Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wewe mwenyewe unajua ni kweli😁Hizo ni uongooooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenyewe unajua ni kweli😁Hizo ni uongooooooo
Ya 90's ipo kwenye denial. Haitaki kukubali kuwa na wao age go. Wanataka kushindana na vitoto vya 2000's.😅😅😅😅😅😅 mishangazi ya 80's ndio OG mingi imejipata. Hii ya 90's mingi ina msongo wa mawazo simshauri dogo.
acha kunifanya m sjasoma wew,, kwaio uyu mama anaejiita mama TEMESA katoka wap tena bango kuuuuuubwa,,"mama TEMESA vyakula vinono",,kwendaa....TEMESA=Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency.
😂😂😂😂 haya ok tufanye sipo jran na temesa.acha kunifanya m sjasoma wew,, kwaio uyu mama anaejiita mama TEMESA katoka wap tena bango kuuuuuubwa,,"mama TEMESA vyakula vinono",,kwendaa....
Uongoooo nyie ni wawamba ngoma, afu mnajikutakaga wamiliki halali wa nyege???? Kumbe hizo nyege zenu kopi tu.....😏😏😏😏Wewe mwenyewe unajua ni kweli😁
😂😂😂😂😂😂😂 Nyege mnazo nyie tu...Sisi walaaUongoooo nyie ni wawamba ngoma, afu mnajikutakaga wamiliki halali wa nyege???? Kumbe hizo nyege zenu kopi tu.....😏😏😏😏
heh sasa uko Johannesburg unatafta nin nilkua uko mwaka juzi 😂😂Duh
😂😂😂😂 haya ok tufanye sipo jran na temesa.
Saiz nko jrani na ukumbi wa royal palm.
😂😂😂😂😂 wanajiona nao watoto badoYa 90's ipo kwenye denial. Haitaki kukubali kuwa na wao age go. Wanataka kushindana na vitoto vya 2000's.
😂😂😂heh sasa uko Johannesburg unatafta nin nilkua uko mwaka juzi 😂😂
daaah kitambo sana wewe Muungwana.... Mtu Mzuri... Mtu wa Maana KabisaNa Mm naomba kukusabahi
unasema?Uongoooo nyie ni wawamba ngoma, afu mnajikutakaga wamiliki halali wa nyege???? Kumbe hizo nyege zenu kopi tu.....😏😏😏😏
Ndiooo😹 na wala hatusemi, nyie wenye kopi sasa😂😂😂😂😂😂😂 Nyege mnazo nyie tu...Sisi walaa
Mimi ni mshangazi tena mshangazi niliejipata kijana.....Acha basi, kwamba unajiweka level za mashangazi wakati wewe bado ni binti?
Kuwa na subira 😉😉
Hebu fafanua kidogo hapo, ili nijue pm nakuja kwa swaga zipi, maana naona haijafungwa bado.....hata nilipokuwa naenda nimeghairi, nasubiria comment yako.tena mshangazi niliejipata kijana.....
Yap! Sasa hapo ukipata aunt mnyamwezi anakua anakusapoti pale unapokutana na ugumu kwenye mishe zako hata kama sio kifedha,Ofcourse hii ndio key ili usipelekeshwe kama mbuzi, japo certified shangazi lazma awe na advantage ya mpunga na mipango mzee baba.
You are risking your life and killing alot of energy sababu ya kumridhisha kimapenzi lazma kuwe na rewards. Otherwise ni heri kustick na watoto wadogo tu au agemates.
Shangazi linakuwa na mgongano wa maslahi ya umma, hilo ni lipigania uhuru .Kwani nasema uongo ndugu zangu....
Sifa kuu ya lishangazi haliombi ombi huduma za kifedha kwa kijana wa buku 2. Ukishaona unalilia kuhudumiwa ndio utoe mbunye ujue we huna sifa ya jishangazi😂 ni freedom fighter tu.
nenda kichwa kichwa ili ukikosea,ukanyweWakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya...hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea