Wakuu tupeane mbinu za kupata 'mishangazi'

Wakuu tupeane mbinu za kupata 'mishangazi'

Shangazi la mwisho kuwa nalo, ni kama lilikuwa na mapepo. Yani asione scene yoyote ya faragha kwenye movie, lazima anipigie simu "Uko wapi kijana wangu, mwenzio nimebanwa". Sasa ole wake niseme nipo mbali au sitoenda, itafata mvua ya matusi na kejeli 😅
😁😁😁😁😁😁 sema mitusi yao inakuwaga sexy sana.
 
Shangazi la mwisho kuwa nalo, ni kama lilikuwa na mapepo. Yani asione scene yoyote ya faragha kwenye movie, lazima anipigie simu "Uko wapi kijana wangu, mwenzio nimebanwa". Sasa ole wake niseme nipo mbali au sitoenda, itafata mvua ya matusi na kejeli [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa si utumwa huu. Nimekumbuka kitu nimecheka balaa.
 
Marioo ni mtu ambaye hawezi kujitegema na hana pa kushika kabisa. He plays dumb completely while expecting favours.

Sasa si wanaume wote wanao freak na mishangazi ni marioo. Unaweza ukawa na mishe yako unapiga unaishi kwako kabla hujakutana na lishangazi. Kwahio kwako anakuja ku add value tu.
Uongoo yeyote anaenda kwa shangazi due to mahitaji na huduma hasa financially, ni Marioo.

Hata huyo jamaa ni marioo, umesema kwa pesa zake binafsi asingeweza ku afford butters, ila za shangazi ndo zimetumika.

Sasa huyu si marioo na kiben10 kabisaaa. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shangazi la mwisho kuwa nalo, ni kama lilikuwa na mapepo. Yani asione scene yoyote ya faragha kwenye movie, lazima anipigie simu "Uko wapi kijana wangu, mwenzio nimebanwa". Sasa ole wake niseme nipo mbali au sitoenda, itafata mvua ya matusi na kejeli 😅
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom