nafasi ya kujilipua wamenyimwa
 
Nahisi uzi uishie hapa!! Umetema madini Sana mkuu
 
Hata mimi mwenyewe Sijakuelewa
Nimesema wengi mnayangalia mataifa haya kwa muonekano wa nje nasio muonekano wa ndani hivyo ndio wakubwa wa dunia wanataka nyie mjue hivyo kwamba ni maadui, lakin ukishajua yaliyo nyuma ya pazia ambao ndio ukweli halisi ulio katika muonekano wa ndani huwezi kudanganyika kwakua ukweli unaujua.
 
umeandika maneno mengi yasiyo na tija kama unajua si uongee
 
Mzee maandiko yanasema ipo siku Israel watakuja kupoteana.

Yaani watapigwa wachakae sema bado sana.
Usemalo ni kweli ila kipigo hicho ni kwa sabab walimkataa Yesu na kwa sababu ya kumuasi Mungu, ila kumbuka pia after hicho Kichapo Yesu atatokea na mwishowe atawasaidia vita Israel atashinda na hao waliokuwa upande wa shetani yaani russia, iran, china, umoja wa ulaya na wengine ndiyo itakuwa mwisho wao! then utakuja utawala wa miaka 1000 wa Yesu hapa duniani akitawala tokea Israel kwa sasa naishia hapa.
 
Amemuacha apambane na mambo yatokanayo na kutokuvaa mashungi vizuri
 
Yesu atakuja kwa ajili ya walimwengu wote na KUHUKUMU KWA HAKI .sio kwa ajili ya wana Israel tu.maaana hao sidhani Kama watakuja kumkubali masihi
 
umeandika upumbavu, na hivi unavyotaka kurekebisha ndio unaonekana mpumbavu kabisa
 
Kuhusu kurudi kwa yesu sijui...ila mwisho wa dunia watu wamekuwa wakisema umekaribia kabla hata yesu mwenyewe hajazaliwa.
Huyo bwana atarudi ataishi ataoa mke na kuzaa watoto ataishi miaka 40 na yeye atakufa.ila haya mambo ya mwisho wa dunia NI kweli yalisemwa tangu tangu na hata Adam aliambiwa ila kufika mwisho wa dunia NI kimbembe ila UPO.maana kila lenye mwanzo Lina mwisho
 
Hata hao unaowaona sio waisrael halisi @“khazarians” maandiko yaliandika waisrael watakua watumwa kwenye mataifani.
Shida ya hao jamaa ni ujeuri..ila wao ndo wanaongoza kwa kupewa mitume na manabii wengi.ila waliwakataa na wengine kuwauwa.siku nikipata hela natamani niende misri nikasome historia yao.uwa napenda sana
 
L
Labda kwanza tuanze kujiuliza uo uadui wao unatokaa na nn?
 
Hivi mwisho wa dunia ni nini? Mwisho wa binadamu duniani, mwisho wa viumbe vyote, au mwisho wa hii sayari kabisa?
Kumbuka hii sayari imekuwepo kabla hata ya viumbe wote na tutaiacha.
 
hizo drones ni matokeo ya tech ya Usa drone ambayo ili tunguliwa 2011 na iran na kuanza kuzistudy na kuzifanyia modifications zao hivo hakuna jipyaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…