Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Shida ya hao jamaa ni ujeuri..ila wao ndo wanaongoza kwa kupewa mitume na manabii wengi.ila waliwakataa na wengine kuwauwa.siku nikipata hela natamani niende misri nikasome historia yao.uwa napenda sana
Mbona drone za kamkaze za Marekani zimepelekwa vitani nchi Ukraine zikaferi?hizo drones ni matokeo ya tech ya Usa drone ambayo ili tunguliwa 2011 na iran na kuanza kuzistudy na kuzifanyia modifications zao hivo hakuna jipyaaaa
Wako vizuri wakivua zile baibui na hijabu. Maungo yapo vizuri hatukataiNdo ujue kuwa propaganda za west zimewadanganya sana. Wakati Iran anazindua ndege, drones zake mara kadhaa media za west hadi humu kuna threads walikuwa wanasema mara ni matoy, mara molds tu za plastic wanaanza kuchambua hadi rangi, leo sijui kimekuwaje.
Muajemi sio level zetu wale jamaa wako vizuri.
Umeona shughuli ya kamikaze drones zao? Zile made in Iran west wanapiga kelele kwann kampatia urusi hizo droneWako vizuri wakivua zile baibui na hijabu. Maungo yapo vizuri hatukatai
Hivi inakuwaje Hamas wanamiliki rockets? Wanazipitisha wapi wakati wamezungukwa na Israel?Labda nidokeze. Marekani na Urusi wanategemea early warning radars kujua adui anarusha makombora. Pia wana nuclear deterrence, kwamba utaogopa kunipiga kwa vile hata mimi nina makombora ya nyuklia.
Kwa hiyo hawawazi kirahisi kwamba watafyatuliwa makombora. Wakati Israel huwa inakataa kama ina nukes, jambo ambalo naamini 100% wanazo. Wao maadui zake wana maroketi na conventional warheads kwenye makombora hivyo huwezi wajibu kwa nukes.
Mfano wa early warning radars ni hii Voronezh ya UrusiView attachment 2389626
Ukisia Marekani anasema North Korea kafyatua kombora limeenda speed kadhaa, likakaa angani dakika kadhaa na likadondoka sehemu fulani. Kazi hiyo inafanywa kwa kiasi fulani na early warning radar
Uongo huoSasa mbona vikombora vya Hamas na Hezbollah vinawasumbua vile ,watu wanakufa na majumba yanabomoka,
Mrusi pekee ndio mkweli ktk silaha Ila Hawa wanaokomolewa kinyesi Ni mbwembwe tu, wote including Israel wamepeleka interception Ukraine by Russia anafanya anavyotaka
Huwezi zuia nchi kuwa na drones.Ndo ujue kuwa propaganda za west zimewadanganya sana. Wakati Iran anazindua ndege, drones zake mara kadhaa media za west hadi humu kuna threads walikuwa wanasema mara ni matoy, mara molds tu za plastic wanaanza kuchambua hadi rangi, leo sijui kimekuwaje.
Muajemi sio level zetu wale jamaa wako vizuri.
Maroketi za Hamas wajitengenezea wenyewe ndio maana hata ubora wao ni mdogo.Hivi inakuwaje Hamas wanamiliki rockets? Wanazipitisha wapi wakati wamezungukwa na Israel?
Andiko refu lisiloeleweka!Unapoyangalia mataifa haya mawili ya irani na israeli inabidi uyatambue kimuonekano wa ndani bila kusahau muonekano wa nje, kwakuwa wew unayangalia kimuonekano wa nje, kutokana na kila taifa kupiga kwake hatua kubwa za maendeleo kijeshi na kwenye masuala ya sayansi na teknolojia.
Jambo unalotakiwa ujue urusi haitengenezei irani drone bali iran inatumia wanasayansi wake wa ndani, kwakua wew na watu wengi mmebase kwenye msimamo wa kuwa haya mataifa ni maadui na nikweli israeli na irani ndio mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hapo mashariki ya kati.
Lakin hivyo ndio wakubwa wanataka nyie muamini hivyo kimuonekano wa nje kupitia migogoro yao kama israeli kuuwa wanasayansi wa nuclear wa irani na irani kusapoti makundi yenye uadui mkubwa na israeli kama hezbollah na hamasi bila kusahau wanavyotishiana kufutana kwenye ramani ya dunia.
Unachopaswa kujua matunduizi ni kuyatambua mataifa haya kimuonekano wa ndani na hapa ndio siri kubwa ilipo kati ya mataifa haya hivyo nimalizie kusema jitahidi kufanya research ya kutosha wew binafsi maana dunia ni zaidi ya tuijuavyo sie wanadamu.
kuwa kimahsusi mkuu, Silaha hatari una maanisha nyuklia?Sio kila kitu cha kushabikia, unajuwa athari za kila nchi kuwa na silaha hatari, Waafrika ni matomaso mpaka muone ndio mtaelewa.
Kichwa panziAndiko refu lisiloeleweka!
Kobazi bana si mtume kamikaze Jerusalem tu..?Waisrael wanapaswa kuuawa.
