Wakuu naomba mnieleweshe concept ya Mungu katika ukristo

Wakuu naomba mnieleweshe concept ya Mungu katika ukristo

Wakristo hapo ndipo tunapofeli tunafundisha kinyume na Biblia

Biblia inasema wazi Mungu ni mmoja tu hizi mambo za nafsi 3 tunadanganya sana

Na Yesu sio MUNGU

1 Wakorintho 11:3​

Neno: Bibilia Takatifu​

3 Lakini napenda muelewe kwamba Kristo ni kichwa cha kila mwanamume, kama vile mume alivyo kichwa cha mkewe, na Mungu ni kichwa cha Kristo

Kwa msingi wa andiko hilo kama Yesu ni sawa na Mungu basi tukubaliane pia mke ni sawa na mume
 
Wakristo hapo ndipo tunapofeli tunafundisha kinyume na Biblia

Biblia inasema wazi Mungu ni mmoja tu hizi mambo za nafsi 3 tunadanganya sana

Na Yesu sio MUNGU

1 Wakorintho 11:3​

Neno: Bibilia Takatifu​

3 Lakini napenda muelewe kwamba Kristo ni kichwa cha kila mwanamume, kama vile mume alivyo kichwa cha mkewe, na Mungu ni kichwa cha Kristo

Kwa msingi wa andiko hilo kama Yesu ni sawa na Mungu basi tukubaliane pia mke ni sawa na mume
Unajua maana ya neno "mukutadha" au kwa kingereza "context"! Vinginevyo pole!
 
Wote wako sawa! Huwezi kuwatenganisha! Hata wewe unaweza tenganisha roho, mwili na nafsi? Inaweza kusadikika kuwa roho ina nguvu lakini anayeipa fursa roho ni akili iliyo ndani ya nafsi! Na akili hiko ndani ya ubongo ulio ndani ya mwili!
Haya mambo ukitumia akili za kibinadamu huwezi kuelewa!
Wewe hapa hautumii akili ?
 
Muumba ni mmoja mwenye nafsi ngapi? Moja au tatu?
Hana nafsi wala yeye ni Moyo ndo maana ametusisitiza kulinda Moyo.sio moyo unaoenda kupasuliwa india.

Mathayo 5:8
Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.

Mithali 4:23
Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
 
Hana nafsi wala yeye ni Moyo ndo maana ametusisitiza kulinda Moyo.sio moyo unaoenda kupasuliwa india.

Mathayo 5:8
Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.

Mithali 4:23
Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
Hii nayo ni concept mpya mkuu

Kwahiyo christians imani yenu katika concept ya MUNGU ni ipi hasa?
 
Mbona unaongea kwa mihemko na hasira? Nitakuonyesha maandiko ambapo Mungu Baba, Mungu Mwana, na Mungu Roho mtakatifu walikuwa pamoja kwa wakati mmoja na kujidhihirisha:


Mathayo 3:16-17

[16]Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;

[17]na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.

Sasa hapa unaona:

1. Yesu aliyetoka kubatizwa

2. Roho mtakatifu akishuka kama hua

3. Mungu Baba (katika sauti) kutoka Mbinguni


Mambo ya Mungu hayataki jaziba! Okoka!
Nina shida kidogo na ongea yangu na andika yangu.. uwa ninaongea na kuandika kimamlaka zaidi ndiyo maana mtu asiyenijua anaweza hisi nafoka kumbe sio.
Nichukulie poa.

Chief,hizo verse ulizotoa hazimsemi Yesu kama ulivyoeleza hapo juu.
Yesu ni mwana wa Mungu hivyo ana uungu. kuna verse nimeisahu Mungu anamuita Yesu Mungu lakini hiyo haina maana kuwa Yesu ndiye yule Mung ambaye biblia inamsema hakuna aliyewai muona akaishi.
Maisha yake yote hapa Duniani yesu alisema Yeye ni mwana wa Mungu na ilo likafanya wayahudi wakataka kumpiga.
Katika biblia tuna Mungu Baba,mwanae Yesu Kristo na Roho wa Mungu.
Roho wa Mungu si Mungu nafsi.
Yesu Kristo si Mungu nafsi.
1Petro 3:22
"ambaye alikwenda mbinguni na sasa amekaa upande wa kulia wa Mungu, anatawala juu ya malaika, wakuu na wenye enzi".

Yesu amakee upande wa kulia wa Mungu,sasa kwanini wewe useme Yesu ni Mungu?.
Kuna kitabu nikikumbuka nitakutumia jina.
Kinasema " Jesus is God infinitely but not in personality.

Kusema Yesu ni Mungu,na roho wa Mungu ni Mungu na Baba ni Mungu automatically wanakuwa ni mungu 3 kitu ambacho kwenye biblia hakipo.
 
Nina shida kidogo na ongea yangu na andika yangu.. uwa ninaongea na kuandika kimamlaka zaidi ndiyo maana mtu asiyenijua anaweza hisi nafoka kumbe sio.
Nichukulie poa.

Chief,hizo verse ulizotoa hazimsemi Yesu kama ulivyoeleza hapo juu.
Yesu ni mwana wa Mungu hivyo ana uungu. kuna verse nimeisahu Mungu anamuita Yesu Mungu lakini hiyo haina maana kuwa Yesu ndiye yule Mung ambaye biblia inamsema hakuna aliyewai muona akaishi.
Maisha yake yote hapa Duniani yesu alisema Yeye ni mwana wa Mungu na ilo likafanya wayahudi wakataka kumpiga.
Katika biblia tuna Mungu Baba,mwanae Yesu Kristo na Roho wa Mungu.
Roho wa Mungu si Mungu nafsi.
Yesu Kristo si Mungu nafsi.
1Petro 3:22
"ambaye alikwenda mbinguni na sasa amekaa upande wa kulia wa Mungu, anatawala juu ya malaika, wakuu na wenye enzi".

Yesu amakee upande wa kulia wa Mungu,sasa kwanini wewe useme Yesu ni Mungu?.
Kuna kitabu nikikumbuka nitakutumia jina.
Kinasema " Jesus is God infinitely but not in personality.

Kusema Yesu ni Mungu,na roho wa Mungu ni Mungu na Baba ni Mungu automatically wanakuwa ni mungu 3 kitu ambacho kwenye biblia hakipo.
Wakristo pangueni hii hoja fikirishi
 
Back
Top Bottom