Chukua ambayo ni sawa na BibliaNimekupata mkuu... changamoto kila mtu anakuja na concept yake tofauti hakuna common ground nashindwa kujua nichukue ipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua ambayo ni sawa na BibliaNimekupata mkuu... changamoto kila mtu anakuja na concept yake tofauti hakuna common ground nashindwa kujua nichukue ipi
Mungu ni MMOJA na JINA lake ni Yesu Kristo /YESHUA HAMASHIACHkwahiyo Mungu ni mmoja?
Wewe ni mkristo?Ninachojua mimi ni kwamba Mungu ni mmoja, hana baba wala mama, hakuzaa wala hakuzakuzaliwa, hana umbo wala mfano. Yeye ni Mungu wa wa wote, habagui dini wala kabila.
Mimi naamini katika Mungu asiye bagua dini wala kabila.Wewe ni mkristo?
Hakuna sehemu nimesema ni kosa. Nimeuliza lengo hasa ni lipi baada ya kujua huo msingi, umejibu unaweza kuingia kwenye ukristo.Naweza nikaingia kwenye ukristo mkuu lengo ni kujua msingi wa dini ya kikristo au nikosa?
Mbona ni nyepesi mkuu. Roho mtakatifu ni roho wa Mungu na Yesu ni neno la Mungu. Simple. Hakuna kitu kigumu hapo. Yote yameelezwa vizuri Ila wanadamu hawataki kujifunza Mambo ya Mungu tangu zamani za kaleUtatu mtakatifu ni Siri ambayo hapana mwanadamu atakaye kuja kujua kwa asilimia 100, isipokuwa Roho mtakatifu pekee. Trinity ni asili yake Mungu, ukiondoa mmoja hapana Mungu, asili yake ya utatu inajidhihirisha kwenye uumbaji wa mwanadamu ana miwili, nafasi na roho, vyote vinategemeana, ukitoa kimoja hapana mwanadamu. Hivyo basi kila nafasi ni Mungu na siyo Mungu wa tatu. Imekuwa Siri ksb nyingi, mojawapo ni muweze kumheshimu ksbu anakuwa haeleweki alivyo na ametoka wapi.
Mkuu unanichanganya MUNGU ni huyo MUNGU Baba ambaye amempa Mungu mwana mamlaka au hivyo vyeo ni MUNGU pia?Mungu nimmoja katika vyeo vitatu mungu mwana,roho mtakatifu,mungu baba......
Mungu baba....muweza wa vyote hana limiti.........
Mungu mwana.....kipenz cha mungu baba ndo kiumbe ambacho mungu baba amekipa mamlaka ya mbinguni na ulimwenguni........
Mungu roho mtakatifu........Mungu katika mawasiliano yaani communication ya mungu na viumbe vyake vyote alivyo viumba.....
Sasa umuelewi nini Mungu hana mshirika katika maamuz tu atakalo amua yeye na kuliwaza basi hufanyika pasipo kushirikisha kiumbe chochote cos yeye ni mkamilifu kupita ukamilifu ila anaserikali ambayo hupokea mapokeo yake na kuwasilisha kwa viumbe wengine...........
Hicho kitabu ukikiweka humu jukwaani unishtue....Kuna kitabu nikikumbuka nitakutumia jina.
Kinasema " Jesus is God infinitely but not in personality.
Kusema Yesu ni Mungu,na roho wa Mungu ni Mungu na Baba ni Mungu automatically wanakuwa ni mungu 3 kitu ambacho kwenye biblia hakipo.
Sasa mkuu nitajuaje ukweli maana mimi nataka ukristo sitaki dhehebu nataka kujua mafundisho ya kristo kuhusu MUNGUHakuna sehemu nimesema ni kosa. Nimeuliza lengo hasa ni lipi baada ya kujua huo msingi, umejibu unaweza kuingia kwenye ukristo.
Sasa kama kweli unataka kujua msingi, JF sio sehemu sahihi
-Hapa kila mtu anaandika anachoamini hata kama sio sahihi.