Ni sawa hapa nyumbani si Kila mtu atakiwa kumiliki silaha.Sio kila kitu cha kushabikia, unajuwa athari za kila nchi kuwa na silaha hatari, Waafrika ni matomaso mpaka muone ndio mtaelewa.
Ina maana Iran haijui Jerusalem na Tel Aviv zilipo wapeleke hizo drones kushambulia? Si mnataka kuifuta kwenye ramani ya dunia?Waisrael wanapaswa kuuawa.
Mkuu kiukweli sijaelewa basi iweke vizuri tuelewe mantiki ya utaalam wakoUnapoyangalia mataifa haya mawili ya irani na israeli inabidi uyatambue kimuonekano wa ndani bila kusahau muonekano wa nje, kwakuwa wew unayangalia kimuonekano wa nje, kutokana na kila taifa kupiga kwake hatua kubwa za maendeleo kijeshi na kwenye masuala ya sayansi na teknolojia.
Jambo unalotakiwa ujue urusi haitengenezei irani drone bali iran inatumia wanasayansi wake wa ndani, kwakua wew na watu wengi mmebase kwenye msimamo wa kuwa haya mataifa ni maadui na nikweli israeli na irani ndio mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hapo mashariki ya kati.
Lakin hivyo ndio wakubwa wanataka nyie muamini hivyo kimuonekano wa nje kupitia migogoro yao kama israeli kuuwa wanasayansi wa nuclear wa irani na irani kusapoti makundi yenye uadui mkubwa na israeli kama hezbollah na hamasi bila kusahau wanavyotishiana kufutana kwenye ramani ya dunia.
Unachopaswa kujua matunduizi ni kuyatambua mataifa haya kimuonekano wa ndani na hapa ndio siri kubwa ilipo kati ya mataifa haya hivyo nimalizie kusema jitahidi kufanya research ya kutosha wew binafsi maana dunia ni zaidi ya tuijuavyo sie wanadamu.
Umeandika niniUnapoyangalia mataifa haya mawili ya irani na israeli inabidi uyatambue kimuonekano wa ndani bila kusahau muonekano wa nje, kwakuwa wew unayangalia kimuonekano wa nje, kutokana na kila taifa kupiga kwake hatua kubwa za maendeleo kijeshi na kwenye masuala ya sayansi na teknolojia.
Jambo unalotakiwa ujue urusi haitengenezei irani drone bali iran inatumia wanasayansi wake wa ndani, kwakua wew na watu wengi mmebase kwenye msimamo wa kuwa haya mataifa ni maadui na nikweli israeli na irani ndio mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hapo mashariki ya kati.
Lakin hivyo ndio wakubwa wanataka nyie muamini hivyo kimuonekano wa nje kupitia migogoro yao kama israeli kuuwa wanasayansi wa nuclear wa irani na irani kusapoti makundi yenye uadui mkubwa na israeli kama hezbollah na hamasi bila kusahau wanavyotishiana kufutana kwenye ramani ya dunia.
Unachopaswa kujua matunduizi ni kuyatambua mataifa haya kimuonekano wa ndani na hapa ndio siri kubwa ilipo kati ya mataifa haya hivyo nimalizie kusema jitahidi kufanya research ya kutosha wew binafsi maana dunia ni zaidi ya tuijuavyo sie wanadamu.
Kwani wew umesoma niny!Umeandika nini
Ndiyo, ndio maana nimesema walipokuwa wakionyesha ndege na drones zao walikuwa wanaziita toy, mara picha zimekuwa photoshoped lakini hii vita imeonyesha kuwa wana uwezo wa kutengeneza zana za kivitaHuwezi zuia nchi kuwa na drones.
Hata Tanzania twatakiwa tuunde na tuzioneshe wajue
sasa si ufunguke shehe huo wa ndaniUnapoyangalia mataifa haya mawili ya irani na israeli inabidi uyatambue kimuonekano wa ndani bila kusahau muonekano wa nje, kwakuwa wew unayangalia kimuonekano wa nje, kutokana na kila taifa kupiga kwake hatua kubwa za maendeleo kijeshi na kwenye masuala ya sayansi na teknolojia.
Jambo unalotakiwa ujue urusi haitengenezei irani drone bali iran inatumia wanasayansi wake wa ndani, kwakua wew na watu wengi mmebase kwenye msimamo wa kuwa haya mataifa ni maadui na nikweli israeli na irani ndio mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hapo mashariki ya kati.
Lakin hivyo ndio wakubwa wanataka nyie muamini hivyo kimuonekano wa nje kupitia migogoro yao kama israeli kuuwa wanasayansi wa nuclear wa irani na irani kusapoti makundi yenye uadui mkubwa na israeli kama hezbollah na hamasi bila kusahau wanavyotishiana kufutana kwenye ramani ya dunia.
Unachopaswa kujua matunduizi ni kuyatambua mataifa haya kimuonekano wa ndani na hapa ndio siri kubwa ilipo kati ya mataifa haya hivyo nimalizie kusema jitahidi kufanya research ya kutosha wew binafsi maana dunia ni zaidi ya tuijuavyo sie wanadamu.