Wakuu naomba mnieleweshe concept ya Mungu katika ukristo

Wakuu naomba mnieleweshe concept ya Mungu katika ukristo

"YESU ni mfano wa MUNGU yule asiyeonekana" kwahiyo YESU ni Mungu au sio Mungu?

NB: Mkuu mimi sio mjuzi sana wa dini siko deep kihivyo lakini ni muumini wa dini yangu
Yesu ni Mungu by nature kwasababu Baba yake ni Mungu.
Ana uungu ndani yake so kumuita Yesu Mungu si kosa.
Mtoto wa simba ni simba,mtoto wa binadamu ni binadamu na mtoto wa Mungu ni Mungu.

Mtume Muhammad(PBH) anasema"kama Mungu angelikuwa na mtoto mimi ningelikuwa wa kwanza kumuabudu mtoto huyo maana ni Mungu.
Ila yeye kuitwa Mungu haina maana yeye ndiye yule ambaye hakuna mtu aliyewai muona.
Yohana 1:18 “Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua”.
 
Mungu hajawahi kuwepo, Hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mungu ni dhana ya kufikirika tu.
Swala la kuwepo kwa mungu ni swala la lenye yakini ya kimaumbile

Mtu yoyote akipatwa na shida kubwa mfano, ugonjwa serious lazima tu akumbuke uwepo wa mungu, tena mtu anajiapia nikipona nitakesha kwenye Ibada ila akipona anaanza kuongea ufala kama wewe.


Afya njema tu inakusahaulisha.
 
Mungu hajawahi kuwepo, Hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mungu ni dhana ya kufikirika tu.
Ni upumbavu wa SGR kumkataa Mungu halafu ukiulizwa mbingj na ardhi kaziumba nani?

Unaanza kuleta theories ambazo hata chizi hawezi kukubali
 
Yesu mwana wa Mungu.

Mtoto wa nyoka ni nyoka. Mtoto wa Mungu ni Mungu.
 
Yesu ni Mungu by nature kwasababu Baba yake ni Mungu.
Ana uungu ndani yake so kumuita Yesu Mungu si kosa.
Mtoto wa simba ni simba,mtoto wa binadamu ni binadamu na mtoto wa Mungu ni Mungu.

Mtume Muhammad(PBH) anasema"kama Mungu angelikuwa na mtoto mimi ningelikuwa wa kwanza kumuabudu mtoto huyo maana ni Mungu.
Ila yeye kuitwa Mungu haina maana yeye ndiye yule ambaye hakuna mtu aliyewai muona.
Yohana 1:18 “Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua”.
Acha ujinga wa kutumia maandiko ya uongo,


Hakuna andiko la hivyo katika vitabu vya kiislamu.

Halafu haiwezekani mtume(saw) aseme hivyo maana msingi makuu wa uislamu ni kumuambudu mungu mmoja tu bila ya kumshirikisha na yoyote
 
Acha ujinga wa kutumia maandiko ya uongo,


Hakuna andiko la hivyo katika vitabu vya kiislamu.

Halafu haiwezekani mtume(saw) aseme hivyo maana msingi makuu wa uislamu ni kumuambudu mungu mmoja tu bila ya kumshirikisha na yoyote
Lazima uelewe Mungu wa Biblia sio yule mungu wa kuruani..
 
Acha ujinga wa kutumia maandiko ya uongo,


Hakuna andiko la hivyo katika vitabu vya kiislamu.

Halafu haiwezekani mtume(saw) aseme hivyo maana msingi makuu wa uislamu ni kumuambudu mungu mmoja tu bila ya kumshirikisha na yoyote
Ujinga hauachwi,ujiondoa wenyewe kadili unavyopata Nuru.
Unashida ya kusoma na kuelewa.
Bilashaka umehisi nimesema Allah anatoto wakati mimi sikusema hivyo.
Nimenuukuu Quran kujenga hoja na si vinginevyo.

Verse yenyewe hii hapa"43:81] Proclaim: “If the Most Gracious did have a son, I would still be the foremost worshiper.

Next time bwana mdogo usitukane watu kwenye faceless forum kama hii.
 
Hii nayo ni concept mpya mkuu

Kwahiyo christians imani yenu katika concept ya MUNGU ni ipi hasa?
Wengi tulifundishwa tumegawanyika katika roho,nafsi na mwili ila hatukufundishwa kuwa tulikuwa moyo pia.