-Ukristo ni mmoja ila Wakristo wamegawanyika na kila mmoja ana ufunuo wake.
- Kama kweli lengo ni kujua msingi ili uingie, ni bora uwatafute wahusika kupitia makanisa yao, ufanye research kutokana na maelezo yao, then utapata jibu sahihi.
Nasema hivyo kwa sababu, kupitia hizo comments, nimeona majibu ya madhehebu haya
-Roman catholic
-Jehova witness
-Pentecost
- Na kuna imani mpya wanajiita kanisa la mungu halisi.
Wote nimeona wanakujibu ndio maana unaona majibu yao yanapingana.
Mkuu, naomba nikuulize jambo kidogo.Mkuu unanichanganya MUNGU ni huyo MUNGU Baba ambaye amempa Mungu mwana mamlaka au hivyo vyeo ni MUNGU pia?
Sawa mkuuMbona ni nyepesi mkuu. Roho mtakatifu ni roho wa Mungu na Yesu ni neno la Mungu. Simple. Hakuna kitu kigumu hapo. Yote yameelezwa vizuri Ila wanadamu hawataki kujifunza Mambo ya Mungu tangu zamani za kale
Rudia kusoma hiyo comment yangu, imetoa majibu.Sasa mkuu nitajuaje ukweli maana mimi nataka ukristo sitaki dhehebu nataka kujua mafundisho ya kristo kuhusu MUNGU
Najibu hili swali bila mlengo wa dini mkuu mimi naamini mtu amegawanyika katika sehemu mbili ambazo ni mwili na roho mimi binafsi sioni tofauti ya nafsi na roho.Mkuu, naomba nikuulize jambo kidogo.
Mtu amegawanyika katika sehemu kuu ngapi?
Hakuna ukristo bila dhehebu kwa nini? Mi nafahamu kuna kweli na si kweli hivyo basi hata kuwe na madhehebu 100 basi moja ndio litakuwa la kweli, sasa mkuu hilo mimi ndio nataka mafundisho yake maana huo ndio utakuwa ukristo wenyewe OGRudia kusoma hiyo comment yangu, imetoa majibu.
Hakuna ukristo bila dhehebu. Ili uwe mkristo lazima uwe kwenye mlengo flani ndio maana na wewe unataka majibu ya hao wenye madhehebu yao ili upate msingi.
Nilichomaanisha huweza kuwa mkristo bila dhehebu.Hakuna ukristo bila dhehebu kwa nini? Mi nafahamu kuna kweli na si kweli hivyo basi hata kuwe na madhehebu 100 basi moja ndio litakuwa la kweli, sasa mkuu hilo mimi ndio nataka mafundisho yake maana huo ndio utakuwa ukristo wenyewe OG
Hapo tayar unakua ushatengeneza dhana ya miungu kitu ambacho ni upaganiYesu mwana wa Mungu.
Mtoto wa nyoka ni nyoka. Mtoto wa Mungu ni Mungu.
Nafsi ni ile sehemu ambayo ina ufahamu wamtu mwenyewe au kiini cha ubinafsi wa mtu. Kazi yake ni:Najibu hili swali bila mlengo wa dini mkuu mimi naamini mtu amegawanyika katika sehemu mbili ambazo ni mwili na roho mimi binafsi sioni tofauti ya nafsi na roho.
Hebu nisaidie kuelewa hizi concepts,Utatu mtakatifu ni Siri ambayo hapana mwanadamu atakaye kuja kujua kwa asilimia 100, isipokuwa Roho mtakatifu pekee. Trinity ni asili yake Mungu, ukiondoa mmoja hapana Mungu, asili yake ya utatu inajidhihirisha kwenye uumbaji wa mwanadamu ana miwili, nafasi na roho, vyote vinategemeana, ukitoa kimoja hapana mwanadamu. Hivyo basi kila nafasi ni Mungu na siyo Mungu wa tatu. Imekuwa Siri ksb nyingi, mojawapo ni muweze kumheshimu ksbu anakuwa haeleweki alivyo na ametoka wapi.