Ndipo unasoma katika warumi kwa kuwa tulikuwa roho ikawa ni kuugua na kwakuwa tulikuwa mwili ikawa ni uadui na Muumba na nafsi ikawa ni kubeba uchafu tu.

Warumi 8:23

Wala si hivyo tu; ila na sisi wenyewe tulio na malimbuko ya Roho, sisi pia tunaugua katika nafsi zetu, tukikutazamia kufanywa wana, yaani, ukombozi wa mwili wetu.

Warumi 8:7
Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.

Yaani mtu alikuwa anaokoka roho mauti inaenda kujificha kwenye nafsi, Ndo maana Isaya akasema hakufanyika wokovu wowote duniani ilikuwa nikuzaa upepo tu.

Isaya 26:18
Tumekuwa na mimba, tumekuwa na utungu, tumekuwa kana kwamba tumezaa upepo; hatukufanya wokovu wo wote duniani, wala hawakuanguka wakaao duniani.
 
Wengi tulifundishwa tumegawanyika katika roho,nafsi na mwili ila hatukufundishwa kuwa tulikuwa moyo pia.

Ndipo unasoma katika warumi kwa kuwa tulikuwa roho ikawa ni kuugua na kwakuwa tulikuwa mwili ikawa ni uadui na Muumba na nafsi ikawa ni kubeba uchafu tu.

Warumi 8:23

Wala si hivyo tu; ila na sisi wenyewe tulio na malimbuko ya Roho, sisi pia tunaugua katika nafsi zetu, tukikutazamia kufanywa wana, yaani, ukombozi wa mwili wetu.

Warumi 8:7
Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.

Yaani mtu alikuwa anaokoka roho mauti inaenda kujificha kwenye nafsi, Ndo maana Isaya akasema hakufanyika wokovu wowote duniani ilikuwa nikuzaa upepo tu.

Isaya 26:18
Tumekuwa na mimba, tumekuwa na utungu, tumekuwa kana kwamba tumezaa upepo; hatukufanya wokovu wo wote duniani, wala hawakuanguka wakaao duniani.
Hahaha haya maandiko yanahusu nini?
 
kama unaamini bible utakubaliana nami kuwa YESU KRISTO ni MUNGU, bible inasema hivi,yohana 1:11 wakukuja kwake wala walio wake hawakumpokea Kristo huyo, Mathayo 28:19 inasema .... wanafunzi wabatizwe kwa jina la BABA, MWANA na ROHO MTAKATIFU, biblia inasema kama tukimwamini mwana wa MUNGU hatuta potea bali tutakuwa na uzima wa milele yohana 3:16. Hivyo YESU KRISTO ni MUNGU aliye fanyika mwili yaani sehemu ya MUNGU iliuvaa mwili ndio maana kunasehemu YESU anakula, analala, analia sababu ya mwili alio uvaa.
Wito, kama unaamini biblia nikupendekezee umwamini kristo kuwa MUNGU kwa mujibu wa yohana 1.... lakini pia kama unatamani UZIMA wa milele hakuna njia nyingine isipokuwa KRISTO. Barikiwa
 
Habari

1. Wengine wanasema kuna Mungu Baba, mwana na roho mtakatifu

2. Wengine wanasema Mungu mmoja

3. Wengine nasikia wanasema ana nafsi tatu

Na je kama ana nafsi tatu kwa nini munamuabudu sana YESU kuliko huyu Mungu Baba

Lengo ni kuelewa kipi ni kipi maana naona kama wanatofautiana sana juu ya concept ya Mungu

Shukrani
Utatu mtakatifu ni Siri ambayo hapana mwanadamu atakaye kuja kujua kwa asilimia 100, isipokuwa Roho mtakatifu pekee. Trinity ni asili yake Mungu, ukiondoa mmoja hapana Mungu, asili yake ya utatu inajidhihirisha kwenye uumbaji wa mwanadamu ana miwili, nafasi na roho, vyote vinategemeana, ukitoa kimoja hapana mwanadamu. Hivyo basi kila nafasi ni Mungu na siyo Mungu wa tatu. Imekuwa Siri ksb nyingi, mojawapo ni muweze kumheshimu ksbu anakuwa haeleweki alivyo na ametoka wapi.
 
Back
Top Bottom